Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Hahahah, wakati nasoma nilikuwa na tabasamu kubwa, nikiwaza mimi sijakumbana na vitu hivyo; lkn nikaja kukumbuka kaiincident kadogo ambapo nilisifia game moja more than 13 yrs ago. The guy asked me, "kwani siku nyingine huwa sio tamu?" Nikashtuka, maana kiukweli huwa ni tamu but l dont know what happened that day hadi nikapagawa vile. Nilimjibu tu siku hazilingani, na akaelewa.

Ila sidhani kuna jipya litakalonishtua hadi nijiulize amejifunzia wapi (umri unahusika), ila namna unayompenda mtu ina nafasi kubwa sana ktk kuridhishana kimapenzi kuliko hata style, this is what l came to learn over time.

.......mnhhhh, Kaunga ulikuwa wapi siku zote lakini naweeee?
 
Last edited by a moderator:
sidhani kama ukiletewa ubunifu mpya kuna sababu ya kustuka zaidi ya kufurahia.watu wanajifunza hata kwenye mitandao haya makitu sio lazma awe alifundishwa na mtu. peaneni maubunifu ila angalia msipitilize. lol
 
Asee....
Hivi ukipewa kitu si unaondoka nacho? Asee......
Inafurahisha sana aisee...
[/QUOT


huwa unafurahia maujuzi mapya na kupiga kimya au wataka kujua kayajulia wapi?
 
Simba mzee anaweza kujifunza vipya? Ila akiweza tu, alete tu hayo maujuzi watu tufurahie.
 
Mkuu na moskwito Mbu, kwa heshima yako nimeona niirudishe hii zilipendwa.... labda kizazi kipya kinaweza kutupa fikra mpya....

NB.... TAHADHARI: kizazi kipya hakina uhusiano wowote na bongo fleva wala bongo movie, wala kata K.

cc: Munkari, Heaven on Earth, ram, snowhite, miss chagga, Madame B, Zinduna, Mentor, Nicas Mtei, Paloma, watu8, Vin Diesel, Excel, cacico, BADILI TABIA, brenda18, kichunafk, KOKUTONA, KakaKiiza et el et el et el.....

BCC: AshaDii, Kaunga, King'asti, Mwali, Kongosho, gfsonwin, Mwali.

Natamani siku moja nikutie machoni.....!
 
Last edited by a moderator:
Njoo Fyatanga niko na Mtambuzi. Utatutia wote ukitaka. Machoni.

Ulikuwa wapi siku zote???

Ha ha ha haaaa haaa, ndo maana nina kila sababu ya kukona....Nielekeze njia nije.

Hata sijui nilikuwa wapi siku zote, Ukinionea Bishanga mwambie namtafuta, nina neno naye
 
Last edited by a moderator:
Hahahah "M" kakana tuhuma zote, afu kasema ana ushahidi fellow M mwenzake anahusika.

Hahahahaah. 'M' mdogo kasema anao ushahidi wa PM unaowaweka nyie hatiani moja kwa moja
Cc Mentor
 
Last edited by a moderator:
uko active kusikiliza mazungumzo ya vijana babu. Mie ntamezea kwa kweli hata kama yakiwa mapya nliyopewa lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom