Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

MTM hizo aisee zako zinanivunja mbavu, kama nakuona vile na mkono kidevuni, lol!
 
Jamani nyie msije jikuta mnaanza kupendana kiukweli kweli kupitia keyboard am kidd😛hone:ing

Msinisahau katika ufalme wenu
 
Hii nzuri sana, ila kuulizwa ulikuwa wapi siku zote ndio nzuri zaidi
 
babu nipepita kukusalimia
Ahsante (naogopa kuitika marahaba).........kuna nafasi moja iko wazi....karibu

aisee.......
Inaumisa sana aiseee!

MTM hizo aisee zako zinanivunja mbavu, kama nakuona vile na mkono kidevuni, lol!
Halafu wewe....!

Jamani nyie msije jikuta mnaanza kupendana kiukweli kweli kupitia keyboard am kidd😛hone:ing

Msinisahau katika ufalme wenu
Niko nawaangalia tu, bado sijatema mate chini.........

Hii nzuri sana, ila kuulizwa ulikuwa wapi siku zote ndio nzuri zaidi
:A S 114::A S 114::second:
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nampenda kiukweli, am not kidding.!

Mkuu na moskwito Mbu, kwa heshima yako nimeona niirudishe hii zilipendwa.... labda kizazi kipya kinaweza kutupa fikra mpya....

NB.... TAHADHARI: kizazi kipya hakina uhusiano wowote na bongo fleva wala bongo movie, wala kata K.

cc: Munkari, Heaven on Earth, ram, snowhite, miss chagga, Madame B, Zinduna, Mentor, Nicas Mtei, Paloma, watu8, Vin Diesel, Excel, cacico, BADILI TABIA, brenda18, kichunafk, KOKUTONA, KakaKiiza et el et el et el.....

BCC: AshaDii, Kaunga, King'asti, Mwali, Kongosho, gfsonwin, Mwali.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu na moskwito Mbu, kwa heshima yako nimeona niirudishe hii zilipendwa.... labda kizazi kipya kinaweza kutupa fikra mpya....

NB.... TAHADHARI: kizazi kipya hakina uhusiano wowote na bongo fleva wala bongo movie, wala kata K.

cc: Munkari, Heaven on Earth, ram, snowhite, miss chagga, Madame B, Zinduna, Mentor, Nicas Mtei, Paloma, watu8, Vin Diesel, Excel, cacico, BADILI TABIA, brenda18, kichunafk, KOKUTONA, KakaKiiza et el et el et el.....

BCC: AshaDii, Kaunga, King'asti, Mwali, Kongosho, gfsonwin, Mwali.

Kwanza...unalinda nin had now hujalala
 
Last edited by a moderator:
babu Asprin, haujambo?

kwanza nikuulize, bibi yuko wapi saa hizi mpaka uko macho?

asubuhi akija na ujuzi mpya utauliza kweli?
 
Last edited by a moderator:
babu Asprin, haujambo?

kwanza nikuulize, bibi yuko wapi saa hizi mpaka uko macho?

asubuhi akija na ujuzi mpya utauliza kweli?

Mie niko huku Ziwa Nyasa nalinda mpaka wetu na Malawi. Nikirudi bibi yako hajajifungua, nakuuzia mimba..... Lazima ihusishe DNA.
 
Last edited by a moderator:
Mie niko huku Ziwa Nyasa nalinda mpaka wetu na Malawi. Nikirudi bibi yako hajajifungua, nakuuzia mimba..... Lazima ihusishe DNA.

hahahahaaa!! bibi mwenyewe ana swaga kama zako!

wote waswahili! sijui mlitianaje hiyo mimba?
 
hahahahaaa!! bibi mwenyewe ana swaga kama zako!

wote waswahili! sijui mlitianaje hiyo mimba?

Tema mate chini, kabla sijakushushia laana. Bibi mimba ya tatu hii na bado yu na bikra yake. Mi ni binamu wa roho mtakatifu.
 
Hahahah, wakati nasoma nilikuwa na tabasamu kubwa, nikiwaza mimi sijakumbana na vitu hivyo; lkn nikaja kukumbuka kaiincident kadogo ambapo nilisifia game moja more than 13 yrs ago. The guy asked me, "kwani siku nyingine huwa sio tamu?" Nikashtuka, maana kiukweli huwa ni tamu but l dont know what happened that day hadi nikapagawa vile. Nilimjibu tu siku hazilingani, na akaelewa.

Ila sidhani kuna jipya litakalonishtua hadi nijiulize amejifunzia wapi (umri unahusika), ila namna unayompenda mtu ina nafasi kubwa sana ktk kuridhishana kimapenzi kuliko hata style, this is what l came to learn over time.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom