Ulishawahi kula tunda kimasihara?
kuna watu wawili wameandika uzi khs kuambukizwa ukimwi, jamani haya masihara yenu yawe na mwendo kama ya kobe mana mtaanza kukonda bila kujua chanzo ni nn
 
umenikumbusha enzi za chuo nikiwa naishi OFF CAMPUS kuna bi mdashi alikuwa anapendelea kuja room kwangu kujiangalia kwenye kioo kikubwa cha dressing table yangu. Basi bwana, siku moja hivi nakumbuka ilikuwa ni sunday fulani hivi amazing kunako mishale ya mornie'.

Kama kawaida yake yule bi mdashi akanitimbia room kujiangalia kwenye kioo kikubwa na kujipiga make up ili aende kanisani. Basi bwana kaingia zake room huku kajifunga taulo wakati huo nimerudi kujilaza kitandani sasa baada ya kumfungulia mlango na hapo nampimia namna gani nimwingie mithiri ya chatu anaejiandaa kumumeza mnyama.

Basi bwana...Nikawa nafikiria kila technique ya kumwingia ikawa inagoma. Sasa wakati anaendelea kujipamba si akaniita nimsaidie kubana nywele zake na kibanio, nikasema YEEEES!(kimoyo moyo) kisha kidume nikaruka chap kwenda kumsaidia kufunga kibanio.

ile namfunga nilikuwa nimemsogelea almost to zero distance alafu mtoto alikuwa mashaaallah huku back kabarikiwa wowowo kama yote.

Ebooo!!! Si ile naendelea kumfunga mzee baba akasimama nyuzi 360! ayseee mara paap! Si uvumilivu ukanishinda, sjui kilitokea nini tu si nikajikuta nimepata ujasiri wa kumtomasa yule mtoto Mara nae huyu hapa akajaa ndani ya 18 si chezo likaanza...Hao hao mara ghafla kwa bed, nikaanza kushambulia papuchi bwana! Shambulia! Shambulia! Shambulia.

Baada ya chezo nikatoka mwili unahisi kizungu zungu nikamwambie achemshe chai tukanywa na safari yake ya kwenda kanisani ikaishia hapo.
 
umenikumbusha enzi za chuo nikiwa naishi OFF CAMPUS kuna bi mdashi alikuwa anapendelea kuja room kwangu kujiangalia kwenye kioo kikubwa cha dressing table yangu. Basi bwana, siku moja hivi nakumbuka ilikuwa ni sunday fulani hivi amazing kunako mishale ya mornie'.

Kama kawaida yake yule bi mdashi akanitimbia room kujiangalia kwenye kioo kikubwa na kujipinga make up ili aende kanisani. Basi bwana kaingia zake room huku kajifunga taulo wakati huo nimerudi kujilaza kitandani sasa baada ya kumfungulia mlango na hapo nampimia namna gani nimwingie mithiri ya chatu anaejiandaa kumumeza mnyama.

Basi bwana...Nikawa nafikiria kila technique ya kumwingia ikawa inagoma. Sasa wakati anaendelea kujipamba si akaniita nimsaidie kubana nywele zake na kibanio, nikasema YEEEES!(kimoyo moyo) kisha kidume nikaruka chap kwenda kumsaidia kufunga kibanio.

ile namfunga nilikuwa nimemsogelea almost to zero distance alafu mtoto alikuwa mashaaallah huku back kabarikiwa wowowo kama yote.

Ebooo!!! Si ile naendelea kumfunga mzee baba akasimama nyuzi 360! ayseee mara paap! Si uvumilivu ukanishinda, sjui kilitokea nini tu si nikajikuta nimepata ujasiri wa kumtomasa yule mtoto Mara nae huyu hapa akajaa ndani ya 18 si chezo likaanza...Hao hao mara ghafla kwa bed, nikaanza kushambulia papuchi bwana! Shambulia! Shambulia! Shambulia.

Baada ya chezo nikatoka mwili unahisi kizungu zungu nikamwambie achemshe chai tukanywa na safari yake ya kwenda kanisani ikaishia hapo.
analipa?? ameolewa??
 
umenikumbusha enzi za chuo nikiwa naishi OFF CAMPUS kuna bi mdashi alikuwa anapendelea kuja room kwangu kujiangalia kwenye kioo kikubwa cha dressing table yangu. Basi bwana, siku moja hivi nakumbuka ilikuwa ni sunday fulani hivi amazing kunako mishale ya mornie'.

Kama kawaida yake yule bi mdashi akanitimbia room kujiangalia kwenye kioo kikubwa na kujipinga make up ili aende kanisani. Basi bwana kaingia zake room huku kajifunga taulo wakati huo nimerudi kujilaza kitandani sasa baada ya kumfungulia mlango na hapo nampimia namna gani nimwingie mithiri ya chatu anaejiandaa kumumeza mnyama.

