Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Daaah Kuna sehemu moja naendaga kula chakula nikiwa siku za kazi ...
basi Kuna muhudumu mmoja huyo mtoto mweupe kang'aa kweli figure anayo mpk unawaza huyu amekoswa nn mpk anafanya kazi kama hizi jamani....
basi kila nilioomba namba ya simu mtoto anachomoa na pale pale Kuna mizee nayo huwa inakomaa kupiga sound kila siku hata mbele yangu naona inakula kibuti...mtoto alikuwa mmbisha na mgumu kinoma haingiliki.........
basi to cut the story short Kuna siku sijui nilitumia njia ya kimafia kupata namba yake nilonunua vocha nikaomba aweke kwake anininulie salio Mimi nadaiwa kwangu mtoto akazama kingi akafanya kama maelekezo yalivyooo.
basi si namba nikaidaka mjuba chatisha Mara wewe nani mie sikujui jitambulisha baadae akanielewa dogo kiroho safi...
Sasa suala ulimcheki anakuliza bati hajibu Wala nn. nikamsoma kwanza nikajua anpoishi na kumbe anaishi mwenyewe.....
basi weekend moja nikaenda bara piga mitungi kwa sana KUJITOA ufahamu na kutafuta gia ya kumuingia kufika saa 6 usiku nikampigia simu na kumuambia mie Fulani toka nnje huku nalia kwa kwikwi kilio Cha kinafiki.....
basi kweli akatoka kujua kulikoni kufika pale nnje kwaake mie nalia nalia tu yaani. nalia mpk akanionea huruma akataka kujua NJ shida ....
basi akakaa pembeni yangu Hapo nimenunua sumu ya panya na Panadol za tsh 2000.
nikamwambia nimekuita kukuachia usia w ahii Barua mie najiua utawapelekea wazazi wangu nilitaka mtu wa kumkabidhibnaenda kujiuliza huko mbele huku nalia na kuondoka ...
basi si akanifuata usendw kujiua huku anaikumbatia ananizuia akanisihi Sana mie namuambia acha nikafe kwnai shida nn simjibu kitu ....(laiti angejua nilikuwa natafuat sympathy yake tu na like ilikuwa the comedy show with fake tears . )
basi kanisihi Sana basi ingia kwangu ulale usiendw kujiua ( nikasema moyoni hapa ndioo nilitaka tufike)
nikavunga staki huku naondoka ananizuia na machozi yakinitiririka.
hatimae kishingo upande nikavunga nimeikubaki kulala kwake.


Inaendeleee.......wadau
Either TATEPA au UTOTO
 
Nataman nishushe nondo zipo za kutosha dem wa kiarabu ndan ya pantoni siku hiyo hiyo nikavuta geto,dem wa arusha pisi moja nyeeupe ndio hulka yangu niliyoitafuna bila kusema lolote zaid ya salam tu na kumfata njian tupo kmy mpk tunafika om,

dem wa rafik angu baada ya kununiana na mchiz wake kilichomponza charg ya smart4n usiku na dem alinikubali sana,

mtoto wa baba wa kambo aliemuoa bimkubwa nilipoenda mombasa kumsalimia bimdash 2012 nikawanajizamia tu chumban kupiga mzigo mpk ile siku naondoka anaanza kulia alfajir huku amekuja chumban kwangu hataki niondoke huku kanikumbatia niliogopa sana aseh hapo nikiangalia mama anajianda nae ili tusepe ilibid nitumie mbinu za kivita hapo kumlainisha chap ili asepe kwamaan alishakolea na dudu mtoto hatak kuelewa

dem mwingine niliemla ndan ya hifadhi ya wanyama katavi national park pemben kuna nyayo ya kiboko na nyati lakin sikujali hilo

mpk ikafika kipind nikaambiwa nina kizizi cha kuwavuta madem na washkaj kutaka niwape kizizi kumbe ni confidenc niliyopata toka niko form 1 nilikuwa nakula midada mikubwa san wakawa wananipa maujuz ya kitandan yananifundisha mafala sana hawa

mpk nikaundiwaga kamati xul kusemwa na member wenzangu wa dorm kuhusu kutembea na wadada wakubwa na wamama ikabid ili aibu ndio nikaanza kuwakwepa ila wanipenda sana nikifulia xul naenda tu kwao nikirud xul mm fogo yan kula vijidem saize yangu nmeanza nikiwa form two miaka hiyo under 2011

visa viko vingi mpk nikaona sina cha kuandika kwamaan ntachoka tu ikabid niwe mpitiaji tu wa jukwaa

kinachoniuma zaid hapa mtaan kwetu kuna bibi anauza vitumbua aseh anatako kubwa balaaa nicole halisogelei bhas mm ananikosha alaf nikikutana nae ananichangamkia yan bibi kaenda age ila ENGINE bado nzima inapumua tena akivaa dera uwiiiiiiiiiiiiiiiiii

mm nachanganyikiwa mpk kuna siku nikajisahau nikaanza kusifia tako la huyo bibi mbele ya mke wangu nikajishtukia baada ya kukatwa jicho na wife
yan akikaa kwenye kigoda linamwagika nataman nimfanyie kimasihara ila najifikiria je akichomoa na tumezoeana salam vzr ila yule bibi namkubal san ipo siku nikikutana nae sitovunga aseh nitaomba numb tuyajenge km mjukuu wake pendwa
 
Guys leo nimegonganisha madem.
Kuna dem nishaleta uzi wake humu hata sijui upowapi miaka kama 3 nyuma alikuwa dem wangualivomaliza chuo tukaachana maana aliondoka mkoa nnaofanyia kazi. Ss nikaswap na dem mwingine naye dent tukazinguana nikatafta dem mwingine ambaye nipo naye kwa ss japo nina mschana mwingine tena na hawa wote 2 ni wapenzi wangu permanent na hawajuani. Ss huyu mwingine wa zamani jana kanipigia anakuja mkoa nlipo na hana pa kufikia nikamwambia nikutaftia akasema poa. Kama mtu mzima naelewa nn natakiwa kufanya hawa wawili wote nimewapanga kuwala leo, ila nitachagua mmoja maana mwingine nlimla weekend ilopita. Ss ndo napanga nifyatue leo asubuhi hadi saa kumi hivi sababu huyu mwingine anakuja saa mbili usiku nitalala naye hadi asubuhi na kesho nasafiri kikazi so nitasafiri naye
Huu uzi umepoteza maana kabisa....hiyo kimasikhara iko wapi sasa....Mimi nashauri waufutilie mbali uzi huu...Mimi nasubiri nisome 'kimasikhara' lakini watu wanaleta mambo tofauti kabisa..dah...
 
Mtaaachana tu
Nasemaaaaa mtaaachana tu
FB_IMG_16313529075822900.jpg
 
Hakuna aliyekula Tomboy humu? Au wanalikaje wale watu?

Mimi nishawai, alikua tornboy haswa na mpaka namla ilikua kihuni huni tu nachoweza Sema ni watamu balaa na alikua royal yani alinipenda kutoka moyoni kuachana nae haikua rahisi mpaka alichora tattoo ya jina langu mkono wa kushoto kaolewa saivi sijui mwenye mali anajiskiaje kuona jina ka kidume au aliifuta atajua mwenyewe huko.
 
Back
Top Bottom