Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

😂😂😂😂😂Vizuri lazima ule na nduguyo bwana....wife wake mrembo tu halafu Ila tulisaidiana sana
Duh kama mpaka wewe mwanamke mwenzie unakubali kuwa wife ni mrembo basi huyo pisi kali🤣🤣🤣🤣
Alafu sasa kwa ujinga wa haka kamchezo basi utakuwa unampa vitu ambavyo wife hafanyi
 
KWA WASOMAJI WAPYA

xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
...
"Hodiii!, hodi hodi humu ndani"

Nilibisha hodi huku nikigonga mlango kwa kutumia kipande cha chuma kilichoning'izwa maalum kwa ajili hiyo.

"Karibu, fungua mlango umeshindikwa tu"

Sauti nyororo ilisikika kutoka ndani.

"Starehe"

Nilijibu huku nikisukuma mlango mzito wa mbao ulio nakshiwa kwa ustadi mkubwa. (Neno 'starehe' enzi hizo ndio lilitumika kujibu pindi ubishapo hodi na kukaribishwa)

Nilipofungua mlango nikakutana na korido ndefu nyembamba (wakati huo iliitwa 'ukumbi' japo siyo kama kumbi tuzijuazo leo), pembeni kulia na kushoto kulikuwa milango, wa kushoto ulikuwa mpana ambapo ulikuwa wazi ukiwa umesitiriwa na pazia zuri jepesi lenye 'kuangaza' (transparent) la rangi nyeupe, upande wa kulia mlango ulikuwa umefungwa, na milango mingine mitatu pia ilikuwa imefungwa.

Mbele mwisho wa korido kulikuwa na mlango ambao ulikuwa wazi kiasi cha kuweza kuona nafasi kubwa iliyokuwepo na sehemu ya uzio wenyeji waliita uani (sikuhizi ukisema uani watu watajuwa ni maliwatoni)
************

"Karibu tupo huku varandani"
Ile sauti nyororo iliendelea kunikaribisha na sauti hiyo ilitokea upande ule wa pazia jepesi angavu ambapo nilivyoingia nikatambua kuwa pale palikuwa ndiyo sebuleni.

Kabla ya kuingia nilivua viatu vyangu (raba - Morogoro shoes), havikutoa harufu mbaya kwa kuwa ndiyo nimevivaa kwa mara ya kwanza baada ya kuvinunua, vilikiwa vya rangi ya bluu na soksi zangu nyeupe. Hapo mlangoni kulikuwa na viatu vya sandarusi vyenye ukubwa tofauti pea tatu... nikajuwa utaratibu wa kuingia humo ni pamoja na kuvua viatu.

Nilipekenyua pazia kulia na kushoto na kupiga hatua kuvuka kivingiti cha mlango na kukanyaga zulia zuri la manyoya manyoya.

Ndani niliwakuta wanawake wawili na mtoto mmoja mdogo wa chini ya miaka mitano. Wale wanawake mmoja alikuwa mwafrika, amejitanda vizuri ushungi huku akiwa ameshika ukili (alikuwa anasuka mkeka).

Wote walikuwa wamekaa chini na kuegemea mito midogo, hapakuwa na viti bali meza ndogo iliyo chinichini sana jirani na zulia.

Yule mwanamke wa pili alikuwa mweupe, asili ya Asia, na sikuweza kufahamu maramoja kama alikuwa Mwarabu ama Mhindi. Alikuwa anakoroga maji ya rangirangi akichanganya sukari na yale maji, bila shaka alikuwa anaandaa "ashkrim", watoto walikuwa wanaita hivyo. Zilikuwa zile "icecream" (malai) ambaozo maji huwekwa kwenye "kijikopo" kidogo kisha kuchomekwa kijiti cha chelewa ambapo maji yakiganda kile kijiti huwa ni sehemu ya kushika ashkrim hiyo.

"Karibu uketi"

Alisema yule mwanamke 'mwarabu' huku akiendelea na kazi yake.

Ndipo nikajuwa kuwa ile sauti nyororo ni ya huyo mama.

"HAMIDAAAA"

Aliita yule mama wa kiarabu.

