Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Tulia mtakatifu, tulia kabisa hapo ulipo maisha yafaa nini bila kula utamu mama!!
Uaminifu sifa ya Yusufu ,kwanini nimkosee Mungu?
Nimkosee Mungu muumbaji wangu kwa raha kitambo tu!


Hakuna raha kama kuomba na maisha yafaa sana ukiwa na connection na Mungu ..vibe lake siwezi kulielezea ila ukitaka kulijua jaribu.



Aisee humu ndani kuna watu wangepewa vyeti kabisa vya uzinzi wawe certified
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uaminifu sifa ya Yusufu ,kwanini nimkosee Mungu?
Nimkosee Mungu muumbaji wangu kwa raha kitambo tu!


Hakuna raha kama kuomba na maisha yafaa sana ukiwa na connection na Mungu ..vibe lake siwezi kuluelezea ila ukitaka kulijua jaribu.



Aisee humu ndani kuna watu wangepewa vyeti kabisa vya uzinzi wawe certified
Sent using Jamii Forums mobile app

Nijaribu nini mtakatifu? Hivi Yusuf unampata wapi leo dunia hii, ningekuwa Yusuf ningemtandika yule mwanamke asinichezee mimi, mtu anakuletea utamu unamuachaje kizembe namna ile...ona Daudi alichofanya, kataka kula utam kaona amtangulize mwenzake ili ampunyue yule mama vizuri. Suleiman alifaidi mema ya nchi na bado tunamsoma kila siku, mimi ni nani eti nisijaribu kula mema ya nchi.
 
Nijaribu nini mtakatifu? Hivi Yusuf unampata wapi leo dunia hii, ningekuwa Yusuf ningemtandika yule mwanamke asinichezee mimi, mtu anakuletea utamu unamuachaje kizembe namna ile...ona Daudi alichofanya, kataka kula utam kaona amtangulize mwenzake ili ampunyue yule mama vizuri. Suleiman alifaidi mema ya nchi na bado tunamsoma kila siku, mimi ni nani eti nisijaribu kula mema ya nchi.
Huyohuyo Suleiman alikuja kugundua kama mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.

Msimtumie Suleiman kama reference ya kufanya dhambi... yeye alishatubu,
Ukifwata nyayo zake huwezi jua wewe utaishia wapi..kila mtu ana neema yake.

Unauliza Yusuph utampata wapi dunia ya leo??
Badala ya kuuliza utampata wapi ,chukua hatua Anza wewe kuwa Yusuph
Right is right even if no one is doing it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyohuyo Suleiman alikuja kugundua kama mambo yote ni ubatili na kujilisha upepo.

Msimtumie Suleiman kama reference ya kufanya dhambi... yeye alishatubu,
Ukifwata nyayo zake huwezi jua wewe utaishia wapi..kila mtu ana neema yake.

Unauliza Yusuph utampata wapu dunia ya leo??
Badala ya kuuliza utampata wapi ,chukua hatua Anza wewe kuwa Yusuph
Right is right even if no one is doing it.

Sent using Jamii Forums mobile app
Teeeh, mtakatifu bwana. Hivi ujuwe baada ya Suleiman kula utamu ndio akagundua kuwa kumbe ulikuwa upepo, lakini alikula kwanza.

Sema tu mimi sina bahati ya kukubalika, otherwise ningetembeza bakora kama wengine tu.
 
Back
Top Bottom