Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

nisiseme zaidi mkuu.

Haya Wewe ni mwanamke Imara, unajiamini, na huingiliki kirahisi, mrembo wa sura na umbo, mwenye elimu yakee , unajiheshim na unajithamini sanaaa unachukia kuchepuka nahuwez kuchepuka sababu unaipenda sana ndoa yako .




Sawa eehh .
Bye
 
Ukizielewa sheria za mchezo basi utaucheza mchezo vzuri.


Sheria za mvuto kwa mwanamke hazijalishi ni mwanamke wa aina gani


nikupe hii..... Niliwah ingia ofisi ya wilaya hapo Ilala kufatilia mambo fulan

Nikabahatika pata namba na Bidada mmoja.

Nilipomchatisha ujinga, akanitukana sanaaa, na akampa namba Mume wake, jamaa akanitishiaaa sanaa yaan sanaaaaaa.



Mwezi mmoja baadae, Nilimla huyo mwanamke.



Endeleen kujipa moyo, asoelewa akili zenu. Anaweza Kuwaogopa.
sasa kwahiyo kwakua ulimla huyo bidada kana kwamba hadi alikutusi na kumpa mume wake number mwanzoni, na ukatishwa vikali, basi ukaona oooh yes nimeshamaliza na wanawake wote wako hivi, si ndivyo eeeeh?

Wee Dr unajidanganya wapo wanawake wanaoweza kujisimamia wenyewe pasipo kutegemea mtu wa pembeni, mbna kitu real hiki, wee una kataa nn sasa? Unasema WACHA MUNGU tu ndo ambao huwawezi.

Nakuambiaje wapo watu ambao hawana misingi ya imani kihivyo, ila huwezi kumgusa kamwee, ni suala la mtu binafsi juu ya maamuzi yake ktk uwanja wa mahusiano.

Acha kuwa mbishi wee, khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
No, tunaelekezana mbinu ili wengine musirubunike na mbinu wenzenu watawaponza. Siyo mbinu zote zinaapply kwa wote
Kuna mwingne alirudi humu kulalamika kuwa kaponzwa na huyu huyu Dr , amehama mtaa bila kupenda huku kodi haijaisha,

Mwingne alikalishwa kikao kwa balozi, kisa kumtumia text ya matusi mke wa balozi huyo huyo ,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
sasa kwahiyo kwakua ulimla huyo bidada kana kwamba hadi alikutusi na kumpa mume wake number mwanzoni, na ukatishwa vikali, basi ukaona oooh yes nimeshamaliza na wanawake wote wako hivi, si ndivyo eeeeh?

Wee Dr unajidanganya wapo wanawake wanaoweza kujisimamia wenyewe pasipo kutegemea mtu wa pembeni, mbna kitu real hiki, wee una kataa nn sasa? Unasema WACHA MUNGU tu ndo ambao huwawezi.

Nakuambiaje wapo watu ambao hawana misingi ya imani kihivyo, ila huwezi kumgusa kamwee, ni suala la mtu binafsi juu ya maamuzi yake ktk uwanja wa mahusiano.

Acha kuwa mbishi wee, khaaaah

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
nmekuambia huyo mwanamke ni
LAZIMA, YAAN NI LAZIMA AWE MCHA MUNGU KWELIKWELI NAMWENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.


sijakataa hayupo.wapo ILA NI LAZIMA WAOBEY HILO NLOANDIKA.


NAKAM KAOLEWA, MUMEWE NAYE ASIWE.MCHEPUKAJI NA BADO YEYE MWENYEWE NI MWENYE HOFU YA MUNGU.



Mengineeee yalobaki ni makelele tuuuuuuu ni makeleleeeeeeeeee .

Labda kama una mwonekano ,usomvutia Mlaji wa masihara.
 
nmekuambia huyo mwanamke ni
LAZIMA, YAAN NI LAZIMA AWE MCHA MUNGU KWELIKWELI NAMWENYE HOFU YA MUNGU KWELIKWELI.


sijakataa hayupo.wapo ILA NI LAZIMA WAOBEY HILO NLOANDIKA.


NAKAM KAOLEWA, MUMEWE NAYE ASIWE.MCHEPUKAJI NA BADO YEYE MWENYEWE NI MWENYE HOFU YA MUNGU.



Mengineeee yalobaki ni makelele tuuuuuuu ni makeleleeeeeeeeee .

Labda kama una mwonekano ,usomvutia Mlaji wa masihara.
ila wee khaaah, mbishi sana khaaah, tutakesha hapa,

Basi umeshinda wee, japo unachokipigania sicho cha kweli hata kidogo.

Imetoshaaaah.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
jibu la mwisho liko hivi...

hakuna mwanamke asie ingilika au asie lika kimasihara.. ila ili aingilike au aliwe must awe na mvuto na au ashiki na mwanaume anaetaka kulana nae. hivyo cocastic na miss pablo .. hata nyie mnalika na kuingilikaila kwa wale mlo na hamu nao na hisia nao na wala hamuwabishii kitu chochote. . ila kwa msiokuwa na hisia au ashiki nao ndio mnakuwa kama mlivyoandika na kuyaongea hapa.. mjadala ufungwe hivi
 
Kuna mwingne alirudi humu kulalamika kuwa kaponzwa na huyu huyu Dr , amehama mtaa bila kupenda huku kodi haijaisha,

Mwingne alikalishwa kikao kwa balozi, kisa kumtumia text ya matusi mke wa balozi huyo huyo ,

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
mtakuja muniue mimi. Weeeee... sijaupitia muda huu uzi halaf akapigishwa fine ya nini asaaalaaaleee. Anawaponza wenzake tu. Waache wengine wakikute wanapelekana na mahakamani. Txt zenye maneno makali anawaandikia hao wa kumfanania namwambia anakataa. Pole kwa yaliyomkutaa

Kuna yule aloitwa agent wa kuzimu naye. Daah
 
Hii kwangu haiapply. Na mpk tukutane ni moyo wangu ukukubali. Kama vioi nacancel tu moyo wangu umekukataa. Yaan hata uimbe bob marley souljer sijui mimi malaika. Tena usishangae nikakusemesha na sauti ya kibezi... Sifa za kinafki nazijua. Anayetaka uzandiki najua. Sifa hazinipotezagi. Tutaonana endapo tu moyo wangu umekuerewa kwa kwenda mbere na hiyo haimaanishi ndo utanikula hapana. Nina roho mbaya sana na mbunye yangu
Mwisho wa siku italiwa na mchea, maisha haya!

Joke
 
Hellow Guyz,

Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.

Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.

Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.

Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;S hemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.

Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.

Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.

Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.

Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?

Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
ulitumia kinga?
Unajua yai ndio lilikuwa linapevuka, hapo genye zipo juu balaa na anawashwa, jamani acheni kabisaaa,unaeza mpa tunda hata kichaa barabarani mradi tu ukunwe.
 
Back
Top Bottom