Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kuna siku nilipiga ile cocktail ya konyagi, ilanipeleka kumtongoza mama mmoja 50 hivi Ana hela zake sana, ila tunaheshimiana nae namsalimiaga ni mama flan Ana heshima zake, hajabu alinielewa, tukaw tunaweza tunaondokaje pale! Mara bro akaja kunifuata dah nilimind sana
 
Sasa nifanyeje mie. Yeye anautangazia umma humu kuwa mie mzibuliwa mtaro, ndo na mie namfurahisha zaidi afurahi na nafsi yake.
Kweli asee, ila kama kweli hufanyi hvo lakini ukiambiwa hvo still uko happy, basi utakuwa wa pekee mnoo.
 
Kweli asee, ila kama kweli hufanyi hvo lakini ukiambiwa hvo still uko happy, basi utakuwa wa pekee mnoo.
kwani ninavoambiwa hivyo lengo ni mie kuhemkwa na ni nikasirike? Tena hapa kwa keyboard?
Hapana kwa kweli.

Mie kwangu full burudaaan yaan, afu sijar wala nn, akitaka ni react aweke evidence hapa, km kweli yee yuko sahihi na hilo.
Ila hizi drama za humu, hazinisumbui.
 
Back
Top Bottom