Mara nikasikia sauti mlango fulani ukifunguliwa na kisha hatua za kivivu zikija upande wetu kutokea koridoni.

Pazia lilisogezwa pembeni akachungulia msichana aliye jitanda ushungi.

"Abee"
Yule binti aliitikia huku akimuangalia yule mama mkoroga malai.

"Hebu kamletee mgeni kinywaji"

Yule binti aliondoka bila kusema neno.

"Mzee Mjumbe nimemkuta?"

Niliuliza hivyo baada ya kuwasalimia kama ilivyo desturi na kujitambulisha.

"Tangia alivyoenda msikitini bado hajarudi, bila shaka atakuwa pale Shibam wanapocheza keram na zuna"

Alijibu yule mama huku ameinama akiendelea na kazi yake.
*************************

Michezo ya Keram, Zuna, Karata, Bao ilikuwa maarufu sana kwenye 'kijiwe' cha kahawa na tangawizi pale Shibam na sehemu nyingine jijini Dar es Salaam. Mambo na mipango mbalimbali ilijadiliwa hapo ikiwemo siasa, michezo nk.

Mara yule binti alirudi huku ameshika magi iliyojaa sharubati na mkono wa kushoto ameshika bilauli ya bati.

Alimimina ile togwa kwenye ile bilauli mbele yangu kisha akanipatia. Ilikuwa togwa ya mtama uliokobolewa na kutengenezwa kwa ustadi mkubwa.

Maeneo ya FAYA (fire brigade) hivi sasa, zamani palikuwa na mti wa muembe mkubwa ambapo palikuwa maarufu sana kwa biashara ya togwa hadi eneo hilo likapewa jina la "mwembe togwa"

Pia haikuwa ajabu kukuta sinia yenye maji iliyowekwa chupa za 'fanta' ndani mkiwa na togwa, imezibwa na kipande cha gazeti iliyokunjwa vema kwenye kila chupa, wengine waliweka chupa moja tu ama stuli iliyofunikwa kawa bila kitu ndani, wateja hutambua moja kwa moja kwamba hapo kuna biashara fulani.
**********************

Niliipokea ile bilauli na kuigigida (kuinywa kwa haraka) kwa nilikiwa nataka niondoke niwahi kupeleka ujumbe sehemu nyingine kwa kuwa hapo tayari niliwaachia moja ya barua nilizokuwa nazo.

Nilikuwa nina karatasi kadhaa (barua) za kuwasambazia wajumbe wa nyumba 'kumi kumi' (waliitwa hivyo) kutoka kwa Katibu Kata, Kata ya Magomeni...

Niliwaaga wale wenyeji mle sebuleni na kuanza kuondoka. Yule binti naye akachukuwa ile bilauli pekee na kuacha magi yenye togwa iliyobakia pale sebuleni...
***********

Wakati navaa viatu pale koridoni, Hamida (siyo jina lake halisi) naye akawa anakuja kutoka uani (siyo maliwatoni) huku ameshika bilauli nne mkononi...

Nikawa namuangalia huku nikiwa nafunga kamba za viatu. Mara ghafla mtandio ukateleza akabaki kichwa wazi...

Moyo ulinilipuka paa! Kwa kumuona Hamida vizuri waziwazi...

Aliinama haraka haraka na kuchukuwa mtandio wake lakini kwa bahati mbaya tena zile bilauli zikamponyoka na kuanguka sakafuni...

=
=
=
.......
****
Hivi ndivyo nilivyokutana na Hamida wangu...

Nilianzisha uzi wake kwa kuwa stori hii haikuwa "kimasihara"

Pitia uzi huu Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"

______________
James Jason
Hata kama ni nzuri, siyo pahala pake. Anzisha uzi wa riwaya
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Ha ha ha ngala ngala nalionea huruma. Itakuwa zee milage zimesoma kinoma, maana gari bovu huvutwa na zima
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Tumepata upande wa pili leo wa story

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Eehe Christmass hiyo nimeenda kula likizoo yani nimefika leo kesho yake nikaenda kwa mshkaji wangu huwa ana Kimpesa chake sasa nikamuona demu flani sio mkali sana ila ana kitako nikasema Shemeji naona umekuja kumsalimia kaka Broa akadakia shemeji yako wapi wew sema umeelewa mzigoo huu... Aaha nikasema naogopa laana ya kaka tukaishia hapo...!! Kwa mbali hivi kuna mama alikuwa anapika Vibama ni kama vichapati flani manzi akasema natamani ninywe na soda me sasa wallet imetuna confidence ipo ya kumwagaaaa nikaropoka kunywa hata Kreti shem wew tu.

