Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wakati kila mtu alidhani yupo peke yake, na baadae mkadhani mpo pekee yenu wawili

Kumbe kuna Co worker mwingine alikuwepo na alicheki x ya live kimasihara bila nyie kujua...... Nduki
 
Wakati kila mtu alidhani yupo peke yake, na baadae mkadhani mpo pekee yenu wawili

Kumbe kuna Co worker mwingine alikuwepo na alicheki x ya live kimasihara bila nyie kujua...... Nduki
Na ndiyo masihara yenyewe sasa! Kila kitu kimasihara
 
Umesema muhimbili..muhimbili nini hospitali au chuo..be specific..na uache kuleta dharau za kijinga..heshimu sana Muhas na products zake.
Kama na wewe umesoma kweli muhas na umesoma hujaiona hapo kwenye post yangu basi muhas ckuhz inazalisha product za ajabu sana....nimekosea sana kuiweka kwenye list kama product zinazotoka hapo ckuhz ndo kama wewe
 
kuna manzi nliwah kumtokea ila akanichapa za uso.! ameniahidi atanipa zawadi siku 1 kabla cjarudi chuo mana until now bado niko kitaa, sa cjui ni zawadi gani. hv ikiwa ni K, hy nayo itakuwa nmekula kimasihara au.?
 
Umesema muhimbili..muhimbili nini hospitali au chuo..be specific..na uache kuleta dharau za kijinga..heshimu sana Muhas na products zake.
Kwa akili zako nilivyotaja sua,udsm,ardhi,muhimbili ulijua muhimbili namaanisha nini??acha kujibaraguza wakati uliingia chaka bila kusoma vizuri...narudia tena kama product za muhimbili ckuhz ndo kama wewe basi nilikosea sana kuiweka muhimbili kwenye list
 
Kwa akili zako nilivyotaja sua,udsm,ardhi,muhimbili ulijua muhimbili namaanisha nini??acha kujibaraguza wakati uliingia chaka bila kusoma vizuri...narudia tena kama product za muhimbili ckuhz ndo kama wewe basi nilikosea sana kuiweka muhimbili kwenye list
Hasituaribie Muhas yetu
 
Una uhakika unachokinena mkuu
Ninao uhakika sababu umetumia njia haramu hata kama umezini,
Kwenye biblia kuna ambae alimwaga nje Mungu akamuua ina maana hakukua na wanaozini?
Sodoma na gomora iliteketezwa kwa sababu ya kufirana sana, jiulize hawakuwepo waliokua wakizini? Hadi sababu kuu ikatajwa ni mitaro?
 
Back
Top Bottom