Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Hii chai hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula kimasihara kumenigharimu

Hapa kitaa Kuna Dem mmoja mkalii Sana amekamilika kila idara anadeti na mtoto wa kigogo ni waziri wa wizara x Sasa uyu Dem ni mshikaji wangu kitambo Sana anajua mahusiano yangu namimi nayajua yake

Huyu jamaa ake ambaye ni mtoto wa kigogo anaonekana ana wivu Sana kwa bibie hivyo wamekua wakugombana kila Mara na jamaa hatakagi demu awasiliane au awe na urafiki na mwanaume yeyote yule ilifikia steji mpaka jamaa akaanza kumpiga mrembo sababu tu ya wivu akikuta Dem kawasiliana na mwanaume anamshushia kipigo kikali demu anampenda kweli jamaa ila iyo Hali ikawa inamuumiza Sana demu kaja kwangu akawa ananielezea nikawa ni mtu wa kumfariji na kumtia moyo Sana kipindi anapokua amekosana na jamaa ake

Nakumbuka ilikua Christmas ya mwaka Jana nipo zangu kwangu mida ya saa nne asubuhi mlango ukagongwa kutoka nje nakutana na mrembo sikuwahi kuwaza Kama Kuna siku angekuja magetoni maana mazingira tuliyokua nayo ni ya kuwasiliana au wakati mwingine kupishana njiani na kupeana hi tuu Basi nikamkaribisha akaingia ndani Ile kuketi tuu mrembo akaanza Julia ikabidi nimsogelee nikamuuliza ku namimi Tena mrembo akaniambia ametoka kuonana na mshikaji wake wamegombana Sana kwani kupitia simu ya mshikaji aligundua jamaa alimsaliti usiku wa kuamkia iyo Christmas kwani alivofatilia meseji kwenye simu yake Kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kumpiga shoo nzuri

Kama kawaida yangu Mimi ndio nilikua mfariji wake mkuu nikaanza kumfariji pale bembeleza Sana ili asiendelee kulia kweli nikafanikiwa kumweka sawa baada ya muda demu akaniuliza vipi sikukuu nikamwambia imenikuta vibaya Niko apeche alolo ila Nina kamwaliko nimekapata kwa ndugu hivyo mchana nitahudhuria

Dem akaniambia nimekua mtu wa muhimu Sana kwake Mara nyingi anapopitia changamoto nimekua nae bega kwa bega kumshauri hivyo anataman iyo siku anipikie chakula kizuri na asherehekee namimi pale kwangu nikamwambia Basi sawa Haina tatizo kwa kua nilikua Sina ratiba ya kupika ikabidi niende kwa mtaa kutafuta mazaga ya kupika pika picha linaanza wakati narudi nakuta geto linapigwa mng,ao nakuta mrembo kaingia chumbani kabadilisha nguo kavaa t-shirt yangu na kajifunga taulo langu juu ya suruali aliyokua kaivaa mmh nikajiuliza kimoyo moyo Kuna usalama kweli hapa Leo nikajisemea acha muda utaniambia

Baada ya usafi wa kutosha mrembo kapika kamaliza kabla ya kula mrembo kaomba akaoge nikamruhusu mmh wakati anatoka bafuni alitoka kavaa lile taulo langu tuu mmh nikasema niache ubwege pamoja na kuheshimiana sijui nini acha niruhusu akili za kichwa Cha juu zihamie kichwa chini wakati wa kula nashangaa nalishwa Mara kugusana gusana tukajikuta tupo sita kwa sita ilipigwa show moja kabambe ya kuanzia Christmas mpaka kuamkia boxing day ni mwendo wa kuchakatana aisee yule mrembo alikua mtamu Sana katika Maisha yangu sikuwahi kudate na pisi Kali Kama Ile

