Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Happy newyear wadau nilihaidi nitaleta masihara ya kutafuna mzungu baada ya kushusha masihala yangu ya kwanza ila kabla ya mzungu ngoja nishushe masihala mmoja ya mbongomovie.

Movie linaaanz last year nilitoka mkoani x kuja mjini dsm kwa ajili ya mishe zangu kufika nikafikia hotel moja mitaa ya sinza kwa vile niikuwa bored ikabidi nimtafute rafiki yangu wa dhahabu mwanangu sana Sir God amuweke kumwendea hewani akaniambia njoo bar X

kufika pale tukaanza kugonga vitu whisky ka zote baada ya kama nusu saa hivi kuna mmbongo movie mmoja akaja kumbe walikuwa wanafahamiana na mwana akaomba kujoin meza yetu tukaone isiwe kesi kwani sh ngapi tukaanza kuweka vitu piga sana beer mixer whisky mpaka mida mibovu kumbe Yule mmbongo movie alikuwa kanielewa mnyamwezi maana ilikuwa ni mwendo wa kuclear bill tu tena full kuchanja ka sina akili nzuri (Akajua Danga Hili Kumbe me Msella tu)

Tumepga vitu we mpaka mida mibovu nikaiita uber nirudi zangu hotelini nilipofikia mmbongo movie huo unataka tusepe wote kwa madai niitaucha mbele utaunganisha unapokwenda nikaone sio kesi kwani kitu gani uber imekuja me nimekaa front na dereva na mdirect wenyewe uko back ile nimefika lodge nashuka ili nimuache yeye aendelee na safari yake na wenyewe ukashuka unasema umebanwa kukojoa unataka utumie room yangu kupunguza maji aaa nikamwambia Yule dereva wa uber we nenda tu hamna msafiri hapa baada ya kumlipa ujira wake.

Hao tukachoma mpaka room kufika nikawasha A/C wenyewe ukaingia washroom kutoka ukadai umechoka uko na hangover sana unaomba kulala kidogo nikasema ameisha huyu nadhani kilichotokea wote mnakijua (GROWN MEN DON’T KISS &TELL) lakini I do rember neno mmoja tu kutoka kwake sijawahi KUTOMBWA hivi toka nimezaliwa USIKU MWEMA WADAU MSISAHAU KUIOMBEA ZANZIBAR IKIELEKEA NCHI YA AHADI.

NB:- msiniulize kuhusu ndom maana kila nafsi itaonja mauti na by da way mnisamehe kwa uandishi mbovu
 
KWA WASOMAJI WAPYA

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"

Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.

"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"

Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.

"Starehe"

Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)

Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.

Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************

"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.

Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.

Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.

Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).

Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.

Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.

"Karibu uketi"

Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.

Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.

"HAMIDAAAA"

Aliita yule mama wa kiarabu.

Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.

Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.

"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.

"Hebu kamletee mgeni kinywaji"

Yule binti aliondoka bila kusema neno.

"Mzee Mjumbe nimemkuta?"

Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.

"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"

Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************

Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.

Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.

Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.

Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"

Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************

Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.

Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...

Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********

Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...

Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...

Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...

Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...

=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...

Nilianzisha uzi wake kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"

Pitia uzi huu Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

______________
James Jason
Huwa siichoki stori hii mzee wangu,,,shikamoo mzee.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hapana Dr!Mimi Ni mzima kabisa wa afya Sina maradhi yeyote kwa Sasa[emoji23]
Joannah ni mwanamke anayejielewa mno. Wakati mwingi nasoma comments na story zake.

naishia kujisemea wakubwa wanafaidi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vizuri lazima ule na nduguyo bwana....wife wake mrembo tu halafu Ila tulisaidiana sana
Mlivyo na wivu sasa ...
Yaani angegundua angekufuata na chupa ya maji ya moto
 
Hivi ilikuwaje ukajiita Joannah mkuu?ulikuwa member hapo kabla?huoni tunavyochanganyana manake majina yetu yanafanana sana

Nimeuliza sio kwa ubaya
Dogo nilijua ww walah nkasema Mbusus imepelkwa kuliwa Arusha mbali hvyo
 
Duh, we jamaa! Unadhani watu wazima ni wazembe kiasi hicho? Bi mkubwa wako anayajua yote mliyokuwa mnafanya.

