Miaka ya michache nyuma, siku ya jumanne nipo kwenye boti nikitokea Unguja nilipokwenda kuhudhuria kikao cha UNESCO kuhusiana na uhifadhi wa mji wa kihistoria (Mji Mkongwe maarufu kama Stone Town) Nilipanda boti ya saa kumi kasoro nikiwa mwenye furaha nikirudi Dar baada ya wiki nzima visiwani.
Nilikuwa nimekata tiketi upande wa Business Class na kwa bahati nzuri nikawa nimekaa karibu kabisa na binti wa Kizanzibar (shombeshombe). Nilitoa salamu ambayo iliitikiwa vyema kabisa. Baada ya safari kuanza na mazungumzo ya hapa na pale nikagundua kuwa binti anakuja kwenye harusi Dar na anakuja maalumu kwa ajili ya kumremba bi harusi. Niligundua pia ilikuwa ni mara yake ya pili kuja Dar na yeye huwa anaishi Chakechake, Pemba ila Unguja ana ndugu zake.
Muda wa safari nilikuwa nawaza kuomba namba lakini nikawa ninasita na mwishowe niliamua kuwa sina haja na namba.
Tulipokuwa tunaingia bandari ya Dar alitoa simu akawa anapiga alijarubu kupiga mara kadhaa ila namba haipatikani. Niliona alivyoanza kuwa mnyonge na mwenye fadhaa. Baadaye akaniomba atumie simu yangu ili kumpigia ndugu yake ambaye anaishi Dar ili amweleze kuwa mwenyeji wake hapatikani, ndugu yake alipokea simu lakini naye alikuwa amesafiri kwenda Mkoani kikazi na aliyekuwepo ni mume wa huyo ndugu yake.
Binti akanigeukia na kuniambia mwenyeji wake hapatikani na ndugu yake naye amesafiri na yeye hawezi kwenda kuishi na huyo shemeji yake bila dada yake kuwepo.
Nikiwa nimekaa kimya nikitafakari akaniomba kama naweza kumtafutia nyumba ya wageni ili alale ili aone kama mwenyeji wake aliyemwambia aje kwa shughuli ya kupamba bibi harusi atapatikana kwenye simu. Nikamwambia ni gharama kulala nyumba ya wageni kwa maeneo ya City centre ila kama yupo radhi nikamtafutie sehemu ya kulala maeneo ambayo mimi ninaishi.
Baada ya kushuka tukaanza safari tukiwa kwenye bajaji na moja kwa moja bajaji ikaenda kuniacha mtaani ninanpoishi. Binti anashuka anashangaa na kuniuliza hapa ndio Nyumba ya wageni? Nikamjibu hapana nilitaka tu aone ninapoishi ili apite aache baraka kidogo, binti akatabasamu na kuingia ndani.
Hapa nilikuwa naishi kwa anko wangu ambaye alikuwa mkoani hivyo nyumba ilikuwa na nafasi ya kutosha na wapangaji wawili.
Baada ya kumpatia mgeni soda na mazungumzo machache nikamwambia kama anajisikia kuwa huru anaweza akalala hapo maana kuna chumba kipo wazi. Alionyesha kusita kidogo lakini baadaye akakubali na nikampelekea begi lake chumbani. Hiyo ilikuwa muda wa saa 12.30 jioni.
Nikaingia chumbani kwangu na kuoga kisha nikakaa sebuleni. Baada ya muda na yeye alitoka sasa akiwa hajavaa baibui, ndipo nilipomuona mtoto wa kipemba akiwa na nywele laini na rangi ya Dubai.
Kwenye saa mbili hivi nikamwambia tutoke kwenda kula maana sikuwa ninapika. Baada ya kula na kurudi akaniambia anaenda kupumzika maana amechoka. Basi nikamtakia usiku mwema, akaomba namba yangu ya simu kwa madai kwamba ikitokea ana dharura usiku anijulishe maana Mpaka kufikia muda huo sikuwa na namba yake.
