Ah hapana aisee,
Kuna ile ya mwanzo cpmment ya kwanza jamaa karudi chuo ana carry zake 3 ambazo akifeli anafukuzwa chuo ila katika kipindi hicho kaenda kuzifanya akakutana na binti ana sup 2 nae yupo kwenye hati hati ya kuzichomoa


eh bwana ehh !! si wakapunguziana mawazo kimasihara ,


alafu jamaa anavyoelezea sasa huchoki kusoma, na comment zilizofata hapo zilikuwa zimeandikwa yani mtu wa mbali akikuona anaweza kudhani kuna kitu muhimu sana unasoma

Sasa hii mpya wamechukua post za nyuzi za zamani sana za 2014 huko kabla hata huu uzi orijino wa 2019 haujaanzishwa, huko 2014 kulikiwa na uzi kama "unexpected sex" ndio wameamua kuweka koment zake page ya kwanza,
Yani kwanza koment zenyewe hizo za nyuzi za 2014 zina likes chache mno, kiingereza kingi kitakufanya ufunge tu kama hakipandi, uandishi unaofanya mtu asishawishike kuendelea kusoma, comments fupi fupi tu, n.k tofauti na ule uzi orijino wa 2019 yani comments za mwanzo tu zina likes kijiji na zinavutia.
Niliwatumia watu flani hii post nashangaa kesho yake, aliefika mbali aliishia page ya pili, tukaicheki wote nikaona tatizo lilipo, Wamechukua nyuzi za zamani ambazo hata hazikubamba ndio wameziweka mwanzoni, kiukweli nilishangaa
Hata zile koment za mwanzo mwanzo zinachangia sana mtu kuendelea ku scroll, hizo maada nyengine wangezianzishia uzi special wa nyongeza.