Kesho yake huyo kaja tena nikamuita shem darling mambo kakajibu poa beib... Hapo hapo kakaomba vocha yani balaa nikasema nipe namba nikurushie faster! Siku mbili mbele nikamuita jae geto akazingua na mimi hapo nina siku mbili kusepaa Kichekesho kesho yake jioni nikamtxt mpenzi tutoke bhasi hata twende tukatembee kidogo akamute.. Kufika saa 2 akasema nimpitie pale kwao nikaenda hapo kumbe hata hajaanza kuvaa nikamwambia me siwezi kuendelea kusubiri hapa nje akasema pita ndani yeee nikasema hapa ameishaaa huyuuu.

Kufika kamevaa khanga alafu kamejilazaa na mimi nikaenda nikajaza pembeni etii kanaanza kusema wee huogopi kukutwa humu??? Nikutwe tu maana nishapawa anza kushika shika hagomii nikitaka kuweka anasema huwezi Nitom..bea kwangu dharau hizi nikasema ooho subiri utalegea tu yani yule manzi utelezi umejaa ila anabana mapajaaa aisee kufika saa saba akaachiaa eehe Mngoni yuleee niliwekaaaa mpaka akasema unanikomoa au... Kuna ile demu kalala ubavu alafu kabinua kiunoo hivi eehe balaa tupu alafu yeye akifika unasikia tu anakaza misuli alafu anatoa ute mzitoo balaa ambao unaongeza mzuka na utelezi wa kutoshaa ikafika point nkaamua nimuache alalee.... Ubaya wake hakujua nakaribia kuondoka yani kesho yake nachat nae nipo kwenye gari.. Nikawa namdanganya nimeenda kufatilia mpunga wa biashara ntarudi ila ndo ikawa nitolee.
Southern highland hii lazima vibama

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Jamaaa alifaidi sana maana kwa uandishi wako huu unasadifu kuwa yaliyomo yamo halafu kitu ilikuwa na muda mrefu haijachakatwa

Kwema lakini mkuu Joanah
Umemquote Joannah lakini umenitag mimi...yaaani ulichofanya ni sawa na una shida na vodacom lakini unapigia airtel

Niko poa T 1990 ELY ...heri ya mwaka mpya
 
Baada ya kusoma sana za wenzangu acha nishushe yangu.

Baada ya kumaliza chuo nikarudi kitaa. kuna familia moja( mke na mume) ilikuwa inanikubali sana maana nilikuwa kijana mstaarabu pale kitaa. Sasa akaja mtoto wa mdogo wake mama mwenye nyumba. Siku naenda wasalimia nikamkuta nikatambulishwa huyu ni dada yako mgeni kaja kutembea tembea. Basi tukawa tunaitana brother and sister alikuwa age kama 25plus hivi.
Akitaka kufanya manunuzi ya ndani naotwa niende nae msaidia kununua vitu. Na nilikuwa naaminika sana.

Mjini kutamu bwana mtoto akaanza pendeza nikamchek kwa jicho la pili nikaona mtoto kanona tako linazidi kujaa. Akili zikaanza hamia chini. Ila nikawa sijui namuanzaje huyu sasa. Kuna siku nilikuwa naumwa akaja hime kunicheki. Home nilikuwa Niko peke yangu hadi weekend ndio familia inarudi kutokana na kazi zao. Siku hiyo naumwa joto limeongezeka mtoto akichukua kitaulo akakilowesha maji akawa ananipangisa pangua kila sehemu akanitia nyege hasa ila ndo naumwa afu sijui namuanzisha vipi.