Binti akaenda kulala mimi nikatoka upande wa uani ambapo kulikuwa na wapangaji ili kuwajulia hali maana sikuwepo kwa wiki nzima.
Saa nne nikarudi ndani na kuingia chumbani lakini sikuwa na usingizi kabisa maana tayari nilishaanza kumuwaza mtoto wa kipemba. Nikiwa nimejilaza kitandani, meseji inaingia "huku bara hamlali mapema" nikamjibu "ndio, watu bado wanashughuli"
SMS ya pili sasa "na wewe una shughuli gani au una mawazo ya wifi?" "nikamjibu sina mtu". Nikamwandikia na wewe mbona bado upo macho, binti akaandika nimeshindwa kufunga mlango wa chumbani, njoo unielekeze jinsi ya kuufunga. (Huu mlango ulikuwa na shida ya kitasa )
Nikatoka chumbani na kugonga hodi na kuingia chumbani kwa mgeni.
Nikamkuta binti yupo na nguo ya kulalia kwa kweli ile rangi na zile nywele laini nilihisi kabisa akili imevurugika.
Nikamwambia kitasa kina shida ila hakuna tatizo asiwe na hofu kabisa, na nikamshauri kama anaogopa basi akalale room kwangu mimi nilale humo. Binti akageuza macho kisha akaniambia njoo ulale humu ili unilinde usiku huku akiwa anacheka.
Sikupoteza muda nilirudi chumbani kwangu na kuzima taa na kuelekea chumbani kwa binti.
Nilijivuta kitandani na kulala pembeni kabisa, binti akasema sasa naweza kulala maana mlinzi upo hapo. (Zingatia sauti ya binti wa kipemba ni zile laini na nyororo).
Kila mtu akageuka upande wake na kujifanya tumelala.
Saa sita binti akaamka kwenda kukojoa (hiki chumba kina choo ndani). Safari hii ndio nilimuona vizuri japo kwa kuibia maana alikuwa na kijitako kidogo lakini laini kinacheza.
Aliporudi akanigusa bega na kuniuliza eti wewe huamki kukojoa? Wakati huo mimi mwenzake nipo macho kabisa huku misuli ikiwa imesimama wima. Nikakausha kama sijamsikia, ndipo akanitikisa na kuniambia mlinzi kazi imekushinda umeshalala. Nikamjibu kuwa nipo macho.
Nikageuka nikalala chali, ili aone mnara ulivyosimama labda atanionea huruma bahati mbaya. Akavuta shuka na kujifunika huku akinisogelea tofauti na awali.
Akiwa anavuta vuta shuka na kujiweka sawa mkono wake ukapita na kugusana na mnara, nikasikia kicheko tu kisha akamaliza kumbe ndio maana hulali. Kabla sijajibu chochote,mtoto wa kipemba mzima mzima akapanda juu na romance ikaanzia hapo. Baada ya kukiss kwa muda na kunyonya matiti yaliyojaa vizuri kwa muda wa kutosha nilijilia tunda kwa raha zote.
Binti alikuwa msafi sana na anayejua mahaba na mwenye ufanisi kwenye tendo la wakubwa. Binti anajua kukupatia unachotaka, binti anajua kulia kwa mahaba, binti msafi na anajituma.
Binti alipigiwa simu siku ya pili na kwenda kukamilisha kazi ya kumpamba bi harusi lakini aliishi kwangu kwa muda wa siku tano.
Nikiri wazi katika wanawake wote niliowahi kukutana nao huyu binti wa kipemba ni hatari na anashika namba moja.
Hawa shombeshombe ni watamu sana.
Baada ya hapo nilisafiri sana kwenda Unguja na yeye alikuja sana Dar ili tule tunda.
Huyu naye alishaolewa na ana watoto kadhaa sasa.