Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ni stori ndef ila ntajaribu kuifupisha kadri ya uwezo wangu.

Mchepuko nnae mzungumzia. Ni binti flan ivi mrembo hapa mtaani, anaishi nyumba Kama ya 3 kutoka nnapoishi na familia yangu. Pia mwajiriwa ktk mojawapo ya makampuni Aya ya Marehemu mzee Mengi.

Mahusiano yetu yalijengwa na utaratibu wa lift kipind anaenda kazin hasa ule msimu wa mvua mwaa jana maana ofsini kwang na kwake sio mbali Sana.

Kiufupi mahusiano yetu hayakua na kutongozana KABISA. Kuna ibilisi flani ivi alikatiza mbele yetu tukajikuta tushafanya mapenz kwny gari na ndo ukawa mwanzo wa mahusiano.

Kiukweli, bint alionekana kuyafurahia mahusiano na kunipenda zaidi na Mchezo ukawa Ni ule ule. Nkitoka kazin nampitia tunaenda mahali tunapaki tinted juu kisha tunastua kimoja viwili ndo tunaelekea nyumban.

Sasa kwa Hali ilivoendelea nkaona hii sio salama Tena, maana mtaa ule ule inaweza tokea leakage of information nkaonekana wa hovyo pale mtaani na familia yangu kiujumla. Maamuz nlochukua ilkua Ni kumpangishia mbali na pale nyumbani ili niwe huru kumtafuna ipasavyo.

Nikamshauri ilo swala akakubali na nikamlipia chumba na sebule mbali KABISA na nyumban ( umbali km 35 kutoka pale nyumban) Kodi ya mwaka mzima inayotarajia kuisha tar 3 March mwka huu.

Sasa ile kigiza Cha saa moja usiku wa mwaka mpya (January 1,2021), Kama kawaida nkaaga wife naenda kuangalia mpira, akakubali. Ila lengo halisi lilikua ni kwenda kumchakata Yule binti uko kwake.

Na utaratibu wangu ilkua sitaki KABISA kupaki gari nyumba ile maana inawapangaji wengine. NKIHOFIA WANAWEZA UNGUZA PICHA. Ila napaki gari kwnyw baa moja mtaa ule, Kisha natembea kwa mguu umbali wa mita 500 hivi ndo Nafika kwa binti. Sasa Kama kawaida iyo siku mida ya saa 5 usiku nishapiga show tayar, nmetoka nmetembea nmefika kwny gari.

Nkasema ngoja nipige sim nimuage KABISA ili nikishatoka hapo Ni direct moja kwa moja kwa mama watoto home nkapumzike. Ile nmejiegesha kwny bonet ndo nmemaliza kuaga namuandikia sms nzito iliyojaa mahaba tele ili niondoke. Nkaskia mtu ananikwapua simu mkononi, kugeuka nkakuta wife uyu apa.

Dah! Nliishiwa Nguvu aisee, Ile ata sijajieleza chochote nkaona anaita boda boda anapanda na kuondoka. Ikabidi na mm niifatilie ile boda, nkaona inanyoosha njia ya home. Ile nakaribia home, nkapishana na ile boda inatokea home. Akili ikanituma moja kwa moja wife kaenda home.

Sasa hapa inabid nijipange jins ya kupangua hizi shutuma nzito zitakazonikabili ntakapofika nyumbani. Breki ya Kwanza nkampigia mchepuko wagu nkamweleza kilichotokea, akanishauri nikubali TU maana HAMNA Cha kuficha Tena. Akili yangu ikagoma KABISA kuupokea ushaur ule, itakua namrahisishia jaji hukum kwa kukiri KOSA. Akili ikachekecha Tena, Jibu lililokuja kichwani Ni kutumia ubabe TU.