Baada ya hapo Sasa mapenzi yakahama kutoka kwa jamaa kuja kwangu Dem akatokea kunipenda sana Yani mpaka inafikia steji ananiambia alikua yupo jela ya mapenzi sasa yupo huru wakati huo ameshamchana mtoto wa waziri wa break up lakini mtoto wa waziri Sasa hivi ndio Kama ameanza kuona umuhimu wa mrembo hivyo anahangaikaa amrudishe ameenda kupekenyua huko mtandaoni kudadisi saivi anadate na nani nikakutwa ni kapuku Mimi akachukua mawasiliano yangu akanipigia akanichimba mkwara mzito Sana niachane na mrembo mi nikamkubalia hata sitakagi bato ambazo naona siziwezi mtihani unakuja mrembo hataki kunielewa kabisa kuhusu kuachana ameniambia ni Bora afe ila sio kuachana namimi nikamwambia tukiendelea kudate uwezekano wa Mimi kupotezwa na wasiojulikna ni mkubwa hanielewi nipo nawaza mpaka muda huu wadau sijui nijipeleke polisi nikaripoti maana nahisi tu kufanyiwa tukio na huyu mwamba maana imefikia mpaka nimemwambia ukweli mi nipo tayari kuachana na binti ila yeye ndo hataki jamaa haelewi ananiambia Mimi ndio nampa kiburi jamaa ananitumia meseji nyingi za vitisho Yan mpaka nimeanza kujuta kulala na yule mrembo wakuu
hawez kuelewa ata kama umemuambia umemuacha uyo mrembo.cha msingi fanya kuishi kama rambo kwa taathari,au amia mtaa wa mbali kidogo,na pia jaribu kuweka privacy ya maisha yako kwa sababu za kiusalama,ni vizuri pia kutoa taarifa polisi ya kupokea meseji za vitisho,mrembo anatakiwa aje kwako mda maalumu tu tena kwa taadhari.
#make the best choice of ur life.
 
hawez kuelewa ata kama umemuambia umemuacha uyo mrembo.cha msingi fanya kuishi kama rambo kwa taathari,au amia mtaa wa mbali kidogo,na pia jaribu kuweka privacy ya maisha yako kwa sababu za kiusalama,ni vizuri pia kutoa taarifa polisi ya kupokea meseji za vitisho,mrembo anatakiwa aje kwako mda maalumu tu tena kwa taadhari.
#make the t choice of ur

hawez kuelewa ata kama umemuambia umemuacha uyo mrembo.cha msingi fanya kuishi kama rambo kwa taathari,au amia mtaa wa mbali kidogo,na pia jaribu kuweka privacy ya maisha yako kwa sababu za kiusalama,ni vizuri pia kutoa taarifa polisi ya kupokea meseji za vitisho,mrembo anatakiwa aje kwako mda maalumu tu tena kwa taadhari.
#make the best choice of ur life.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Wanaogopa bullying na kupoteza fursa......Ila trust watu wa visa vitamin Sana huko ma weekend watu wanaliwa daily
ewaaa nahiyo ndo shida

Yaan watu wangekua kama Mimi mzungu

Mie sina shida hata uweke visa vyako kumi, kama nmekuelewa hata Sikujaji, nakuPM tu.

Si kondom zipo???
 
Duh balaa...kweli jamaa alidata. Wee wanaume as long as unapata mwanamke ambaye anajua kuwa una mke na bado anaendelea kukupa mbususu with no attachments she is a keeper
Kuna mmoja huyo alikuja kwa ajili ya chrismass mpaka Leo hajaondoka najilia tu kiroho safi
Kesho ndio ntakuwa na game ya kuagana nae ili aondoke aende zake Dar huko kwa bwana ake

Maombi yenu wakuu niwakilishe vizur kiumeni
 
Kuna mmoja huyo alikuja kwa ajili ya chrismass mpaka Leo hajaondoka najilia tu kiroho safi
Kesho ndio ntakuwa na game ya kuagana nae ili aondoke aende zake Dar huko kwa bwana ake

Maombi yenu wakuu niwakilishe vizur kiumeni
safi mwanawane wewe isasambue hiyo mbususu. amekuja huko kwa ajili ya kugegedwa. mwanamke akija kwako amekuja kugegedwa maana wao wenyewe wanasemaga hamnaga urafiki wa mwanaume na mwanamke.
 
Kula kimasihara kumenigharimu

Hapa kitaa Kuna Dem mmoja mkalii Sana amekamilika kila idara anadeti na mtoto wa kigogo ni waziri wa wizara x Sasa uyu Dem ni mshikaji wangu kitambo Sana anajua mahusiano yangu namimi nayajua yake

Huyu jamaa ake ambaye ni mtoto wa kigogo anaonekana ana wivu Sana kwa bibie hivyo wamekua wakugombana kila Mara na jamaa hatakagi demu awasiliane au awe na urafiki na mwanaume yeyote yule ilifikia steji mpaka jamaa akaanza kumpiga mrembo sababu tu ya wivu akikuta Dem kawasiliana na mwanaume anamshushia kipigo kikali demu anampenda kweli jamaa ila iyo Hali ikawa inamuumiza Sana demu kaja kwangu akawa ananielezea nikawa ni mtu wa kumfariji na kumtia moyo Sana kipindi anapokua amekosana na jamaa ake

