Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mimi ijumaa ya kesho kutwa (28/2/2020 saa tano uck nitakula tunda kimasihara kwa mtoto mzuri wa kisukuma. Mtoto anatoka mwanza kwenda dar. Mimi nipo morogoro. Nimembeleza afikie kwangu apumzike hata cku mbili. Mtoto kakubali. Namsubiri kwa ham sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hio sio masihara tena mkuu kuna mipango ishafanyika hapo. Masihara ni penzi la surprise au ghafla bila kuexpect mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lamoly huko hapana, liquid iv ilifungwa kisa nn?
Hakujipangaa vyakutosha kiushindanii[emoji23][emoji23][emoji23],,,,alikuja kipindi kibayaa chimbo ka zotee huku GRILL PARK,,,kulee CHANTA,,, mara LaCharz[emoji16][emoji16]unaanzaje kusurvivee
 
Hivi kimasihara unaweza jiandaa hivi?[emoji16]
255753530531_status_87ca36a03bc04057ba6a58e09b02c084.jpg
 
Hakujipangaa vyakutosha kiushindanii[emoji23][emoji23][emoji23],,,,alikuja kipindi kibayaa chimbo ka zotee huku GRILL PARK,,,kulee CHANTA,,, mara LaCharz[emoji16][emoji16]unaanzaje kusurvivee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema chanta bull imekuja kasi sana, ila la charlz na mtini ni kwa ma pro pesa na wenye status duniani hapa, napenda hunt club kule swimming pool bas, [emoji7][emoji7]
 
Back
Top Bottom