kingdavidtheone
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 245
- 25
Wadau msaada kuhusu Parksat 1R je kwenye C band inawekwa neflon?maana nilikuwa naitumia nikahamia Arabsat 5C kwa ajili ya Irib!sasa Irib zimehama hapo nami nahamia Parksat 1R
Wadau msaada kuhusu Parksat 1R je kwenye C band inawekwa neflon?maana nilikuwa naitumia nikahamia Arabsat 5C kwa ajili ya Irib!sasa Irib zimehama hapo nami nahamia Parksat 1R
haiwekwi.
yap kaka,waweza ku combine lnb zaidi ya moja na ni kama ifuatavyo,kwanza hakikisha ukisimama mbele ya dish,mikono ya dish imefungwa mmoja kushoto,mwingine kulia na wa mwisho umefungwa mbele yako yaani sehemu ya mbele ya dish,wakati huo lnb ya prksat iwe ndio prime focus,huo mkono wa kushoto wa lnb huko ndo unaweza kuwekea lnb nyingine,ila kwa urahisi funga flat bar kutoka kwenye scallar ring ulipofungwa mkono wa kushoto na iwe imenyooka moja kwa moja,usiipinde kama mkono wa dish ulipoenda kufungwa,katika hiyo flat bar sasa unaweza ukatafutia hiyo arab ya 20',amos 5 @ 17',eutelsat w3 @ 7',na hata ses 5 @ 4.8',zote hizo ni east directions,jaribu kaka
yap kaka,waweza ku combine lnb zaidi ya moja na ni kama ifuatavyo,kwanza hakikisha ukisimama mbele ya dish,mikono ya dish imefungwa mmoja kushoto,mwingine kulia na wa mwisho umefungwa mbele yako yaani sehemu ya mbele ya dish,wakati huo lnb ya prksat iwe ndio prime focus,huo mkono wa kushoto wa lnb huko ndo unaweza kuwekea lnb nyingine,ila kwa urahisi funga flat bar kutoka kwenye scallar ring ulipofungwa mkono wa kushoto na iwe imenyooka moja kwa moja,usiipinde kama mkono wa dish ulipoenda kufungwa,katika hiyo flat bar sasa unaweza ukatafutia hiyo arab ya 20',amos 5 @ 17',eutelsat w3 @ 7',na hata ses 5 @ 4.8',zote hizo ni east directions,jaribu kaka
yap kaka,waweza ku combine lnb zaidi ya moja na ni kama ifuatavyo,kwanza hakikisha ukisimama mbele ya dish,mikono ya dish imefungwa mmoja kushoto,mwingine kulia na wa mwisho umefungwa mbele yako yaani sehemu ya mbele ya dish,wakati huo lnb ya prksat iwe ndio prime focus,huo mkono wa kushoto wa lnb huko ndo unaweza kuwekea lnb nyingine,ila kwa urahisi funga flat bar kutoka kwenye scallar ring ulipofungwa mkono wa kushoto na iwe imenyooka moja kwa moja,usiipinde kama mkono wa dish ulipoenda kufungwa,katika hiyo flat bar sasa unaweza ukatafutia hiyo arab ya 20',amos 5 @ 17',eutelsat w3 @ 7',na hata ses 5 @ 4.8',zote hizo ni east directions,jaribu kaka
Nataka kununua receiver ya wiz tech toleo lipi ndo nzuri.
Wiztech 999 HD
vp inauwezo wa kufungua scrambled channel?
Inafungua vizuri mnooo Mi mwenyewe ndo nayotumia!
matoleo mengi ya wiztech yana matatizo hasa unapozitumia kwa ajili ya chanel za continental sauti inakatakata sana,mfano jana kuna jamaa kanununua wiztech9090 nilipoifunga nilikuta sauti inakata kata