Nakumbuka ilikua Christmas ya mwaka Jana nipo zangu kwangu mida ya saa nne asubuhi mlango ukagongwa kutoka nje nakutana na mrembo sikuwahi kuwaza Kama Kuna siku angekuja magetoni maana mazingira tuliyokua nayo ni ya kuwasiliana au wakati mwingine kupishana njiani na kupeana hi tuu Basi nikamkaribisha akaingia ndani Ile kuketi tuu mrembo akaanza Julia ikabidi nimsogelee nikamuuliza ku namimi Tena mrembo akaniambia ametoka kuonana na mshikaji wake wamegombana Sana kwani kupitia simu ya mshikaji aligundua jamaa alimsaliti usiku wa kuamkia iyo Christmas kwani alivofatilia meseji kwenye simu yake Kuna mwanamke alikua anamshukuru kwa kumpiga shoo nzuri

Kama kawaida yangu Mimi ndio nilikua mfariji wake mkuu nikaanza kumfariji pale bembeleza Sana ili asiendelee kulia kweli nikafanikiwa kumweka sawa baada ya muda demu akaniuliza vipi sikukuu nikamwambia imenikuta vibaya Niko apeche alolo ila Nina kamwaliko nimekapata kwa ndugu hivyo mchana nitahudhuria

Dem akaniambia nimekua mtu wa muhimu Sana kwake Mara nyingi anapopitia changamoto nimekua nae bega kwa bega kumshauri hivyo anataman iyo siku anipikie chakula kizuri na asherehekee namimi pale kwangu nikamwambia Basi sawa Haina tatizo kwa kua nilikua Sina ratiba ya kupika ikabidi niende kwa mtaa kutafuta mazaga ya kupika pika picha linaanza wakati narudi nakuta geto linapigwa mng,ao nakuta mrembo kaingia chumbani kabadilisha nguo kavaa t-shirt yangu na kajifunga taulo langu juu ya suruali aliyokua kaivaa mmh nikajiuliza kimoyo moyo Kuna usalama kweli hapa Leo nikajisemea acha muda utaniambia

Baada ya usafi wa kutosha mrembo kapika kamaliza kabla ya kula mrembo kaomba akaoge nikamruhusu mmh wakati anatoka bafuni alitoka kavaa lile taulo langu tuu mmh nikasema niache ubwege pamoja na kuheshimiana sijui nini acha niruhusu akili za kichwa Cha juu zihamie kichwa chini wakati wa kula nashangaa nalishwa Mara kugusana gusana tukajikuta tupo sita kwa sita ilipigwa show moja kabambe ya kuanzia Christmas mpaka kuamkia boxing day ni mwendo wa kuchakatana aisee yule mrembo alikua mtamu Sana katika Maisha yangu sikuwahi kudate na pisi Kali Kama Ile

Baada ya hapo Sasa mapenzi yakahama kutoka kwa jamaa kuja kwangu Dem akatokea kunipenda sana Yani mpaka inafikia steji ananiambia alikua yupo jela ya mapenzi sasa yupo huru wakati huo ameshamchana mtoto wa waziri wa break up lakini mtoto wa waziri Sasa hivi ndio Kama ameanza kuona umuhimu wa mrembo hivyo anahangaikaa amrudishe ameenda kupekenyua huko mtandaoni kudadisi saivi anadate na nani nikakutwa ni kapuku Mimi akachukua mawasiliano yangu akanipigia akanichimba mkwara mzito Sana niachane na mrembo mi nikamkubalia hata sitakagi bato ambazo naona siziwezi mtihani unakuja mrembo hataki kunielewa kabisa kuhusu kuachana ameniambia ni Bora afe ila sio kuachana namimi nikamwambia tukiendelea kudate uwezekano wa Mimi kupotezwa na wasiojulikna ni mkubwa hanielewi nipo nawaza mpaka muda huu wadau sijui nijipeleke polisi nikaripoti maana nahisi tu kufanyiwa tukio na huyu mwamba maana imefikia mpaka nimemwambia ukweli mi nipo tayari kuachana na binti ila yeye ndo hataki jamaa haelewi ananiambia Mimi ndio nampa kiburi jamaa ananitumia meseji nyingi za vitisho Yan mpaka nimeanza kujuta kulala na yule mrembo wakuu