Basi bwana...Nikawa nafikiria kila technique ya kumwingia ikawa inagoma. Sasa wakati anaendelea kujipamba si akaniita nimsaidie kubana nywele zake na kibanio, nikasema YEEEES!(kimoyo moyo) kisha kidume nikaruka chap kwenda kumsaidia kufunga kibanio.

ile namfunga nilikuwa nimemsogelea almost to zero distance alafu mtoto alikuwa mashaaallah huku back kabarikiwa wowowo kama yote.

Ebooo!!! Si ile naendelea kumfunga mzee baba akasimama nyuzi 360! ayseee mara paap! Si uvumilivu ukanishinda, sjui kilitokea nini tu si nikajikuta nimepata ujasiri wa kumtomasa yule mtoto Mara nae huyu hapa akajaa ndani ya 18 si chezo likaanza...Hao hao mara ghafla kwa bed, nikaanza kushambulia papuchi bwana! Shambulia! Shambulia! Shambulia.

Baada ya chezo nikatoka mwili unahisi kizungu zungu nikamwambie achemshe chai tukanywa na safari yake ya kwenda kanisani ikaishia hapo.
Kila nikitaka kuleta yangu yakula tunda kimasihara naiona sichochote silolote aiseee
 
Muda huo ungewa text wana wakae standby just in case,huwezi jua jamaa kwenye tablet alikua na mipango gani na wanae!!

Kingine huwa nakubaligi sana wana asa linapokuga swala la kugegeda,wapo tayari hata wachange wakupe hela ya Lodge mradi tu mzigo uliwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana nawakubali sana kwenye hii sekta,nilipokuwa Chuo kuna Mwanangu mmoja alikuwa anajitolea hela ya lodge,chakula na vinywaji mpaka hela ya kumuhonga demu ili mradi tuu demu aliwe na awe pisi ya ukweli.
 
Hahahahha mkuuu ulitakiwa umkoromee jamaa
Unaweza kumkoromea baadae demu akakuchenjia. Nilikuwa na demu mmoja hivi tupo matembezi bahati mbaya kamba ya sendo yake ikakata tukasogea kwa fundi viatu arekebishe yule fundi akatupima kwa macho jinsi tulivyo akaropoka Bei kubwa eti 1500 nikamwambia hapo nimekupa hela nyingi ni buku tuu jamaa akaongea maneno ya shombo nilimletea Moto mpaka yule demu akaogopa. Baadae yule demu ananiambia eti hataki niwe na Mimi sababu Mimi no mkali sana sababu jamaa nilimkoromea mpaka akawa mpole.
 
me na wanangu kwenye harakati hizo tumebebana sana,ukimuaga mtu naenda kula papuch anakufanyia hata Asaingment,sasa wew aga unaenda maskani kusalimia utaikuta alafu mwana huyo huyo ukimpanga akupe pesa utoe copy atakwambia hana kitu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wana nawakubali sana kwenye hii sekta,nilipokuwa Chuo kuna Mwanangu mmoja alikuwa anajitolea hela ya lodge,chakula na vinywaji mpaka hela ya kumuhonga demu ili mradi tuu demu aliwe na awe pisi ya ukweli.
 
Aache roho mbaya wanauponda halafu utakuta wanausoma
Ahahahah.
Kabisaaa mkuu.
Sema nikichokigundua kule watu wengi wanachukua Id zao za pemben wanakuja kutoa nazo ushuhuda.
Maana id nying nying utakuta zina status ya "member/senior member".

Kingine ma alwatani wa humu ndani wengi wanaufuatilia ila hawataki wawe tracked ndio mana hawatoi hata "like"

Lakin uzi ule una wadau kibaooooo.
Ahahahahahahahahahah
 
Kwa kifupi mleta mada anataka kutelezea ganda la ndizi.Maana kwa jinsi ulivyo uzi pendwa , when u fight againt it, utafanya wadau woooote wa kule waje kukushambukia na hatimae uzi huu nao uta trendi.. mkuu rikiboy shtukia hii janja ya nyani.
 
Una point nzuri tu,
Ila jinsi ulivyoandika ni kama vile nje ya maambukizi ya Hiv, Hakuna kifo kabisa, yaan umesahau kwamba kifo ni lazima kwa kila binadamu

Kinachokera kwenye ukimwi ni namna ya mateso wanayopitia wagonjwa wake, lakini hii haimaanishi kila muathirika hupitia hata hizo

Moja ya deathbed wishes za Alexander the great ilikuwa siku ya kifo chake jeneza lake libebwe na madaktari, ili kusudi Hao madaktari wajue linapokuja swala la kifo hata wao hawawezi zuia!
 
