Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,173
- 26,910
Mods waliofuta mwanzo walikuwa na chuki binafsi tu .Ningeomba sana uzi urudishwe kama ulivyokuwa hapo mwanzoni, maana kwa namna ulivyokuwa hapo mwanzo ndivyo ukivyofanya watu wengi waupende, ila huu uliounganishwa na nyuzi za 2014 hapana kwakweli, Uzi umekosa lile vibe la uzi ule wa mwanzo.
Huu uzi wa sasa nmemtumia mtu majuzi kaishia page ya kwanza tu akaniambia haupo kama nilivyousifia, nilistuka sana na kuhakikisha na ndipo nilipogundua page za mwanzo wameweka post za 2014, comment za page ya kwanza zimechomolewa kwenye maada flaninya 2014 ambayo ilikuwa na wachangiaji wachache, ilidumu kwa muda mfupi sana, ilipotezewa, comments zake hazikuwa na ushawishi, nk
Ningeomba uzi uanzie kwenye comment namba 373, ambayo ndio ilikuwa koment ya kwanza kabisa ya uzi orijino uliopata umaarufu mkubwa kuliko thread yoyote katika jukwaa hili.
Ukicheki tu hapo koment namba 373 unaona comment hii ina likes nyingi sana, uandishi unavutia, comments zinazofata nazo zipo katika mtiririko unaoleta shauku ya kuchangia n.k kuliko comments hizi za nyuzi tofauti za 2014 zilizopachikwa kwenye huu uzi wa sasa
hizo maada nyingine za 2014 ambazo hazikuwa sehemu ya uzi orijino, ingependeza zingewanzishiwa uzi mwengine wa bonus mfano iitwe "Nyuzi zinazofanana na kula tunda kumasihara"
Angalia walichokiweka utopolo mtupu
nitokolee kimba