Nkifika tu nyumban Baba nmekunja sura, sitaki niulizwe chochote Wala kujibu chochote. afu nilimalize kimya kimya. Namjua wife wangu, atanuna wee baadae atasahau na maisha yatasonga. Namshkuru nilipofia home nlimkuta kanuna Kama nlivotabiri, na Mimi nkafanya vile vile kama serikali ya kichwa changu ilivyonishauri. Tulienda vile Kama wiki hivi hatusemeshani na simu yangu bado kaishikilia.

Ikabidi nimuombe anipatoe sim yangu maana Mambo yangu mengine yanakwama. Akanirudishia iko salama salmini, ila changamoto Ni kwamba ile NAMBA ya Yule binti imefutwa. Sms na chats zote zinazomhusu TU Yule binti zote zimefutwa. Akili ikanicheza, NAMBA ake ilku kichwan nkampigia nkamuuliza vipi hajakutafuta, akasema hapana.

Aisee nkashusha pumzi na Nkamshkuru sn Mungu kwa ilo maana Ingekua balaa. Kesho yake nko kazin npigiwa simu wife anaumwa kakimbizwa hospital. Kufika nkakuta keshatundikwa drip 3 ila anajiskia nafuu. Nkamsalimia hakunijibu, zaidi zaidi alilia Sana. Nkamuulza bint wa kaz, Nini kimempata mama ako.

Akasema na yeye kashangaa ila mama alkua Safi TU na simu anachati sebleni ghafla akaagiza maji ya kunywa aliporudi akamkuta kaanguka chini anapumua kwa shida. Ndo kuita majirani ndo wamemleta hapa hospitali. Mmh! Aisee nafsi ikastuka nkawaza huenda ikawa wife nae ameshaukwaa ule UGONJWA WETU WA CHAGAMOTO YA UPUMUAJI. Maana hapa katkat alkua na mafua.

Ikabidi nicheki dokta, dokta akanambia uyu presha ilipanda TU Hana tatizo lolote vipimo vinaonyesha Hana tatizo zaidi na leo Leo Kama ataendelea ivo basi ataruhusiwa.

Amani ikarejea, Ikabid Nirudi wodini kuchek maendeleo ya wife. Aliponiona TU naingia, wife akaanza kuangua kilio Sana. Mpaka nesi aliekua anamhudumia akanambia nitoke nje.

Basi nkaenda zangu moja kwa moja home, ila kichwani mawazo kibao
-kwanini wife ameanguka?
-kwanini Amelia Sana aliponiona naingia?
-kwanini hata pole yangu amekataa kuijibu?

Ilpofika usiku, Wife akarejeshwa nyumban moja wa Moja mpk bedroom. This time ikabidi niwe mpole, baada ya dada kumhudumia chakula na kwenda kulala. Ikabidi nimwombe wife anieleze tatizo nn mpk amepelekwa hospitali. Alichofanya ni kunikabidhi TU sim yake na kunambia niende kwny meseji.

Aisee,
WAKUU NLICHOKIKUTA UKO NI CHA KUTISHA.

Ni kwamba kulikua na majibizano makali sana ya maneno Kati ya wife wangu na Yule mchepuko wangu. Kibaya zaidi Ni kwamba mchepuko alkua akimwambia maneno ya kukera,matusi na kujinadi anapendwa Kias kwamba ilikua inamuumiza Sana wife. Kiukweli, nilijikuta nakua mdogo Kama piritoni.

Eti Anamuambia Hadi mbinu zote nlzokua natumia kumuaga wife ili nikale nae tunda. Anamtajia siku Hadi tarehe. Na Kuna picha flani hivi za chumbani tuliwahi piga wote, nyingine tulipiga Zanzibar vacation. Zote akafowadi kwa wife.

Kibaya Zaid kuna hotel Moja ndogo iko Arusha (MERCURY) tuliwai enda kula tunda pale Kwny mizunguko yangu ya kikazi na picha kadhaa tukapiga pale. Eti nazo kamforwadia na kamwandikia kua iyo ni nyumba yake nmeshamnunulia. Yeye wife aendelee kukaa kwenye ilo banda la kuku, yeye anaenjoi kwnyw bangaloo lake.

