jaribu kufanya setting ya dish lako vizur ongeza signal ziwe za kutosha
jaribu kufanya hivyo maan hata mm natumia hiyo nimefanya setting signal 90% na quality 81%
Wapendwa hapa tupo shuleni ila ili Darasa limepoa kabisa sasa na leta swali kwenu Wadau!Channel hizi zilizofungwa na biss keys pekeee ndizo ambazo tunaweza kuona kwa kuedit jibu ni ndio mkuu
Wapendwa hapa tupo shuleni ila ili Darasa limepoa kabisa sasa na leta swali kwenu Wadau!Channel hizi zilizofungwa na biss keys pekeee ndizo ambazo tunaweza kuona kwa kuedit jibu ni ndio mkuu
kwa maana hiyo hizi zingine tufanye kama hazipo vile!
Na hii zero seven one three 527388Administrator wa group la whatsapp add namba hii 0684601342 please
For soccer free all great european leagues Epl La liga BBundasliga and Seria A go For irib package @ arabsat 5c and movies nilesat @ 7w
They are definately alternative for dsthieves
Nisaidie ndugu namna ya kuipata hyo receiver ya irib
- Siyo receiver ya irib, Bali ni receicer yeyote ya MPEG4 inayo edit BISS KEY, Pamoja na Dish la Ft 6
- Mfano WIZTECH , QSAT, STRONG STR etl
Bei inategemea mambo mawiliDish n lazma liwe la fut 6 au la azam linafaa, na bei ya hvyo ving'amuz n tsh ngap mwl?
Nimefunga continental na receiver yake aina ya CDM03.Natamani sana kuongeza sat ya Astra hapo hapo kwa continental,vipi wadau wa fta chaneli zitaingia kwenye hii receiver?