flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,442
Kweli mkuu ukila uwe tayari kuliwaHahahahha,usimuonee wivu mwanao chief,,.
Kweli mkuu ukila uwe tayari kuliwaHahahahha,usimuonee wivu mwanao chief,,.
Mkuu fanya utaratibu umalize kabisa hii mambo.Hii stori inaendelea ila mwisho wake inahuzunisha na kufurahisha baada ya kurudi chuo demu akawa anaishi kwa kutumia dozi za dawa
Tukose hela na stori nazo tukose mkuu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unapenda stori
Beberu umeiwekea vikwazo donor country, ikalegeza masharti.Tuache stori za spray, hili tukio lingine.
Mwaka 2008 nikiwa mwaka wa 2 chuo. Alikuja mtoto wa 1st year mkali sana. Kwa sisi tunaopenda visu vikali nilitokea kumtamani sana kiujumla alinipagawisha.
Siku zikasonga washikaji kibao wakaunga tela kumpiga demu sound angalau waweze kuzama. Demu akamkubalia jamaa flani kozi tofauti na demu.
Niliweka nia moyoni ipo siku nitamla tuu huyu demu how, when, where maswali ya kispy hayana majibu.
Sasa kuna mshikaji wangu wa karibu akawa anamgonga demu wa 1st year ambaye ni rafiki na yule mtoto mkali. Wala sikutaka shemeji yangu anifanyie mpango nimpate huyo mtoto. Nikala bati tuu.
Mungu sio mzee mkumba ikatokea field ya kwenda porini hifadhi za taifa, bwana bwana field ikawa madarasa mawili la mwaka wetu na yule la 1st year la yule mtoto mkali.
Wakati wanachuo wanajiandaa na safari mimi nawaza yule mtoto nitampataje porini nile mzigo. Safari ikawadia haoooo porini. Tukiwa njiani nikampanga mshikaji wangu akikisha tukifika porini mshawishi demu wake/shemeji hema lao wanaliweka karibu na hema letu.
Kweli mpango ukafanikiwa mahema yakawa karibu. Yule mtoto mkali nilichunguza background yake nikagundua ametoka familia bora sana, nikajua kabisa mikiki ya porini hataweza na muoga sana
Tulivyofika tuu porini maji ya kuoga hakuna, ikabidi wanaume twende tukaoge mtoni na pia tujaze mapipa maji ya kupikia, baadhi ya kutumia malectures na kuogea mademu.
Kidume nikarudi na ndoo 2 zimejaa maji mpaka kwenye hema nikamwita yule mtoto mkali nikampa ndoo zote 2 za maji akaoge na kufua. Alishukuru sana.
Usiku muda wa kwenda kuchukua msosi nikamwambia mtoto we subiria kwenye hema huku nje saa hizi kuna wanyama wakali na nyoka kibao wacha nikakuchukulie msosi. Akashukuru sana
Kwa kweli nilimuhudumia demu maji ya kuoga, kumchukulia msosi kama wiki 1. Siku 1 nikamwambia naomba namba yako ya simu. Akanipa. Nikamtongoza akanichomolea nje kwa kishindo niliumia sanaaaaa. Moyoni nikasema huduma zote za maji na chakula simletei tena akachukue mwenyewe.
Zilipita siku 3 anakomaa mwenyewe nimemchunia. Siku 1 usiku wa saa 4 akaniandikia msg NATESEKA SANA KUPATA MAJI YA KUOGA NAOMBA NISAMEHE, nikapiga kimya, msg nyingine NJOO KWENYE HEMA LANGU TUONGEE.
Mapigo ya moyo yalienda kasi sana. Nikafungua zipu ya hema langu nikatoka nje nikaenda kwenye hema lao nikafungua zipu taratibu nikamkuta yupo macho mwenzake amelala pembeni.
Sikutaka maongezi nikaanza kumpiga madenda madenda nikimshika mapaja anakuwa mkali, madenda madenda baadae akalainika funua kanga, sogeza chupi pembeni ingiza ukuni nikaanza kupump taratibu.
Shemeji yangu pembeni anajifanya amelala lakini najua anasikia kila kitu kinachoendelea. Piga bao 2 safii nikarudi zangu kwenye hema langu.
Kesho nikaendelea na utaratibu wa maji na chakula. Tulivyorudi chuo kila mtu akala 50 zake.
Tuache stori za spray, hili tukio lingine.
Mwaka 2008 nikiwa mwaka wa 2 chuo. Alikuja mtoto wa 1st year mkali sana. Kwa sisi tunaopenda visu vikali nilitokea kumtamani sana kiujumla alinipagawisha.
Siku zikasonga washikaji kibao wakaunga tela kumpiga demu sound angalau waweze kuzama. Demu akamkubalia jamaa flani kozi tofauti na demu.
Niliweka nia moyoni ipo siku nitamla tuu huyu demu how, when, where maswali ya kispy hayana majibu.
Sasa kuna mshikaji wangu wa karibu akawa anamgonga demu wa 1st year ambaye ni rafiki na yule mtoto mkali. Wala sikutaka shemeji yangu anifanyie mpango nimpate huyo mtoto. Nikala bati tuu.
Mungu sio mzee mkumba ikatokea field ya kwenda porini hifadhi za taifa, bwana bwana field ikawa madarasa mawili la mwaka wetu na yule la 1st year la yule mtoto mkali.
Wakati wanachuo wanajiandaa na safari mimi nawaza yule mtoto nitampataje porini nile mzigo. Safari ikawadia haoooo porini. Tukiwa njiani nikampanga mshikaji wangu akikisha tukifika porini mshawishi demu wake/shemeji hema lao wanaliweka karibu na hema letu.
Kweli mpango ukafanikiwa mahema yakawa karibu. Yule mtoto mkali nilichunguza background yake nikagundua ametoka familia bora sana, nikajua kabisa mikiki ya porini hataweza na muoga sana
Tulivyofika tuu porini maji ya kuoga hakuna, ikabidi wanaume twende tukaoge mtoni na pia tujaze mapipa maji ya kupikia, baadhi ya kutumia malectures na kuogea mademu.
Kidume nikarudi na ndoo 2 zimejaa maji mpaka kwenye hema nikamwita yule mtoto mkali nikampa ndoo zote 2 za maji akaoge na kufua. Alishukuru sana.
Usiku muda wa kwenda kuchukua msosi nikamwambia mtoto we subiria kwenye hema huku nje saa hizi kuna wanyama wakali na nyoka kibao wacha nikakuchukulie msosi. Akashukuru sana
Kwa kweli nilimuhudumia demu maji ya kuoga, kumchukulia msosi kama wiki 1. Siku 1 nikamwambia naomba namba yako ya simu. Akanipa. Nikamtongoza akanichomolea nje kwa kishindo niliumia sanaaaaa. Moyoni nikasema huduma zote za maji na chakula simletei tena akachukue mwenyewe.
Zilipita siku 3 anakomaa mwenyewe nimemchunia. Siku 1 usiku wa saa 4 akaniandikia msg NATESEKA SANA KUPATA MAJI YA KUOGA NAOMBA NISAMEHE, nikapiga kimya, msg nyingine NJOO KWENYE HEMA LANGU TUONGEE.
Mapigo ya moyo yalienda kasi sana. Nikafungua zipu ya hema langu nikatoka nje nikaenda kwenye hema lao nikafungua zipu taratibu nikamkuta yupo macho mwenzake amelala pembeni.
Sikutaka maongezi nikaanza kumpiga madenda madenda nikimshika mapaja anakuwa mkali, madenda madenda baadae akalainika funua kanga, sogeza chupi pembeni ingiza ukuni nikaanza kupump taratibu.
Shemeji yangu pembeni anajifanya amelala lakini najua anasikia kila kitu kinachoendelea. Piga bao 2 safii nikarudi zangu kwenye hema langu.
Kesho nikaendelea na utaratibu wa maji na chakula. Tulivyorudi chuo kila mtu akala 50 zake.
Stori inaendelea ila nifundisho kwa vijana wanakula tunda kimasihara.
Huyu mtoto mkali porini nilimsugua kavu kavu nikiamini mtoto mkali yuko na afya njema.
Tulivyorudi chuo ijapokuwa tuliwekeana kiapo hakuna mazoea, nikasikia tetesi demu anaishi kwa kutumia dawa. Aisee nilipata mawazo sana hii ngoma itakuwa HIV, nikamwambia mshikaji wangu embu muulize demu wako rafiki yake yule kuna dawa anazitumia?
Jibu likaja ndio anatumia dawa mara kwa mara. Kwa kweli nilimchukia sana wala sikutaka kwenda kupima HIV, nikajisemea kipimo kitakuwa nikianza kuumwa.
Nikamaliza chuo, baada ya mwaka nikajiunga chuo kingine. Nikapata demu mkali akawa demu wangu wa kudumu tukaanza penzi kavu kavu kichwani najua ninalo tatizo.
Nikawa napiga michepuko kwa kwenda mbele bila kujali. Siku 1 likizo nikaumwa, bahati mbaya au nzuri nikaenda dispensary ya rafiki yake na mshua.
Dr ukanichukua vipimo vya damu, mkojo na choo. Nikarudi zangu home. Kesho nikaenda kuchukua vipimo.
Yule dr rafiki yake na mzee akaniita ofisini kwake akaanza kusema nimekupima vipimo vyote mpaka HIV, alivyotamka HIV nilisikia kizunguzungu, nikaona giza, niliishiwa na nguvu.
Akaangalia vipimo akavuta pumzi, Nikasikia HONGERA SANA KWA KUJITUNZA USICHEZE HUKO CHUONI.
Nilitamani nimkumbatie dr. Hakuna siku nilifurahi maishani kama siku hiyo kufahamu afya yangu. Nikajiuliza yule mtoto mkali alikuwa anatumia madawa gani kila siku.
Nikajilaumu jinsi nilivyokuwa nakamua mademu ovyo nikidhania niko positive.
Nilifika nyumbani nikamtext yule mtoto mkali facebook nikampa salaam. Nikamwambia nimekumic sana. Akafurahi.
