Charles kikoti
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 458
- 113
Ina signal 73 na btv ina 80 kiongoz kwa zote za kenya ntazipata.
Fanya kama nilivyosema sogeza pembeni kushoto hiyo LNB.
Ina signal 73 na btv ina 80 kiongoz kwa zote za kenya ntazipata.
Fanya kama nilivyosema sogeza pembeni kushoto hiyo LNB.
Habari zenu wakuu hivi ni satellite gani nzuri FTA yenye channels za movies, music, documentary, cartoons and most of all sports naweza kupata kwa dish dogo la Azam tv? Niko Dar natumia receiver ya Qsat Q13G natanguliza shukrani.
Poa kiongozi nameshaona kuna dalili ya kuzipata maana niingiza hyo frq kweny rcv ya mpg2 naona mstari wa unachezacheza asante kiongoz kwa maujuz haya ntakupa mrejesho jioni nikianza shughuli.
Nilesat @7W kwa dish hilo unahitaji high gain lnb au ongeza dish kubwa la 135cmHabari zenu wakuu hivi ni satellite gani nzuri FTA yenye channels za movies, music, documentary, cartoons and most of all sports naweza kupata kwa dish dogo la Azam tv? Niko Dar natumia receiver ya Qsat Q13G natanguliza shukrani.
Zipo nyingi ila mi natumia inverto ultra black single lnb na dish la 90cmHigh gain lnb gani mkuu robbyl niitafute?
Mi niliagiza nje kwa sh elfu 40 ila siyo lazima utumie hiyo tu nenda kariakoo duka linaitwa kwa levi lipo mtaa wa livingstone ana lnb kibao tu mwambie akupe yenye noise figure chini ya 0.3dB na gain zaidi ya 60bB ila kama utakosa hizo nunua dish kubwa la 135cm sh laki na 20 na utumie lnb ya kawaidaHiyo inverto ultra single inapatikana duka gani hapa dar na kwa kiasi gani kaka mkubwa robbyl?
Mkuu,uelekeo Wa Nilesat 7w kwa dishi la futi 6 kuna uwezekano wa kuongeza sat nyingine? ni zipi?Mimi ninazopata ni hizi
Eutelsat w2m @16E
Eutelsat w2a @10E
Eutelsat w3a @7E
Astra 1E @4.8E
Turksat2A @42E
Eutelsat w4 @36E
Nilesat @7W
Amos 5 @17E
Yamal 402 @54.9E
NSS 12 @57E
Intelsat 17 @66E
Intelsat 20 @68.5E
Eutelsat 70B @70E
ABS2 @75E
Aptstar 7 76.5E
Kama kuna nyingine naweza pata
Mimi ninazopata ni hizi
Eutelsat w2m @16E
Eutelsat w2a @10E
Eutelsat w3a @7E
Astra 1E @4.8E
Turksat2A @42E
Eutelsat w4 @36E
Nilesat @7W
Amos 5 @17E
Yamal 402 @54.9E
NSS 12 @57E
Intelsat 17 @66E
Intelsat 20 @68.5E
Eutelsat 70B @70E
ABS2 @75E
Aptstar 7 76.5E
Kama kuna nyingine naweza pata
nawezaje pata hii Eutelsat w2m @16E
katika kuchangia mawazo mafundi wenzangu,uelekeo wa nilesat 7w kwa dish la ft 6 na hiyo nilesat ikiwa ni prime focus waeza ongeza lnb 3,sirius 4.8E,ukapata tv congo,france 24 etc,chini yake waongeza eutelsat w3 7E,ukapata rts,pia kwa chini zaidi waongeza amos 5 @ 17E ukapata local channels package ya continental,na hata unapokuwa na ku dish ya 135cm yote pia hayo yawezekana wandugu,ila eutelsat w3 huwa yasumbua kidogo maana signal iko dhaifu