Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mimi nishawai, alikua tornboy haswa na mpaka namla ilikua kihuni huni tu nachoweza Sema ni watamu balaa na alikua royal yani alinipenda kutoka moyoni kuachana nae haikua rahisi mpaka alichora tattoo ya jina langu mkono wa kushoto kaolewa saivi sijui mwenye mali anajiskiaje kuona jina ka kidume au aliifuta atajua mwenyewe huko.

Daah! Mwanangu natamani siki moja nimbambie mmoja, nione ile confidence yao inakuwaje ukiwaweka mtu kati? Wanaugulia mkuyenge kama hawa wengine, wanazungusha buno?
 
Leo sitaandika sana ,nachoka kuandika.

Kuna yule MKE WA ASIKARI , aliyesema Leo anipe Utamu.( kuna mahali nmeandika)

Basi leo ikafika, ila akanitafuta akaniambia kaingia hedhini..

Eniweyi nilihakikisha kweli na kaniomba SAMAHANI.
View attachment 1971468

Basi baada nikiwa sina hili wala lile, inaingia Meseji na namba ngeni " mambooooo"..

Nikakumbuka kuna mdada nilimpa namba yangu Jana usiku, ILA HAKUNITAFUTA ,japo tuliongea kidogo uso kwa uso.

Basi nikalonga nikashuka naye hapo ilikua saa 6 mchana kwa kichati

Mazungumzo yalikua ivi
Hajaingia hedhi huyu usiku jamaa lazima alimtembezea kisawasawa.wanawake huwa wanajua siku zao vizurisana
 
Ilikuwa mwaka flani nimemaliza chuo. Katika harakati za kutafuta kazi kuna kazi zilitangazwa serikalini. Ila wakataka anaeapply lazima vyeti vyake viwe verified mahakamani.

Kesho yake asubuhi nikaenda mahakamani nikaelekezwa kwa hakimu kufika nikamkuta hakimu ni mkaka tu nikahisi hakuwa na muda mrefu tangu aajiriwe.

Nikaongea shida yangu. Nikamkabidhi vyetu vyangu ili apige muhuri na kusaini. Ila kuna vitu akadai vimekosekana ni lazima nirudi home nikavilete.

Akaniambia anatoka pale ofisini akanipa namba yake ili nikirudi nimpigie aje asaini.
Kweli nikarudi home haikuwa mbali na pale mahakamani. Nikachukua vitu alivyonielekeza then nikarudi eneo la tukio.

Nikampigia kwamba nimerudi na kweli baada ya muda nae akaja ofsini. Akafanya kazi yake. Nikasepa.

Jioni naona akanipigia akaniambia inabidi niende na vile vyeti amegundua kuna kitu amesahau kujaza. Nami ndo ilikuwa mara ya kwanza kuapply kazi na ishu za vyeti kuwa verified sikuwa najua chochote nilikubali kwenda. Alinambia niende moja kwa moja home kwake kwa kuwa muda wa kazi umeshaisha ilikuwa saa 11 jioni.

Akanielekeza nikaenda kufika hakuna cha vyeti wala nini. Tukapiga story, akaweka movie bandika bandua na kufahamiana name black bla kibao. Alikuwa anaishi peke yake

Kilichofuata ni kuliwa kimasihara nisiwe mnafki nilienjoy sana ile siku. Tuliendelea na mahusiano kwa miaka mitatu. Tukaja kuachana. Japo Ile kazi niloapply sikupata lakini alinitafutia kazi nyingine private sector.

B kama upo humu heshima kwako.....
Hongera kwa kuliwa kimasihara game za aina hiyo zina utamu wake ndio maana ulinaswa
 
Ilikuwa mwaka flani nimemaliza chuo. Katika harakati za kutafuta kazi kuna kazi zilitangazwa serikalini. Ila wakataka anaeapply lazima vyeti vyake viwe verified mahakamani.

Kesho yake asubuhi nikaenda mahakamani nikaelekezwa kwa hakimu kufika nikamkuta hakimu ni mkaka tu nikahisi hakuwa na muda mrefu tangu aajiriwe.

Nikaongea shida yangu. Nikamkabidhi vyetu vyangu ili apige muhuri na kusaini. Ila kuna vitu akadai vimekosekana ni lazima nirudi home nikavilete.

Akaniambia anatoka pale ofisini akanipa namba yake ili nikirudi nimpigie aje asaini.
Kweli nikarudi home haikuwa mbali na pale mahakamani. Nikachukua vitu alivyonielekeza then nikarudi eneo la tukio.

Nikampigia kwamba nimerudi na kweli baada ya muda nae akaja ofsini. Akafanya kazi yake. Nikasepa.

Jioni naona akanipigia akaniambia inabidi niende na vile vyeti amegundua kuna kitu amesahau kujaza. Nami ndo ilikuwa mara ya kwanza kuapply kazi na ishu za vyeti kuwa verified sikuwa najua chochote nilikubali kwenda. Alinambia niende moja kwa moja home kwake kwa kuwa muda wa kazi umeshaisha ilikuwa saa 11 jioni.