Aisee Ni mengi Sana alumtumia wife, ila kiukweli yote yanaumiza sana. Wife akaninyanga sim yake na kuendelea kulia kwa uchungu.
Ikabidi nimpoze wife kua ayo anayojinadi kwny chats HAMNA la ukweli hapo na iyo Ni hoteli, Japokua haiondoi ukweli kua nilichepuka na anisamehe kwa ilo.

Aisee, usiku ule niliguafilika Sana khs Yule mchepuko alichokifanya. Alfajiri na mapema nikamfata nyumbani kwake.

Nkamwambia
"KUANZIA LEO MIMI NA WEWE BHASI, HUWEZ KUMTUKANA wife NA KUTAJA SIRI ZETU KWA WIFE ili aumie. Hufai kua na Mimi Tena kwny mahusiano"

Basi baada ya hapo, zikapita wiki 2 bila mawasiliano na Yule mchepuko (japokua alkua anapiga sn sim nazikata na smsm sijibu) amani ikarejea kabisa home. Gafla siku moja nikaitwa baa na rafk angu mmoja TUTAHESHIMIANA Sana kwny bar flan apa mjini. Kufika nkawakuta rafiki zangu wengine watatu pamoja na Yule binti.

Mwanzoni nlitaka Nirudi Ila nkaona ntakua nmefanya utoto, huwez jua wameniitia Nini. Kufika zikaanza stori za kumuombea msamaha Yule mchepuko. Kiukweli Nlikasirika Sana ikabidi niwaaambie TU alichokifanya Yule binti. Na wote wakaafiki mchepuko kazingua na aombe msamaha. Akaomba Sana msamaha, ila nkampa sharti moja TU.

SITAKI TENA KUSKIA AMEJIBIZANA NA WIFE, haijalishi wife amemuanza au lah. Ikiwezekana ablock kabisa No ake, au abadili line asimpate kabisa. Mchepuko akakubali yote Ayo. Na rafiki zangu tukagonga bia Kama kawaida, nkambeba mchepuko kumrudisha nyumban kwake. Kufika kwake, akang'aniza Nile tunda maana Ni siku nyingi kanimis. Bila hiyana, tukalimega nkajimwagia maji na kurudi home.

Siku tatu baadae, ilkua j.pili asbh bado nmelala wife anakusanya nguo ili akafue. Ghafla naamshwa "Baba G Kuna mzigo wako huu apa nmeukuta kwny suruari yako hii" Kuangalia, duh! BIKINI YA PINKI hii apa. Nliishiwa na Nguvu ghafla, nkajitetea kua labda ilkua ya kipindi kile nlichokua na mahusiano na Yule binti. Akakataa kabisa, akasema siku tatu zilizopita anakumbuka amenyoosha hii suruari na nmevaa nmeenda nayo kazini.

Ilo nnalosema sio kweli, inawezekana Kuna mwanamke nmekutana nae uko au huenda nmerudiana na Yule mwanamke. Nkabisha kata kata, basi likaisha juu juu siku ile.

Jumatatu yake Niko kazini, Wife anpg simu niangalie sms Kuna kitua amenitumia. Kufungua sms. Nakuta kaniforwadia screen shot ya chat zake na Yule mchepuko.

Mchepuko anakili kua usiku ule alikua na Mimi. Yeye (wife) hapendwi ni Bora TU atafute mwanaume mwingine au Kama yamemshinda arudi TU kwao maana moyo wangu umekufa na umeoza juu yake yeye mchepuko. Kwake siruki Wala sikoromi amenishika ipasavyo.

Aisee, moyo uliniuma mno ila nkasema ngoja nkifika home nikajiridhishe isije nikafanya maamuz kumbe Ni Photoshop imehusika.

Nkamjibu TU wife shortly "Ntalishughulikia nkifika nyumbani" Usiku Nlipofika TU home, break yakwanza kwny simu ya wife nikajiridhishe. Aisee Ni kweli wamejibiza na ile Ni NAMBA ya mchepuko. Usiku ule nililala na jazba mwili mzima nkingojea kukuche nkamzibue makofi mpumbavu Yule.

Alfajiri na mapema, nkaongoza had nyumban kwa mchepuko. Nkamuuliza "ndo umefanya Nini Sasa, na tulikubaliana Nini" Akasema
"Sasa mi ningefanyaje, si ameyataka mwenyewe" "Mahusiano yenyewe siyaelewi elewi, mwaka sasa kila sku unanificha ficha UTANITAMBULISHA LINI" "Umeshindwa kunitambulisha,Sasa nmejitambulisha mwenyewe. Akubali akatae mi ndo bi mdogo.
Anatakiwa alijue ilo na aniheshimu alimwaga mboga namwaga ugali"

Nkamuuliza "hivi unaakili nzuri wewe? au umelewa?" Akajibu, "Sijalewa nna akili zangu nzuri TU, labda wewe nikuulize ilo swali maana unachokificha akipo rafiki zako kibao wananijua, unahofia Nini mkeo akinijua Sasa"

Akamalizia na bonge la kicheko "ha ha ha ha...ndo nshaongea ivo, baba G upoo?" Aisee hasira zilinioanda ghafla nkamuwasha makofi mawili ya haraka haraka. Akainuka akaanza kurusha matusi, akavuta suruari yangu chini ya mfuko na kuichana. Nikamfata nkamuongezea jingine la Nguvu zaidi mpaka alama za viganja zikaonekana.

Nkaona watu wameanza kusogea kuamulia. Ikabidi niondoke eneo like haraka Sana nsije jaza watu. Nkaenda zangu moja kwa moja mpk home,

Wife kuniona "vipi tena Mbona ivyo jasho na nguo zimechanika" Nkamjibu TU "Kuna mpumbavu mmoja uko nmemfundisha adabu"
Kesho yake alfajir at sijapiga mswaki naskia hodi kubwa. Kufungua maaskari hao. Nkawekwa kwnyw pikipiki yao Hadi kituoni, wife nae akafata nyuma.

Kufika nkakuta mchepuko kafugua kesi nimempiga,nmemdhalilisha, nmemjeruhi na nimemuibia Ela LAKI tano. Maaskali wakataka waniweke ndani, Wife akawaambia "mwanamke muongo uyo Malaya mkubwa..."

Nkamkatisha wife, Nkawaaambia maaskali, "Kwaiyo yeye alkua anatakaje?" Askali akajibu, "Bila shaka unatakiwa ulipe KWANZA izo Ela ulizomnyang'anya afu Mambo mengine ya kisheria yafate mkondo. Vinginevyo MUENDE mahakamani"

Sijakaa sawa, wale rafki zangu walotusuluisha kipind kile na mchepuko wakatokea. Wakamwita Yule Askali nje, Kisha wakamwita Yule binti nje. Baadae Yule Askali karudi akanifata na kunambia inuka uende mkayamalize nyumbani. Kufika nje, namuona yule MCHEPUKO Yuko na wale jamaa zangu.

Wananiita nkaona siwez sogea pale naweza pasua mtu Tena. Nkapanda kwa wife tunaenda nyumbani. Kufika TU nyumbani nkaona wife kafurahi kweli ananisifia. Eti "Sijawai jua mme wangu wanapenda hivi" "Umenifurahusha Sana leo mme wangu, umemkomesha Malaya Yule kivuruge wa ndoa za watu"

"Umemchapa kichapo Cha haja sura haitamaniki" "Asante Sana mme wangu, kwa kusimama kiume kuitetea ndoa yako" Nkamwambia
"Kabla ya yote nisamehe Sana mke wanting, niliteleza pale" Akjibu "Usiwe na wasi nishakusamehe mme wangu, na Leo nna zawadi yako. Unikune mpk kukuche baba G"

Aisee nilifarijika Sana moyoni. Ila nashkuru mungu kumuepuka Yule mchepuko, maana alikokua anaelekea Ni kuniharibia familia yangu.

Niliapa kanisan kumpenda na kumlinga mke WANGU kwenye shida na Raha. Na naongea hivi nikimaanisha kutokana moyoni.

Ila Kiukweli MKE WANGU NAMPENDA SANA Tena , sema tu MICHEPUKO sitoacha maana kinachonipeleka kule sio upendo Bali Ni hulka TU ya kiume tulioumbiwa na mungu kubadilisha ladha tunapopata wasaa kimya kimya bila kuathiri mustakabali mzima wa familia.

sema TU pale niliteleza, mchepuko Yule nilibug KABISA alkua kichw maji.

****ALAMSIK

Kwa kifupi wewe ni nunda, kitendo cha kuwa na mchepuko ni kumtukana mke wako, sasa mchepuko unamchapia nini makofi? Alichofanya Wewe ndo ulikianzisha!
 
Kuna mtumishi wa uma hapa(permanent and pensionable) ataenda kuchezea mushedede usiku wa leo, tumemaliza semina ya jana hapa Dodoma nimekutana nae, nitaleta mrejesho, mniombee nikumbuke ndomu maana sio kwa tako lile
tunasubiri mrejesho mtumishi wa umma
 
watu wanateseka, wanaishia kutukana na kusonya, mambo bulli bulli, hahahahah.

Wadau shusheni bas essay za kimasikhara, tusafishe macho. Uwiiiiiiih
 
miaka hiyo nimeajiriwa kazi ya udereva katika ofisi fulani..

nilikuwa sio muongeaji mpole sana na kila mtu alinisifia kwamba sasa hivi ofisi imepata dereva makini sana!

popote nikitumwa nilikuwa naenda!

kuna lidada lilikuwa accountants!

huyu hadi pedi alikuwa ananituma sijui alikuwa haesabu siku zake vzr??!!wee ukifika ofcn ndo unaanza eti kaka jamani mwenzio naadhirika kanletee pedi zile za majani ya chai!!

siku hiyo sijui nilikuwa wapi nikachelewa na alikuwa ananipigia simu sipokei,
kufika tuu yaani kaka nimekupigia unijie na pedi ht hupokei adi chupi imechafuka!!khaaa salalee

nikaenda kumnunulia chupi mpya (dada anavaa chupi likubwa km shati la papaa mobimba)na pedi za majani ya chai..alishaanza kunitia kinyaa huyu demu nikahis amelogwa!

siku hiyo jpili niko na gari ya ofisi akanipigia uko wapi??nikajua anataka kuagizia pedi tena nakamdanganya nipo mbali..

akaniambia ukitoka huko pitiliza chapu nikupe ofa ya bia sehemu flani!!kusikia bia alipokata simu tuu nimefika..

nikaanza kula bia staili ya tarumbeta maana ilikuwa joto..

imefika usiku kagiza likaenda kukojoa na hapo vinywaji vimeshakolea..

nikamwambia nenda kakojoe mbele ya gari pale nimepaki,chooni ma UTI..
akakubali!!

kosa kubwa alifanya. alipoinuka tuu nikawa nasikilizia mkojo ukianza kutoka tuu nianze kuinuka hapo huku naivuta vuta mboo ili isimame vizuri(nalinoa panga).
aliinuka kuinama avae chupi mboo ikaterezea ndani alipiga kelele alijua nyoka kaingia..
nikamwambia tulia sio nyoka..

nakampiga tako kaka 10 hivi akachomoa akavaa chupi akakimbia ht wazungu hawajatoka..

nikarudi pale tukakaa anaona ona aibu..

yani wee kaka nilijua mpole kuna una tabia mbaya hivyo!!

siku hiyo nikamrudisha kwake lakini njiani nikamla..nimerudi mboo imejaa madam ya blidi yule demu sijui alikuwa na tatizo gani..
 
Listen and listen good you son of Lucifer. Don't ever tag me in your incorrigible posts.
Unafikiri ni sifa kufanya uasherati na kusimulia uovu wako?

Young man it's your choice to obey GOD au kuwa mkaidi. But remember this, in every action there is consequences.

Mwenye masikio na asikie.
😁😁 Hongera kwa kusoma kila nukta
 
Nina kama wiki nne nipo bush kwa shughuli za kilimo. Mwenyeji wangu hapa ni mdogo wangu ambaye ni daktari kwenye hospitali ya Kijiji. Maisha hapa ni mazuri, Kijiji kimechangamka Sana. Nilikuwa nahitaji vibarua wa kunisaidia kazi za shambani ndipo mdogo wangu akanikutanisha na binti mmoja na akaniambia nikihitaji vibarua niongee na huyo huyo binti ana connection zote za hapo kijijini.

Mambo yalienda vizuri, mwanzoni binti aliniletea vibarua kumi Mara ya pili ishirini na kazi ya shamba ilienda vizuri Sana! Taratibu Yule binti akaanza mazoea ya kupenda Sana kuchati na Mimi hasa wakati wa usiku na nikichelewa kujibu au nisipojibu analalamika sana. Kwa kuwa yeye ndio msaada wangu niliamua kutokumkwaza nikaamua kuwa nae tu karibu, sikuona shida katika hilo. Akawa anakuja hata nilipofikia anapiga story na kurudi kwake.

Taratibu story zikaanza kuzagaa kijijini kuwa Mimi natafuna yule binti na mtu wa Kwanza kuniletea hizo habari ni binti mwenyewe. Akasema anakosa raha maana anasemwa Sana na kinachomuuma ni kwamba Jambo lenyewe sio la kweli. Nikamwambia huwezi kuwazuia watu kuongea chochote wanachoona kinafaa, fanya mambo yako kama kusemwa huwezi kumzidi diamond ila umewahi kumuona analalamika?

Basi binti akaelewa maisha yakaendelea. Hazikupita siku tatu kaja gheto usiku na hoja zile zile eti hali imezidi kuwa mbaya anasemwa Sana! Yaani anakosa raha, moyo unamuuma. Nikamuuliza kama utani tu au tufanye kweli ili wafurahi? Binti hakujibu. Nikasema huyu atakuwa anataka mashine huyu, leo simuachi!

Mzee nikamsogelea karibu mithili ya Mithuni Chakaroboti, nikamtazama usoni kwa macho ya matamanio, nikamshika paja! Nikakohoa kikohozi kisichosikika, muda huo binti anahema juu juu kama kinda la ndege. Muda huo najiona kama Akshey Kumar kwenye kuchi kuchi hotahe, nipo serious kichiz na Jambo langu. Hatimaye binti akanipokea, akazungusha mikono yake shingoni kwangu huku anatazama chini kwa aibu, mambo mseto!!

Sinaga busara kabisa kunako sita kwa sita, nikamfungua kanga aliyokuwa amevaa, nikakutana na sketi, nikaifungua kifungo dadeki mtu anatafunwa leo! Nikapekenyua chupi nikataka nianze kuichezea nanii yake ghafla mlango ukagongwa!

Ndio nikakumbuka nilikuwa na miadi na mdogo wangu (daktari) Kuna hela aliniazima akasema atakuja kuichukua usiku, basi akawa amefika akagonga hodi nikatoka kumpa hela yake. Akashangaa Sana maana hakuzoea kuishia mlangoni akifika pale gheto. Nikatoka kumsindikiza kidogo katika story story ndio nikamwambia gheto nipo na yule binti uliyeniambia nimtumie kupata vibarua.

Akashangaa Sana. Akaniambia yule binti kaathirika na yeye ndio aliyempima Mara ya Kwanza na huwa anampa ARV Mara kwa Mara pale hospitali. Akasema kama siamini kesho yake niende hospitali atanionyesha udhibitisho. Nilitoa macho kinoma! Kwa hiyo nilikuwa nakonektiwa kwenye grid ya taifa kirahisi namna hiyo yaani.

Sikutaka kupaniki niliporudi nikamwambia bi dada nimepata dharura kama vipi aje kesho maana Mimi mwenyewe natoka. Basi nikatoka naye, yeye akaenda kwao Mimi nikaenda zangu bar nikaagiza Serengeti light nne nikanywa weeeh... Nikalewa nikarudi kulala huku nikisali sala ya baba yetu uliye mbinguni.
😅 😅 😀😀😀😀😛... Pole sana mzee baba.. na hongera kwa kunusurika
 
Wakati nipo mwaka wamwisho chuo kimoja uko mji kasoro bahari sasa tulikuwa lazima tufanye research so semester ya sita ambayo ndo yamwisho ilikuwa ndo kipinda cha kukusanya data na kujadili juu ya matokeo ambayo umeyapata pindi unapo fanya research so nilikuwa na ujuzi wa kufanya Data Analysis kwa kutumia Genstat na SPSS bila kusahau Invivo basi
Bonge la turn on kwangu iasee demu anayesquirt
 
Habari ya siku wakuu,
Nimekumbuka jukwaa letu pendwa na mikasa yake,

Leo wacha nije na kastori kidogo maana kwangu haya matukio ni kama desturi nahisi na kutongoza nshasahau nna utani wa kijinga mwingii ndio hunisaidiaga situmii nguvu, ila wakuu K zinafilisi sana au huendelei ukiendekeza sana.
Nshakua adicted wa K na kuacha nimeshindwa kabisa.

Kuna binti mmoja alikuja dukani na rafiki ake ambae ni mteja wangu wa siku nyingi, akawa anaomba ushauri na yeye anataka kuanza biashara aje kununua akachukua na namba hapo ndio tukaanza kuwasiliana ndio utani wa kijinga ukaanzia hapo.
Sasa katika stori akaniambia anaishi na jamaa ake na hawana mtoto wana zaidi ya mwaka sasa, nikamtania kua hakukunji vizuri kuna style ukiwekwa lazima iingiie maana kizazi chako kiko mbali akadai nimfundishe hizo style nkafanya ivyo kupitia sms huku nikimwambia fanya tuonane tufanye ndio utaelewa vizuri akagoma akisema hajawahi na hatowahi kumchiti boy wake au kutembea na mwanaume mwingine kabla hajaachana na wa awali.

Nae alikua na utani wa kijinga pia so kama tulikutana hivi, ikafikia hadi ananiambia password yake wakati wa romance, akiliwa na bwanake asubuhi ananiadidhia yaani tulienda ivo kama miezi minne hivi tangu tuonane ile mara ya kwanza.

Siku mchepuko wangu nimezaanae akaniomba nimpitishie mteja wake bidhaa yake aliyokua amemuuzia maeneo mbezi makonde, ile narudi maana ni ndani kidogo nkamuona yule dada dukani nkamfuata stori kidogo akaniambia anaenda kwa yule rafiki ake kuchukua funguo kaacha sehemu yeye kaenda kwenye harusi na uenda asirudi maana ilikua ni mbali sana kurudi usiku, akaniambia twende ivi tukachukue funguo urudi ukapajue kwangu nikamjibu sawa.

Tumefika kwa rafiki ake kachukua funguo duka la jirani akadai anaenda fata chaji nimsubiri sikusubiri nkamfata kafungua mlango kuingia ndani nkazamanae akaniambia wee jishaue tu nsipokujazia watu apa, nkamwambia kwani una hofu na mimi akadai we sio wa kukaa karibu na mimi kabisa ni mhuni sana naeza ata kum'baka, akachukua chaji anageuka akashtuka mnara unasoma saa nyingii akakimbilia mlangoni akaniambia toka nifunge nkamwambia sawa.