Na usishangae kujua ashawasikiliza mara kibao mkiwa mnafanya yenu [emoji1][emoji1][emoji1]
Ndio shida ya vijana kuona wao ndio wa kwanza kufanya[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Siki nikimpata kimasihara nitaleta uzi kwa sasa naendelea na comments tu
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Kaka yangu ERoni wewe ndio unaitwa ngalangala huku au??
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Wadada wa JF wengine wangekua kama wee, Uzi ungenoga sana


Tatizo wanaigopa kuhukumiwaa !!!


Njoon Wadada mtupe visa
 
Happy newyear wadau nilihaidi nitaleta masihara ya kutafuna mzungu baada ya kushusha masihala yangu ya kwanza ila kabla ya mzungu ngoja nishushe masihala mmoja ya mbongomovie.

Movie linaaanz last year nilitoka mkoani x kuja mjini dsm kwa ajili ya mishe zangu kufika nikafikia hotel moja mitaa ya sinza kwa vile niikuwa bored ikabidi nimtafute rafiki yangu wa dhahabu mwanangu sana Sir God amuweke kumwendea hewani akaniambia njoo bar X

kufika pale tukaanza kugonga vitu whisky ka zote baada ya kama nusu saa hivi kuna mmbongo movie mmoja akaja kumbe walikuwa wanafahamiana na mwana akaomba kujoin meza yetu tukaone isiwe kesi kwani sh ngapi tukaanza kuweka vitu piga sana beer mixer whisky mpaka mida mibovu kumbe Yule mmbongo movie alikuwa kanielewa mnyamwezi maana ilikuwa ni mwendo wa kuclear bill tu tena full kuchanja ka sina akili nzuri (Akajua Danga Hili Kumbe me Msella tu)

Tumepga vitu we mpaka mida mibovu nikaiita uber nirudi zangu hotelini nilipofikia mmbongo movie huo unataka tusepe wote kwa madai niitaucha mbele utaunganisha unapokwenda nikaone sio kesi kwani kitu gani uber imekuja me nimekaa front na dereva na mdirect wenyewe uko back ile nimefika lodge nashuka ili nimuache yeye aendelee na safari yake na wenyewe ukashuka unasema umebanwa kukojoa unataka utumie room yangu kupunguza maji aaa nikamwambia Yule dereva wa uber we nenda tu hamna msafiri hapa baada ya kumlipa ujira wake.

Hao tukachoma mpaka room kufika nikawasha A/C wenyewe ukaingia washroom kutoka ukadai umechoka uko na hangover sana unaomba kulala kidogo nikasema ameisha huyu nadhani kilichotokea wote mnakijua (GROWN MEN DON’T KISS &TELL) lakini I do rember neno mmoja tu kutoka kwake sijawahi KUTOMBWA hivi toka nimezaliwa USIKU MWEMA WADAU MSISAHAU KUIOMBEA ZANZIBAR IKIELEKEA NCHI YA AHADI.

NB:- msiniulize kuhusu ndom maana kila nafsi itaonja mauti na by da way mnisamehe kwa uandishi mbovu
Hakika kila nafsi itaonja mauti. Ila kinga n muhimu saana.
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Ila jaman,,,eti ngalangala lako,,,, ndo ulilopangiwa dada angu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
[emoji1787][emoji1787][emoji2956][emoji2956][emoji2956]#NGALA NGALA ....Nimependa umeandika kishkaji xana ni wadada wachache wenye tashi wa kutumia maneno ya kihuni yakanoga kama wew.....[emoji817]
 
Kula kimasihara kumenigharimu

Hapa kitaa Kuna Dem mmoja mkalii Sana amekamilika kila idara anadeti na mtoto wa kigogo ni waziri wa wizara x Sasa uyu Dem ni mshikaji wangu kitambo Sana anajua mahusiano yangu namimi nayajua yake

Huyu jamaa ake ambaye ni mtoto wa kigogo anaonekana ana wivu Sana kwa bibie hivyo wamekua wakugombana kila Mara na jamaa hatakagi demu awasiliane au awe na urafiki na mwanaume yeyote yule ilifikia steji mpaka jamaa akaanza kumpiga mrembo sababu tu ya wivu akikuta Dem kawasiliana na mwanaume anamshushia kipigo kikali demu anampenda kweli jamaa ila iyo Hali ikawa inamuumiza Sana demu kaja kwangu akawa ananielezea nikawa ni mtu wa kumfariji na kumtia moyo Sana kipindi anapokua amekosana na jamaa ake

Nakumbuka ilikua Christmas ya mwaka Jana nipo zangu kwangu mida ya saa nne asubuhi mlango ukagongwa kutoka nje nakutana na mrembo sikuwahi kuwaza Kama Kuna siku angekuja magetoni maana mazingira tuliyokua nayo ni ya kuwasiliana au wakati mwingine kupishana njiani na kupeana hi tuu Basi nikamkaribisha akaingia ndani Ile kuketi tuu mrembo akaanza Julia ikabidi nimsogelee nikamuuliza ku namimi Tena mrembo akaniambia ametoka kuonana na mshikaji wake wamegombana Sana kwani kupitia simu ya mshikaji aligundua jamaa alimsaliti usiku wa kuamkia iyo Christmas kwani alivofatilia meseji kwenye simu yake Kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kumpiga shoo nzuri

Kama kawaida yangu Mimi ndio nilikua mfariji wake mkuu nikaanza kumfariji pale bembeleza Sana ili asiendelee kulia kweli nikafanikiwa kumweka sawa baada ya muda demu akaniuliza vipi sikukuu nikamwambia imenikuta vibaya Niko apeche alolo ila Nina kamwaliko nimekapata kwa ndugu hivyo mchana nitahudhuria

Dem akaniambia nimekua mtu wa muhimu Sana kwake Mara nyingi anapopitia changamoto nimekua nae bega kwa bega kumshauri hivyo anataman iyo siku anipikie chakula kizuri na asherehekee namimi pale kwangu nikamwambia Basi sawa Haina tatizo kwa kua nilikua Sina ratiba ya kupika ikabidi niende kwa mtaa kutafuta mazaga ya kupika pika picha linaanza wakati narudi nakuta geto linapigwa mng,ao nakuta mrembo kaingia chumbani kabadilisha nguo kavaa t-shirt yangu na kajifunga taulo langu juu ya suruali aliyokua kaivaa mmh nikajiuliza kimoyo moyo Kuna usalama kweli hapa Leo nikajisemea acha muda utaniambia

Baada ya usafi wa kutosha mrembo kapika kamaliza kabla ya kula mrembo kaomba akaoge nikamruhusu mmh wakati anatoka bafuni alitoka kavaa lile taulo langu tuu mmh nikasema niache ubwege pamoja na kuheshimiana sijui nini acha niruhusu akili za kichwa Cha juu zihamie kichwa chini wakati wa kula nashangaa nalishwa Mara kugusana gusana tukajikuta tupo sita kwa sita ilipigwa show moja kabambe ya kuanzia Christmas mpaka kuamkia boxing day ni mwendo wa kuchakatana aisee yule mrembo alikua mtamu Sana katika Maisha yangu sikuwahi kudate na pisi Kali Kama Ile

Baada ya hapo Sasa mapenzi yakahama kutoka kwa jamaa kuja kwangu Dem akatokea kunipenda sana Yani mpaka inafikia steji ananiambia alikua yupo jela ya mapenzi sasa yupo huru wakati huo ameshamchana mtoto wa waziri wa break up lakini mtoto wa waziri Sasa hivi ndio Kama ameanza kuona umuhimu wa mrembo hivyo anahangaikaa amrudishe ameenda kupekenyua huko mtandaoni kudadisi saivi anadate na nani nikakutwa ni kapuku Mimi akachukua mawasiliano yangu akanipigia akanichimba mkwara mzito Sana niachane na mrembo mi nikamkubalia hata sitakagi bato ambazo naona siziwezi mtihani unakuja mrembo hataki kunielewa kabisa kuhusu kuachana ameniambia ni Bora afe ila sio kuachana namimi nikamwambia tukiendelea kudate uwezekano wa Mimi kupotezwa na wasiojulikna ni mkubwa hanielewi nipo nawaza mpaka muda huu wadau sijui nijipeleke polisi nikaripoti maana nahisi tu kufanyiwa tukio na huyu mwamba maana imefikia mpaka nimemwambia ukweli mi nipo tayari kuachana na binti ila yeye ndo hataki jamaa haelewi ananiambia Mimi ndio nampa kiburi jamaa ananitumia meseji nyingi za vitisho Yan mpaka nimeanza kujuta kulala na yule mrembo wakuu
 
Back
Top Bottom