Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

kwahiyo wee kuwa MEDICAL DOCTOR what so special?

Hilo la class gani ya wanawake unaotembea nao linabaki kuwa lako wee binafsi, hata utembee na Rais hakna tatzo maan nae binadamu km wengine na ana mapungufu pia ndani yake.

Suala hapa tunalokataa wee kujifanya kuwa kila mwanamke unaweza kuwa nae kimahusiano haijalishi yeye yukoje na anaishi vipi?

Halafu sasa nilichogundua kumbe wee kwakua unadate na class fulan ya wanawake, au wake za watu, bas unahisi umemaliza mwenyewe kuwa wote wako hivyo,

hao wa class ya juu unaodadalika nao usijione umeulaah, unaweza kukataliwa na mwanamke ambaye hutokaa huamini na utajiuliza unakwama wapiiih

POLEEEEEH SANA.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ngenye zimeongezeka aki
 
Ya jumamosi iliyopita:

Nimechukua kimkweche changu naona kichafuu, nikasema nikipige maji car wash moja huwa naosha pale kila kinapochafuka.

Nimefika car wash nakabidhi kisha naelekea pemben kuna sehem ya kukaa wateja wakisubiri gari lioshwe ..

Ila nachezea simu muda uende wamalize niondoke nikajigusa kidevuni nikahisi nina vindevu kwa mbaali vinachoma, nikasema aah ndevu nazo hazikawii unanyoa leo kesho vinachungulia.

Kwa mbaali naona machinga na mashine za kunyolea, radio hizo za buletooth, cover za simu na n.k

Amefika pale namwambia nipe mashine nzuri kbsa ya kunyolea akatoa ina laini za nyembe tatu zile nzuri kama Gillete, namuuliza bei gani elf 40,000 nikasema chukua mashine yako safari njema.

Ooh brother una ngp? Kula elf nne, aah haiwezekan basi chukua mashine uondoke aah nrother ongezea kidogo, anyway mm sitak kelele na ninyi bwan elf 5 hii hapa hutak nipe nafasi, chinga aah basi sawa broo nipe hiyo hela, nachukua mashine anasepa.

Sasa baada ya kununua mashine kwa pemben naona kibanda cha vinywaji kuna mdada anauza nikasema ngoja nipoze koo pale.

Ile nimefika nikasema huyu namla kimasihara pambaf zake,
Cha kwanza nikasema chukua hii mashine nimehisi una vuzi hujanyoa muda mrefu, lili akili inaniambia unatumiaga mashine mbaya zinakusababoshia vipele, hii nimenunua bei sana ila naomba nikuachie akasema asante sana.

Nikasema kama huna vuzi rudisha akajib litaota lakin akuliza umejuaje sijanyoa nikasema tuachane na hayo

Je naweza test ubora wa hiyo mashine kukunyolea ili tuthibitishe ubora wake sote wawili...

Akasema hapana, nikasema najua hujanyoa, pili hujawah tumia mashine nzuri unatumia fake fake tatu na la msingi hujawah nyolewa na mtu wa kiume hata mpenzi wako, kaseme ni kweli hajawah ninyoa.

Nikasema ikikupendeza naomba niwe wa kwanza kukununulia mashine, wa kwanza kukunyoa wa kwanza kukupa suprize.

Mara car wash wanaita broo tayar mkweche wako, basi nikasema nipe namba, akatoa nikaandika nikambeep...

Jion namtafuta ooh saiv usk, ooh nitanyoa mwemyewe

Kukata story kesho yake alikuja nifanye kaz ya kumnyoa ila hakuja na mashine pia kuangalia kaisha nyoa kumbe ile ile jana.

Show ya kawaida, maisha yanaendelea.

Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums-17031065.jpg
 
Back
Top Bottom