cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Napitaga juuu juu tuu nadhan kunaa kituu paleee,,,,hata mtaa wa zanzibar karibu na msikiti wa wilay kunaa mpyaa palee inaitwaa KILIMANJARO PUBwew rudii tuu tunyooshee nyooshee viungoo






nkirudi ntakustua hata usijar, hii ya Kilimanjaro sio ndo ile iliyokua nyuma ya jengo la pembejeo za kilimo? Maana nilikuta ndo inaanza kutengenezwa.
kumbeee unakufaham vidhurii tu wakunyumbaa,,,