Nataman nishushe nondo zipo za kutosha dem wa kiarabu ndan ya pantoni siku hiyo hiyo nikavuta geto,dem wa arusha pisi moja nyeeupe ndio hulka yangu niliyoitafuna bila kusema lolote zaid ya salam tu na kumfata njian tupo kmy mpk tunafika om,
dem wa rafik angu baada ya kununiana na mchiz wake kilichomponza charg ya smart4n usiku na dem alinikubali sana,
mtoto wa baba wa kambo aliemuoa bimkubwa nilipoenda mombasa kumsalimia bimdash 2012 nikawanajizamia tu chumban kupiga mzigo mpk ile siku naondoka anaanza kulia alfajir huku amekuja chumban kwangu hataki niondoke huku kanikumbatia niliogopa sana aseh hapo nikiangalia mama anajianda nae ili tusepe ilibid nitumie mbinu za kivita hapo kumlainisha chap ili asepe kwamaan alishakolea na dudu mtoto hatak kuelewa
dem mwingine niliemla ndan ya hifadhi ya wanyama katavi national park pemben kuna nyayo ya kiboko na nyati lakin sikujali hilo
mpk ikafika kipind nikaambiwa nina
kizizi cha kuwavuta madem na washkaj kutaka niwape kizizi kumbe ni confidenc niliyopata toka niko form 1 nilikuwa nakula midada mikubwa san wakawa wananipa maujuz ya kitandan yananifundisha mafala sana hawa

mpk nikaundiwaga kamati xul kusemwa na member wenzangu wa dorm kuhusu kutembea na wadada wakubwa na wamama ikabid ili aibu ndio nikaanza kuwakwepa ila wanipenda sana nikifulia xul naenda tu kwao nikirud xul mm fogo yan kula vijidem saize yangu nmeanza nikiwa form two miaka hiyo under 2011
visa viko vingi mpk nikaona sina cha kuandika kwamaan ntachoka tu ikabid niwe mpitiaji tu wa jukwaa
kinachoniuma zaid hapa mtaan kwetu kuna bibi anauza vitumbua aseh anatako kubwa balaaa nicole halisogelei bhas mm ananikosha alaf nikikutana nae ananichangamkia yan bibi kaenda age ila ENGINE bado nzima inapumua tena akivaa dera uwiiiiiiiiiiiiiiiiii
mm nachanganyikiwa mpk kuna siku nikajisahau nikaanza kusifia tako la huyo bibi mbele ya mke wangu nikajishtukia baada ya kukatwa jicho na wife yan akikaa kwenye kigoda linamwagika nataman nimfanyie kimasihara ila najifikiria je akichomoa na tumezoeana salam vzr ila yule bibi namkubal san ipo siku nikikutana nae sitovunga aseh nitaomba numb tuyajenge km mjukuu wake pendwa