Chaiiiii
 
Pita kushoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema chanta bull imekuja kasi sana, ila la charlz na mtini ni kwa ma pro pesa na wenye status duniani hapa, napenda hunt club kule swimming pool bas, [emoji7][emoji7]
Ukirudii nishtuee nikupelekee[emoji23][emoji23]ukanifundishee kuswim[emoji124][emoji124]
 
Ukirudii nishtuee nikupelekee[emoji23][emoji23]ukanifundishee kuswim[emoji124][emoji124]
Weuweeeeeh hapo sasa offer km hizi naachaje sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakustua bhana, ila home kwetu huko tatzo viwanja viko medium xan, sio classic kivilee.

Afu nmeona pia pale UGABE HOTEL flow ya chini mwshoni wamefungua km glocery na club ivi, nlipita sku 1 nkakuta watu wanapiga vyombo, nkashangaa sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji15][emoji15][emoji15] gays.
Kumbe Tanga kunasifiwa kwa nini sasa!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tanga hakuna maajabu bhana, wanawasifia buree tyuuh, sio ufundi had muundo wangoni ni [emoji3493] Level. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio huyo tyuuh wapo wengi mno, songea hatujawahi ku fail ktk kukamatia fursa, tunachukua nzima nzima

Hata wee kajichanganye uone, utaleta mrejesho. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm s
Songea kwetu, ila John mshikaji wangu sana
 

Hahaha kwanini ukufuta hayo maji ukakimbia ? Hakika wewe ulikuwa na wenge
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…