Huyu mwanamke ulimla kwa sababu alitaka kulipa kisasi kwa mtu wake. Na alitafuta nani wa kumla akaona wewe kwenye list ndio una score mingi akakuletea
 
MASIKHARA KAMA MASIKHARA


Picha linaanza nimemaliza bachelor yangu huku Nina stress ya breakup ya hatari,muda so mwingi nikabahatika kupata ajira kwenye NGO kubwa Ina matawi kibao ndani na nje ya nchi...hapa ndio balaa lilipoanza,Ile naenda report huyo boss nusu nizimie kwa mstuko jinsi alivyokuwa chombo,,,Boss alikuwa anamvuto yule jamani Kaka flan hivi anatokea Kilimanjaro hiyo body,rangi,anavyoongea uwiii hakuna mwanamke anachomoka pale..jamani boss alikuwa anajua kunukia mipafyum ya hatari yule ,anajua kuvaa kuanzia pamba zake mpaka mikanda na saa zake aisee siwezi maliza muelezea.Tatizo la boss alikuwa kauzu Sana,anampenda huyo mkewe Mara watumie gari moja asubuhi mkewe anamdrop jioni anapitia waliokuwa wapya wapya kwenye ndoa..

Basi Mimi nikaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa Kama kawaida,nilivyojua hapendi shobo Mimi ndio nikajitune zaidi Sina mazoea Wala shobo nae.

Miezi mitatu kupita ikatokea tunatakiwa kwenda semina Arusha,Tulitakiwa kwenda wanne boss,Kaka mwingine,Dada mwingine na mimi....Nakumbuka siku ya Safari Dada alipata udhuru mtoto wake alivunjika mguu so akaomba abaki amwangalie,..Basi mida ya saa mbili asubuhi siku ya jumamosi tuliondoka maeneo ya ofisini sisi watatu dereva akawa huyu Kaka mwingine,huyu Kaka mwingine na boss Ni washkaji Ila sikujua Wana ukaribu kiasi hicho,haooo kufikia stop over gari imesimama naona tuna mdada mpya kaingia nikajua tu bila kutumia nguvu Ni chombo ya huyu Kaka mwingine,tukasafiri salama kabisa muda mwingi nikitumia kulala boss alikuwa anaangalia nini sijui kwenye laptop yake huku anakunywa Jack Daniels mdogomdogo...
Tulifika Kama saa mbili kasoro hivi,hao mpaka hotelini,kukodi room wanasema vimabaki 2 tu Ni high season,Sasa Kaka mwingine akasema yeye Basi atenda lala hotel nyingine yeye na mgeni wake,,,boss akajibu no no nooo!sisi tutashare chumba hakuna kitu kitachotokea,halafu akanigeukia kwa utani eti Joannah au utanidhuru nikajibu siwezi boss...Basi tukagawana vyumba nikaingia chumbani na boss wangu kinanda..Nikaingia kuoga maana ilibidi twende dinner na wadau waliotoka mikoa mingine,nikasema moyoni leo sijuii!nikaoga fresh nikavaa nikakaa namsubiri boss aoge tofauti na Mimi yeye hakuvalia bathroom nikasema rohoni boss unanibip au?
Tukaenda dinner tukaenjoy Sana japo sikuwa na ukaribu na boss hata kidogo nikawa busy na Kaka mmoja alitokea mbeya yeye nikawa namchek boss ananitupia jicho la wizi wizi nikasema eeeh mbuzi kafia kwa muuza supu..sijui na yeye alikuwa anawaza nini

Saa 1:45 tumerudi hotel,boss ana JD zake kichwani Mimi nilikunywa glass Kama 3 za wine, nilikuwa na akili timamu kabisaa...nilivyoingia room Nikaanza kuvua nguo nikaoge maana huwezi lala kitanda kimoja na senior wako bila kuoga,Ile nimengia kuoga maji matamu Yana joto la wastani si mnnajua kulivyo baridi kule,naskia mtu kaingia nimejipaka shower gel najisugua bila brush taratibuuu(ilikuwa show tu yaani,boss nae akajaa)boss huyu hapa Kama alivyozaliwa kaja kashika kiuno..Mimi Tena nazuga aaaaaaaaaah boss mapigo ya Moyo yamebadili speed,boss kaniwekea kidevu chake maeneo yakati ya mabega na shingo ndevu zinachochoma kwa mbalii,"Jo naomba nikuogeshe"Kabla sijajibu mkono umepita kunako nyonyo analiminyaminya,mie ooooooh lakini we ni......."kanigeuza"shhhhhhhhhhh forget it,call my name"....Kanirukia lips boss jamani anajua Mambo Nyie, sijakaa vizuri boss ananawa jamani....nilipewa mbilinge za maandalizi huku vimaji Moto vinatumwagikia nikaaomba poooh....hakunifanya kitu tukarudi chumbani,,Boss ndio kawa mtenda kazi mkuu kanifutaa na taulo vizuriii kanirushia kitandani Ile kufumbua na kufumbua my darling boss anadeki kila kona ya mwili.....siwezi maliza hii kitu Ila usiku ule ulikuwa the Night to remember! Darling boss alienjoy maana nilikuwa sijafanya hizo shughuli muda so nilikuwa high Sana alipata ushirikiano wa kutosha.....Basi ndio hivyo Tena tukalana kimasihara na penzi nikaendelea Kama miaka 4 mbele japo lilikuwa la Siri mno Ila nilienjoy kitandani na matunzo kwa ujumla hakuwa bahili my darling boss.....msiniulize alikwenda wapi,yupo tuliachana baada ya kupata hili ngalangala langu.....jmosi njema tunywe kistaarabu
Ewaaaaaah hapo sasa, weuweeeeeeh.
 
Huyu mwanamke ulimla kwa sababu alitaka kulipa kisasi kwa mtu wake. Na alitafuta nani wa kumla akaona wewe kwenye list ndio una score mingi akakuletea
Mwanzoni niliwaza hivi pia ila kilichokuja kunichanganya ni vile mapenzi yalivyohamia kwangu ghafla mpaka yupo tayari kujirisk hata Maisha kwa ajili yangu
 
Asubuh nimedamka kuelekea katikati ya jiji kuendelea na mishemishe za kujenga taifa mfukon nina pesa ya kitanzania tsh 10000/= nimepanda dalala ambayo ilijaa sana watu asubuh ile wapo na haraka na michakato yao ya kila siku

Basi nikafika ninaposhuka nikatoa ile pesa kwa asubuh ile kondacta alilaumu sana kwann nampa 10k akasema hana chench akaomba kwa abiria bila mafanikio na kituo nilichoshuka hakukua na duka ambalo angeomba chench basi nilishuka na binti mmoja alietupia ushungi yeye alitoa buku hivyo konda alimuomba akate ya watu wawil then sisi tutamalizana bint kakubali ikawa hivyo

Nimebaki na bint pale kituon akaniambia yeye hana pesa nyingine hivyo tutafute chench ili apate 400 yake nikasema sawa hao tukatoka kwenda ng'ambo ya pili ya barabara tunakuta kibanda cha wakala alikuwa anafungua muda ule nikaomba kuweka 2k kwenye simu aliponipa chench nikampa yule dada buku mbili akashukuru tukaanza safari ya kuvuka tena barabara hapo tulipiga story kidogo tukafahamiana akaondoka zake na mm nikaondoka zangu

Wakala ananipigia...
Imepita kama dk 20 tokea tuachane naona wakala amenichek kuniambia nimeacha funguo namba zangu aliziona nadhan kwny msg za pesa
_ yule dada alisahau funguo za nyuban kwake pale kwa wakala basi mida mida katika mishemishe nikajikuta nipo karibu na wakala nikaenda story mbili tatu akanipafunguo kwa vile bint aliniambia anapofanyia kaz nikaona nimpitishie ... kutokea pale mambo yakawa mengi nikasahau kupitisha funguo za watu kidogo jion hii hapa

Niliona namba ngeni imepiga kupokea akanipa utambulisho na kuniambia amepoteza funguo na amepita sehem zote alizopita asubuh hadi kwa wakala na kumuambia nimezichukua na namba alipewa na wakala. Niliomba msamaha kwa kutompitishia tukakubaliana tukutane sehem nimpe funguo yake

Huo ndo ulikuwa mwanzo ya mawasiliano yetu tulizoeana kidogo ikawa kila asubuh ananichek ili nimpitie tuondoke wote .... itaendelea
 
Back
Top Bottom