Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

sema chanta bull imekuja kasi sana, ila la charlz na mtini ni kwa ma pro pesa na wenye status duniani hapa, napenda hunt club kule swimming pool bas,
Ukirudii nishtuee nikupelekeeukanifundishee kuswim
 
Ukirudii nishtuee nikupelekeeukanifundishee kuswim
Weuweeeeeh hapo sasa offer km hizi naachaje sasa,
Ntakustua bhana, ila home kwetu huko tatzo viwanja viko medium xan, sio classic kivilee.

Afu nmeona pia pale UGABE HOTEL flow ya chini mwshoni wamefungua km glocery na club ivi, nlipita sku 1 nkakuta watu wanapiga vyombo, nkashangaa sana
 
sio huyo tyuuh wapo wengi mno, songea hatujawahi ku fail ktk kukamatia fursa, tunachukua nzima nzima

Hata wee kajichanganye uone, utaleta mrejesho.
Mm s
Songea kwetu, ila John mshikaji wangu sana
 
DAADEKI JANA MCHANA.

Dogo alinipigia niende Naye kwake nimsaaidie kumchapia kazi yake ya chuo pia nmsaidie kuifanya kisha aitume kwenye email Kwa MWL wake. Nikaenda zangu Kwa dogo japo nisogeze muda WA mechi ya watani. Nikamsaidia pale kuifanya na kuichapa sasa changamoto ikaja kwenye kuituma ukawa hauendi kwenye simu IPO Tu outbox na pc ya dogo inazingua Sana kuunga net. Tukashauriana akasema kuna mdada mmoja stationary Fulani

Hahaha kwanini ukufuta hayo maji ukakimbia ? Hakika wewe ulikuwa na wenge
 
Weuweeeeeh hapo sasa offer km hizi naachaje sasa,
Ntakustua bhana, ila home kwetu huko tatzo viwanja viko medium xan, sio classic kivilee.

Afu nmeona pia pale UGABE HOTEL flow ya chini mwshoni wamefungua km glocery na club ivi, nlipita sku 1 nkakuta watu wanapiga vyombo, nkashangaa sana
Napitaga juuu juu tuu nadhan kunaa kituu paleee,,,,hata mtaa wa zanzibar karibu na msikiti wa wilay kunaa mpyaa palee inaitwaa KILIMANJARO PUB wew rudii tuu tunyooshee nyooshee viungoo
 
Back
Top Bottom