After 5 days nikawa nimepona nikamuita aje kunifanyia tena maana nikamwambia nili enjoy hapo nilikuwa naumwa. Akafanya kosa akakubali kuja. Basi wakati anafanya hivyo na mimi nikawa namshika kwenye shingo napapasa ile kiwiziwizi. Naona ananiachia tu. Nikaweka mkono kwenye paja ila huu ya nguo napapasa kaniachia tu.

Alikuwa kavaa sketi nikazamisha kwanye paja halisi afu nasonga kuelekea kwenye qumer akanizuia mkono unataka fanya nini. Nikamwambia na enjoy tu kuchezea chezea ila siwazii kufanya chochote kile si akaniruhusu . Nikasogeza mkono hadi kwenye K. Nikaona kaaacha kunipangusa na kitaulo pumzi imeongezeka nikazidi chezea K juu ya chupi akanogewa. Nikamlaza sasa maana tulikuwa tumekaa kwenye sofa. Nikapanda juu shika maziwa pale ndo nikammaliza nyege zake ziko kwenye maziwa. Nikamvua brauzi na sidiria anza kunyonya nyonya sana kiustadi kiwango cha SGR. Mtoto anahema tu juu juu jasho linamtoka..nikamtoa sketi akabaki na chu***** nikakuta kaloana hasa.

Nikamnyanyua fasta fasta nikamwambia tuhamie chumbani hapa nafasi ndogo kwenye sofa..
Akastuka akasema unataka kufanya nini nikamwambia nakuchezea sana mimi huwa naridhika kumshika shika mwanamke tu. kuto****a sio lazima. nikampeleka ghetto sasa fikisha chumbani nyonya sana ziwa nimlegeze. Nikatoa chupi. Pima oil ipo ya kutosha nikaona ananishika ub[/B][/B] na yeye. Nikavua nguo fasta afu weka kifo cha Mende nikaendelea nyonya maziwa ili nikipachika mkunyenge ashangae umezama tuu.

Nikawa naugusisha kidogo kwenye mbususu nails timing baadae nikaipenyea chwiiiiii alikuwa ameloana basi ilipenya polepoleeee..nasikiaaaa aishiiiiiiiiii vannistelroooy imooo. Nikaanza sugua mbususu huku nanyonya maziwa dakika chache tu naona mtu ananikamataaaa kwa nguvuuuu..ananibanaaaa akawa kapiga bao..basi na mi nikalisaka langu nikamwagia nje.

Akawa kasizi kama 10 minutes hivi baadae akaamka akavaa nikampa nguo zake. Akawa anaona aibu sasa akasema imekuwaje nikamwambia bahati mbaya tu hii. Akaniambia ila nakuomba jinsi tulivyozoeana iwe hivi hivi usinichukulie tofauti nikamwambia haina noma hata mi usinichukulie tofauti..

Mtoto akasepa zake kufika kwao akanitumia bonge la meseji kunisifia nanukuu baadhi "sijawahi kuto****** kama ulivyonito****** wewe leo asante sana wewe ni fundi hasa"
Sikuijibu meseji kesho yake nika mcall nikamwambia njoo akaja alivyofika nikampeleka chumbani mwenye we akaelekea nikamla tena.

Basi alikuwa demu nilikuwa najilia mitaa ya mbali sasa ku maintain siri hasaa. Nilimtafuta kama kwa miaka minne hivi akawa karudi kwao. Ila kila akija dar naendelea kumtafuna. Nilikuja acha baada ya kuoa alini mind sana akasema alijua mi ndo nitamuoa

Washikaji wa kitaa walokula kibuti walikuwa wanasema yule dada yako jirani mgumu kinoma. sijui nani anamtafuta kumbe muhuni najilia juu kwa juu.
 
Hivi ilikuwaje ukajiita Joannah mkuu?ulikuwa member hapo kabla?huoni tunavyochanganyana manake majina yetu yanafanana sana

Nimeuliza sio kwa ubaya
Kwanza Mimi hii sio nickname Ni jina langu kweli, so nilvyotaka kujiunga jf sikujua Kuna member ana jina Kama hili, ? baadae ndio nakuona unatrend ...nilivyoingia username haikuonyesha Kuna mtu ana same name nadhani Ni Sababu ya tofauti za spelling..
 
Back
Top Bottom