Stori inaendelea ila nifundisho kwa vijana wanakula tunda kimasihara.
Huyu mtoto mkali porini nilimsugua kavu kavu nikiamini mtoto mkali yuko na afya njema.
Tulivyorudi chuo ijapokuwa tuliwekeana kiapo hakuna mazoea, nikasikia tetesi demu anaishi kwa kutumia dawa. Aisee nilipata mawazo sana hii ngoma itakuwa HIV, nikamwambia mshikaji wangu embu muulize demu wako rafiki yake yule kuna dawa anazitumia?
Jibu likaja ndio anatumia dawa mara kwa mara. Kwa kweli nilimchukia sana wala sikutaka kwenda kupima HIV, nikajisemea kipimo kitakuwa nikianza kuumwa.
Nikamaliza chuo, baada ya mwaka nikajiunga chuo kingine. Nikapata demu mkali akawa demu wangu wa kudumu tukaanza penzi kavu kavu kichwani najua ninalo tatizo.
Nikawa napiga michepuko kwa kwenda mbele bila kujali. Siku 1 likizo nikaumwa, bahati mbaya au nzuri nikaenda dispensary ya rafiki yake na mshua.
Dr ukanichukua vipimo vya damu, mkojo na choo. Nikarudi zangu home. Kesho nikaenda kuchukua vipimo.
Yule dr rafiki yake na mzee akaniita ofisini kwake akaanza kusema nimekupima vipimo vyote mpaka HIV, alivyotamka HIV nilisikia kizunguzungu, nikaona giza, niliishiwa na nguvu.
Akaangalia vipimo akavuta pumzi, Nikasikia HONGERA SANA KWA KUJITUNZA USICHEZE HUKO CHUONI.
Nilitamani nimkumbatie dr. Hakuna siku nilifurahi maishani kama siku hiyo kufahamu afya yangu. Nikajiuliza yule mtoto mkali alikuwa anatumia madawa gani kila siku.
Nikajilaumu jinsi nilivyokuwa nakamua mademu ovyo nikidhania niko positive.
Nilifika nyumbani nikamtext yule mtoto mkali facebook nikampa salaam. Nikamwambia nimekumic sana. Akafurahi.
Umetisha, muda huo ushakula vyakoBinti bado mdogo ingeniletea matatizo mbeleni.Mana alishaanza kuniandikia vibarua kwenye vikaratasi anampa mdogo wake aniletee.Barua zake nikawa nazijibu
"Nakuheshimu hivyo jiheshimu mimi ni kama kaka yako"
Mkuu, kimsingi mtu anayetumia dawa za ugonjwa ule kikamilifu (adherence) ana nafasi ndogo sana ya kuambukiza kwakuwa ANAFUBAZA virusi.Hii haitoi tiketi kujilipua ovyo..wataalamu wa afya tunaelewa sayansi yake.Stori inaendelea ila nifundisho kwa vijana wanakula tunda kimasihara.
Huyu mtoto mkali porini nilimsugua kavu kavu nikiamini mtoto mkali yuko na afya njema.
Tulivyorudi chuo ijapokuwa tuliwekeana kiapo hakuna mazoea, nikasikia tetesi demu anaishi kwa kutumia dawa. Aisee nilipata mawazo sana hii ngoma itakuwa HIV, nikamwambia mshikaji wangu embu muulize demu wako rafiki yake yule kuna dawa anazitumia?
Jibu likaja ndio anatumia dawa mara kwa mara. Kwa kweli nilimchukia sana wala sikutaka kwenda kupima HIV, nikajisemea kipimo kitakuwa nikianza kuumwa.
Nikamaliza chuo, baada ya mwaka nikajiunga chuo kingine. Nikapata demu mkali akawa demu wangu wa kudumu tukaanza penzi kavu kavu kichwani najua ninalo tatizo.
Nikawa napiga michepuko kwa kwenda mbele bila kujali. Siku 1 likizo nikaumwa, bahati mbaya au nzuri nikaenda dispensary ya rafiki yake na mshua.
Dr ukanichukua vipimo vya damu, mkojo na choo. Nikarudi zangu home. Kesho nikaenda kuchukua vipimo.
Yule dr rafiki yake na mzee akaniita ofisini kwake akaanza kusema nimekupima vipimo vyote mpaka HIV, alivyotamka HIV nilisikia kizunguzungu, nikaona giza, niliishiwa na nguvu.
Akaangalia vipimo akavuta pumzi, Nikasikia HONGERA SANA KWA KUJITUNZA USICHEZE HUKO CHUONI.
Nilitamani nimkumbatie dr. Hakuna siku nilifurahi maishani kama siku hiyo kufahamu afya yangu. Nikajiuliza yule mtoto mkali alikuwa anatumia madawa gani kila siku.
Nikajilaumu jinsi nilivyokuwa nakamua mademu ovyo nikidhania niko positive.
Nilifika nyumbani nikamtext yule mtoto mkali facebook nikampa salaam. Nikamwambia nimekumic sana. Akafurahi.
Weka yako ya ukweli.Urongo.
Hatari sana safari za porini.Na ni Wildlife Management
Bazazi