Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Asprin.ahhahahahha usingezaliwa yule msheku mgombani angeumwa tumbo maisha
!
kha
 
Last edited by a moderator:
Asprin.ahhahahahha usingezaliwa yule msheku mgombani angeumwa tumbo maisha
!
kha

Usinambie mi ndo Yesu wake. Mkombozi na mwokozi wa tumbo la Matesha. Aheshimiwe ODM.
 
Last edited by a moderator:
Ujue hata ukimbania ataenda wafurahisha wengine akuachie hivyo hivyo unashangaa shangaa tu.
Mie bana nitajilia tu kwa kweli, maisha yenyewe yako wapi ya kukaa unahoji kila kitu, kama kajifunzia kwenye video au jf jukwaa la chini?

Yani unanipaga raha sana, vile tu hujui.
 
Ujue hata ukimbania ataenda wafurahisha wengine akuachie hivyo hivyo unashangaa shangaa tu.
Mie bana nitajilia tu kwa kweli, maisha yenyewe yako wapi ya kukaa unahoji kila kitu, kama kajifunzia kwenye video au jf jukwaa la chini?
Kongosho ndo lipi hilo?
 
Last edited by a moderator:
....BABU kuna kitu umeficha hapo.....ulikuwa wapi hujanila 0712 all time? asante mpenzi leo umekamilisha.....
 
Huwa nalisikia tu, kuna jukwaa huko chini full ma King Kong, watu wanafundishana kurina asali bila mizinga wala nyuki.

Sina access, ila najua lipo.

Hebu niombee access basi.....:tonguez:
 
Usimtaje jamani, asije akaijua jeiefu na kujiunga

NAskia panatisha sana, kuna shuhuda aliwahi niambia, afu walimu hawaruhusiwi ujue.

Hahaa tuseme apo unanionea huruma nisije nikafa? Afu mi sio mwalimu...mwalimu wangu ni snowhite mi mwanafunzi😎
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom