Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Huwa moyo wangu unajua first impression yake simce day one[emoji23] huwa sihitaji nguvu wala. Na niko tayari kukipigania nachokipenda lakini eti siyo kwa uhuni huu... nikikupa nimekutunuku na siyo jitihada zako
Ndiyo maana sehemu nikasema wanaume wengi tunapenda kusema nimekula kimasihala kumbe alikuingiza kwenye 18 zake ukajiongeza bila kujua
 
Siko vizuri sana katika kutumia maneno makali, yaani neno kama lilivyo, ngumu sana kuliandika. Kama kwa tafsida hiyo imekuwa ngumu kunielewa, sijui utanielewa vipi sasa.

Najaribu tena, umeshawahi kufanya mapenzi?
Kila siku nafanya yale yaliyo mapenzi ya Mungu maishani[emoji23][emoji23][emoji23]

Naona bado swali ni tata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo wee kuwa MEDICAL DOCTOR what so special?

Hilo la class gani ya wanawake unaotembea nao linabaki kuwa lako wee binafsi, hata utembee na Rais hakna tatzo maan nae binadamu km wengine na ana mapungufu pia ndani yake.

Suala hapa tunalokataa wee kujifanya kuwa kila mwanamke unaweza kuwa nae kimahusiano haijalishi yeye yukoje na anaishi vipi?

Halafu sasa nilichogundua kumbe wee kwakua unadate na class fulan ya wanawake, au wake za watu, bas unahisi umemaliza mwenyewe kuwa wote wako hivyo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hao wa class ya juu unaodadalika nao usijione umeulaah, unaweza kukataliwa na mwanamke ambaye hutokaa huamini na utajiuliza unakwama wapiiih [emoji23][emoji23][emoji23]

POLEEEEEH SANA.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ngenye zimeongezeka aki
 
Back
Top Bottom