Nkatoka ivoivo huku kitu kimetuna akanizuia natokaje nipo hivyo watu wanatufikiriaje nkamwambia si umeikimbia sa wataka ifanyeje? Akaniambia kaa kwanza ndani itulie ndio utoke nkajibu sawa, akawa anachungulia wapiii iko palepale ndio kwanza hata kupinda haipindi tena,
Nkamwomba aje anipe huduma ya kwanza ili itulie, kaja nkamwambia ishike shike kidogo itatulia akafanya ivyo ile anaendelea sababu password yake naijua ni kunyonywa chuchu nkaidaka chaap na kuiweka mdomoni juu ya nguo hakua amevaa brazia dk chache baadae nashtuka mtu yupo bize anafungua mkanda wa suruali na kuitoa dushe na kulitia mdomoni dk 5 nyingi nshamwagia mdomoni akameza zote (hapa ndio kanzia kwangu maana kabla huo alidai ni ujinga na hawezi kufanya maisha, nkamwambia mi nilizoeshwa ivo na napenda kuliko kutia, lkn ilikua ni mbinu shirikishi tu)
Tukahamia kwenye kochi nlipoona ana sauti sana na kuna nyumba ina dirisha la jirani na sebule ya pale tukahamia chumbani,

Moja ya gemu ya kimasihara niliyoitendea haki ni ile sikuogopa tupo wapi na ana mtu wake sijui alipo ila nilipania kumuonyesha ukorofi wangu maana alikua akimsifia sana huyo jamaa yake,
Baada ya kupeleka mkono nkagungundua ashaloa na ana simi kubwa ka kitumbua nkamvua nguo fasta namuweka sawa nkinyonye akagoma akadai nimtie kwanza hawezi kuvumilia nkachomeka piga sanaaaa naona anarusha vimaji lkn sio kwa wingi nkagundua yapo ya kutosha humu ngoja niyashtue kwa kumnyonya akawa anagoma akidai hawezi vumilia nkafosi ivoivo aliyamwaga kama bomba shida ikawa anapiga kelele sana ikabidi niache nkamchomekea dushe sasa akawa anayamwaga sanaa hapo ikabidi mda wote niwe namla mate ili kelele zisiskike, yaani zaidi ya lisaa nam'buruza tu adi akaishiwa nguvu, godoro la watu limeloa chapaa, nkamwambia tuligeuze akadai hana nguvu anaenda nyumbani akipata nguvu arudi baadae aje atandike vizuri, ilikua saa 2 kasoro usiku nkasepa zangu.

Kumbe kafika home kalala mazima jamaa ake anarudi saa 6 ucku ndio kamuamsha hata kupika ilikua bado akasingizia ana homa kali wakalala njaa, na kwa rafiki ake hakwenda tena kuweka vizuri mazingira
Asubuhi kama saa 4 hivi kantumia sms "wee ni muuaji" nkamuuliza kwanini akajibu tu "niache"

Jioni kwenye saa 11 naona simu ya yule mteja wangu ambae ndio mwenye gheto tulilofanya yetu anatukana balaa nkawa mpole na msamaha kwa sana akanielewa ila anataka nimpe laki 1 nkamwambia sina nkamtumia 40 katulia, kumbe kaenda sema kila kitu yule mdada yaani hakuficha.

Ilipita kama wiki hivi hakunitafuta siku kanitumia sms ya salamu ndio tukaanza kuchati nkakumbushia turudie gemu anadai haniwezi pia akikubali kunizoea atakuja kumchukia bwana ake akati wanapendana sana.
Na utani wetu wa kijinga ukaishia hapo ikawa ni salamu tu na stori korofi kidogo
Mwezi wa 3 mwaka huu kaja rafiki ake apa dukani kununua bidhaa akadai ana mimba na anahisi ni yangu maana tangu ameishi na huyo jamaa hajawahi shika mimba lkn nkimuuliza kama utani tu anadai hana ujauzito, siwezi muuliza direct maana hatujawahi onana tena na anamwambia rafiki yake ni ya mchumba ake.
 
Back
Top Bottom