Tuache stori za spray, hili tukio lingine.

Mwaka 2008 nikiwa mwaka wa 2 chuo. Alikuja mtoto wa 1st year mkali sana. Kwa sisi tunaopenda visu vikali nilitokea kumtamani sana kiujumla alinipagawisha.

Siku zikasonga washikaji kibao wakaunga tela kumpiga demu sound angalau waweze kuzama. Demu akamkubalia jamaa flani kozi tofauti na demu.

Niliweka nia moyoni ipo siku nitamla tuu huyu demu how, when, where maswali ya kispy hayana majibu.

Sasa kuna mshikaji wangu wa karibu akawa anamgonga demu wa 1st year ambaye ni rafiki na yule mtoto mkali. Wala sikutaka shemeji yangu anifanyie mpango nimpate huyo mtoto. Nikala bati tuu.

Mungu sio mzee mkumba ikatokea field ya kwenda porini hifadhi za taifa, bwana bwana field ikawa madarasa mawili la mwaka wetu na yule la 1st year la yule mtoto mkali.

Wakati wanachuo wanajiandaa na safari mimi nawaza yule mtoto nitampataje porini nile mzigo. Safari ikawadia haoooo porini. Tukiwa njiani nikampanga mshikaji wangu akikisha tukifika porini mshawishi demu wake/shemeji hema lao wanaliweka karibu na hema letu.

Kweli mpango ukafanikiwa mahema yakawa karibu. Yule mtoto mkali nilichunguza background yake nikagundua ametoka familia bora sana, nikajua kabisa mikiki ya porini hataweza na muoga sana

Tulivyofika tuu porini maji ya kuoga hakuna, ikabidi wanaume twende tukaoge mtoni na pia tujaze mapipa maji ya kupikia, baadhi ya kutumia malectures na kuogea mademu.

Kidume nikarudi na ndoo 2 zimejaa maji mpaka kwenye hema nikamwita yule mtoto mkali nikampa ndoo zote 2 za maji akaoge na kufua. Alishukuru sana.

Usiku muda wa kwenda kuchukua msosi nikamwambia mtoto we subiria kwenye hema huku nje saa hizi kuna wanyama wakali na nyoka kibao wacha nikakuchukulie msosi. Akashukuru sana

Kwa kweli nilimuhudumia demu maji ya kuoga, kumchukulia msosi kama wiki 1. Siku 1 nikamwambia naomba namba yako ya simu. Akanipa. Nikamtongoza akanichomolea nje kwa kishindo niliumia sanaaaaa. Moyoni nikasema huduma zote za maji na chakula simletei tena akachukue mwenyewe.

Zilipita siku 3 anakomaa mwenyewe nimemchunia. Siku 1 usiku wa saa 4 akaniandikia msg NATESEKA SANA KUPATA MAJI YA KUOGA NAOMBA NISAMEHE, nikapiga kimya, msg nyingine NJOO KWENYE HEMA LANGU TUONGEE.

Mapigo ya moyo yalienda kasi sana. Nikafungua zipu ya hema langu nikatoka nje nikaenda kwenye hema lao nikafungua zipu taratibu nikamkuta yupo macho mwenzake amelala pembeni.

Sikutaka maongezi nikaanza kumpiga madenda madenda nikimshika mapaja anakuwa mkali, madenda madenda baadae akalainika funua kanga, sogeza chupi pembeni ingiza ukuni nikaanza kupump taratibu.

Shemeji yangu pembeni anajifanya amelala lakini najua anasikia kila kitu kinachoendelea. Piga bao 2 safii nikarudi zangu kwenye hema langu.

Kesho nikaendelea na utaratibu wa maji na chakula. Tulivyorudi chuo kila mtu akala 50 zake.
Utakua ulipiga shoo mbovu
 
Kuna uzi wa kula tunda kimasikhara....hayo hayo masikhara naona kuna watu wamelishana matunda yenye wadudu.tayari baharia mmoja anapiga ukunga baada ya kula tunda kimasikhara na kupata ngoma kimasikhara hivyo hivyo.

Moderators huo uzi sasa unatosha masikhara masikhara au mzaa mzaa hutumbukia usaa.

Mkisha kuta sisi tutawapeleka bwana.
kisha wazee wa zamani tutasimama pembeni.
lete uji selemani na maharage sahani.
kumbe tuogope nini na mpunga upo jirani?
wacha tule tu mpunga kwa ngono Zembe zenu.

Mods. Ondoeni uzi wa kula na kuliwa tunda kimasikhara.watu washakula wadudu sasa.
Hata Kinga wanakumbuka sasa, du majanga, kizazi cha ngono.
 
Back
Top Bottom