kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 257
- 468
Uliwakilisha vizuri sanaAaaaah Qumamamamaeee nimecheka kinomaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Uliwakilisha vizuri sanaAaaaah Qumamamamaeee nimecheka kinomaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
UmemuoaUzi umepoa sana, ila acha na mm niwape kisa japo sio kimasihara mno[emoji2]
Mwezi wa pili mwaka huu nilienda kwenye send-off ya dada yangu mkoani. Kwa kuwa ratiba yangu ya kazi ilikuwa ngumu nilichelewa kufika nikawa nimefika siku ya tukio mishale ya saa 5. Ile kufika karibu na nyumbani kuna mdada alikuja kunipokea na alionesha kunifahamu japo mimi sikuwa
Aaaaaah kumamamake wallaaaaahi, hata uniloge vipi siwez kuoa mwanaume mwenzangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema tyuuh ivo ivo, wenzio wengine wameoa gays wa kingoni, kule sio kwa mchezo lol
Daaaah wanawake ni was*nge aiseeAfter time akapata bwana akaolew ila akawa anakuja na mimba yake hivyo,nkawa namkamua mimaji ndio inazidi kuwa mingi
Nkawa nawaza mtoto asije akakosa ile liquid ya kuogelea bure
Broo story Kali ila huku hatutajagi majina, kama jina ni fictional bac big up, ila kama ni real name hapo umezingua"Herieth, mbona unajitesa? Kabla hujapata usingizi waweza kunijoin hapa kitandani, mm ni kijana mwema"
Duh! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani nimle kimasikhara popote alipo[emoji23]
RickboyNani nimle kimasikhara popote alipo[emoji23]
[emoji3][emoji3] mkuu hapa umetupiga, Vumbi hadi kukawa tope, amekuwa tembo jike huyo au,
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kuna mtu anaenda kupigwa hela ya Christmas na hii AvatarNani nimle kimasikhara popote alipo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nusu kazi iishe kisa huyo demu...nlivyoonana nae nkamwambia aache mawenge....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] achana hiyo mada hapa sio sehemu yake, ila jua na amini hivyo.Aaaaaah kumamamake wallaaaaahi, hata uniloge vipi siwez kuoa mwanaume mwenzangu
NEVER EVER FOREVER, HAIPOGO KABISA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nani nimle kimasikhara popote alipo[emoji23]
aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mwalimu alifika mtaan kwetu alimtembelea rafk yake walisoma wote chuo, cha ajabu akalowea kwa binti aliyeishia la 4m 3 (aliacha shule) akamuoa na kuhamia songea mazima. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ofa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Duh! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wewe hutakiKuna mtu anaenda kupigwa hela ya Christmas na hii Avatar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee sema tyuuh ivo ivo, wenzio wengine wameoa gays wa kingoni, kule sio kwa mchezo lol
Ulivyokuwa unauponda huu Uzi .... Nimeshangaa sana[emoji23]Wewe hutaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mwalimu alifika mtaan kwetu alimtembelea rafk yake walisoma wote chuo, cha ajabu akalowea kwa binti aliyeishia la 4m 3 (aliacha shule) akamuoa na kuhamia songea mazima. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ile ya kwako chai, masihara gani story ndefuuu nilisoma moja nikaishia kati, naona juzi umeeka kipande cha pili.Alaf Kuna mtindo umeingia humu kwamba Kila mtu akieka masihara yake aliyokutana nayo, watu wanasema ni chai,Kila masihara mtu akieka watu wanaropoka tuu 'hio ni chai'.... mm nadhani ni mtu mwenye matatizo ya akili, I will repeat again nadhani ni mtu mwenye matatizo ya akili ambaye anaweza kupoteza muda wake kuandika uongo