Akanielekeza nikaenda kufika hakuna cha vyeti wala nini. Tukapiga story, akaweka movie bandika bandua na kufahamiana name black bla kibao. Alikuwa anaishi peke yake

Kilichofuata ni kuliwa kimasihara nisiwe mnafki nilienjoy sana ile siku. Tuliendelea na mahusiano kwa miaka mitatu. Tukaja kuachana. Japo Ile kazi niloapply sikupata lakini alinitafutia kazi nyingine private sector.

B kama upo humu heshima kwako.....
Doh
 
Ilikuwa mwaka flani nimemaliza chuo. Katika harakati za kutafuta kazi kuna kazi zilitangazwa serikalini. Ila wakataka anaeapply lazima vyeti vyake viwe verified mahakamani.

Kesho yake asubuhi nikaenda mahakamani nikaelekezwa kwa hakimu kufika nikamkuta hakimu ni mkaka tu nikahisi hakuwa na muda mrefu tangu aajiriwe.

Nikaongea shida yangu. Nikamkabidhi vyetu vyangu ili apige muhuri na kusaini. Ila kuna vitu akadai vimekosekana ni lazima nirudi home nikavilete.

Akaniambia anatoka pale ofisini akanipa namba yake ili nikirudi nimpigie aje asaini.
Kweli nikarudi home haikuwa mbali na pale mahakamani. Nikachukua vitu alivyonielekeza then nikarudi eneo la tukio.

Nikampigia kwamba nimerudi na kweli baada ya muda nae akaja ofsini. Akafanya kazi yake. Nikasepa.

Jioni naona akanipigia akaniambia inabidi niende na vile vyeti amegundua kuna kitu amesahau kujaza. Nami ndo ilikuwa mara ya kwanza kuapply kazi na ishu za vyeti kuwa verified sikuwa najua chochote nilikubali kwenda. Alinambia niende moja kwa moja home kwake kwa kuwa muda wa kazi umeshaisha ilikuwa saa 11 jioni.

Akanielekeza nikaenda kufika hakuna cha vyeti wala nini. Tukapiga story, akaweka movie bandika bandua na kufahamiana name black bla kibao. Alikuwa anaishi peke yake

Kilichofuata ni kuliwa kimasihara nisiwe mnafki nilienjoy sana ile siku. Tuliendelea na mahusiano kwa miaka mitatu. Tukaja kuachana. Japo Ile kazi niloapply sikupata lakini alinitafutia kazi nyingine private sector.

B kama upo humu heshima kwako.....
Were...mpk nimemeza mate!!!
 
What dd u do to me!!!hawa viumbe sijui nani anawashikia akili
Alinidanganya sikufanya maandalizi kabisa. Tuko eneo la tukio ndio anauliza kama nina kinga hapo tuko uchi, sikuwa nazo na sikujua kama yuko hatarini. Mzunguko wake naujua ila alinipoupindisha ili asije siku niliyotaka ndio nikaamini makosa. Sasa lawama nabeba mimi
IMG_20211013_100835.jpg
 
Ilikuwa mwaka flani nimemaliza chuo. Katika harakati za kutafuta kazi kuna kazi zilitangazwa serikalini. Ila wakataka anaeapply lazima vyeti vyake viwe verified mahakamani.

Kesho yake asubuhi nikaenda mahakamani nikaelekezwa kwa hakimu kufika nikamkuta hakimu ni mkaka tu nikahisi hakuwa na muda mrefu tangu aajiriwe.

Nikaongea shida yangu. Nikamkabidhi vyetu vyangu ili apige muhuri na kusaini. Ila kuna vitu akadai vimekosekana ni lazima nirudi home nikavilete.

Akaniambia anatoka pale ofisini akanipa namba yake ili nikirudi nimpigie aje asaini.
Kweli nikarudi home haikuwa mbali na pale mahakamani. Nikachukua vitu alivyonielekeza then nikarudi eneo la tukio.

Nikampigia kwamba nimerudi na kweli baada ya muda nae akaja ofsini. Akafanya kazi yake. Nikasepa.

Jioni naona akanipigia akaniambia inabidi niende na vile vyeti amegundua kuna kitu amesahau kujaza. Nami ndo ilikuwa mara ya kwanza kuapply kazi na ishu za vyeti kuwa verified sikuwa najua chochote nilikubali kwenda. Alinambia niende moja kwa moja home kwake kwa kuwa muda wa kazi umeshaisha ilikuwa saa 11 jioni.

Akanielekeza nikaenda kufika hakuna cha vyeti wala nini. Tukapiga story, akaweka movie bandika bandua, kufahamiana na bla bla kibao. Alikuwa anaishi peke yake

Kilichofuata ni kuliwa kimasihara nisiwe mnafki nilienjoy sana ile siku. Tuliendelea na mahusiano kwa miaka mitatu. Tukaja kuachana. Japo Ile kazi niloapply sikupata lakini alinitafutia kazi nyingine private sector.

B kama upo humu heshima kwako.....
kumbe na ww upo huku...sikuwahi kuwaza hili jambo
 
Back
Top Bottom