Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Nitasema asante kama nimefurahia.....nipo Babu,majukumu kidogo tu but am here,so close to you..lol
Ahaaa...safi sana! Babu anakuangalia kwa karibu ujue...anakufuatilia.

Babu huzeeki? lol
Maini huwa yanazeeka?

Babu ulikuwa wapi?
Nilikuwa kitandani natafakari, huyu kijana alimpa nini huyu binti mpaka aulizwe ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?

Uuchune tu babu ili uendelee kufaidi, ukiwa unaulizauliza mpenzi wako atakushangaa sana, na utandawazi wote huu, na mavitabu yote haya bado tu siku hizi tunaulizana tumepata wapi maujuzi????
Aisee....unamfundisha babu tabia mbaya siyo?..........babu na utandawazi wapi na wapi?

shkamoo ODM....khe!kwani tunakariri mapenzi?hakuna ubunifu jamani!!!!kama nitauliza hivyo labda ninawish kwa nini sikukupata mapemaaaaaaaaa?otherwise thx will be my WORD
Marahaba KANU............leo nimekupata black and white.......Raha jipe mwenyewe mwaego!......Raha haulizwi!!!!!

muhimu kufurahia ubunifu mengine utajiletea presha bure............... unatoa asante ya nguvu....... unamwambia kesho uje na style nyingine :bange: mambo mapya kila siku na staili mpya
Hehehehe....Bibi huyoooo bibi bibi huyo bibi bibi huyoooooo! Bibi raha haikopeshwi!

Mhhh babu unajua ukimpata anae Kukuna panapo washa utasema au uliza kituChochote.."Ulikuuwa wapi"?Sijui " nimemuona farasi" Wengine yoe tu ..Balaa umpate yule unawashwa mguu Yeye akukuna shingo utamuuliza"Umetoka wapi"? Mnnhhhhh
Aiseee kuna watu wanawafaidi wajukuu zangu mpaka babu anaona wivu LOL

Aisee.. sasa mkuu niPM yale ambayo hujayaelezea hapo juu
Hehehee.....ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?

Watu wengine huuliza lakini kwa sasa huwezi kuuliza maufundi yamejaa kwenye mitandao kibao kama hapa
BABU na mitandao wapi na wapi? Afu ugoro atakula saa ngapi?

babu nimeipenda hadithi yako......unajua inatufundisha nini?? Inatufundisha kufurahia maisha kwa kuwa na mioyo mikunjufu na yenye shukrani. mapenzi babu ni matamu na katu mtu asijaribu kuyafikiria yangekuweje kama yangeongezewa chumvi au shubiri! ukianzauliza maswali ya umejifunzia wapi, nani kakujuza ni kuyatia shubiri mapenzi kwa kujitia jakamoyo! Umepewa leo mlo mtamu umepikwa kiufundi bwana lake neno AKSANTE MPENZI. Unauliza ya nini wakati uwezekano ni mkubwa kuwa wakati anafikiria kukupikia hicho chakula alikuwa ana furaha sana na akaamua akuonyeshe furaya yake na mapenzi yake kwako kwa yeye kuwa mbunifu na kujitungia tu 'Recipe' yake ambayo anaona itatoa chakula kizuri utakachokipenda?? Recipe si lazima ugawiwe na mwingine bana
hahahaha....recipe TIAI! Recipe machozi band, Recipe binti machozi..... RAHA HAINUNULIWI.......RAHA HAIFUNDISHWI........RAHA KUJINAFASI

BAbu anarudi kitandani.

Wajukuu mlikuwa wapi siku zote?
Hivi mnahisi huyu binti alipewa kitu gani mpaka akauliza ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?
 
Sasa je! lazima umuulize, siku zote anavurunda akiibuka siku moja na kufanya maajabu lazima ushangae na kumuuliza alikuwa wapi siku zoooote kufanya hayo?
 
Ahaaa...safi sana! Babu anakuangalia kwa karibu ujue...anakufuatilia.

Maini huwa yanazeeka?

Nilikuwa kitandani natafakari, huyu kijana alimpa nini huyu binti mpaka aulizwe ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?

Aisee....unamfundisha babu tabia mbaya siyo?..........babu na utandawazi wapi na wapi?

Marahaba KANU............leo nimekupata black and white.......Raha jipe mwenyewe mwaego!......Raha haulizwi!!!!!

Hehehehe....Bibi huyoooo bibi bibi huyo bibi bibi huyoooooo! Bibi raha haikopeshwi!

Aiseee kuna watu wanawafaidi wajukuu zangu mpaka babu anaona wivu LOL

Hehehee.....ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?

BABU na mitandao wapi na wapi? Afu ugoro atakula saa ngapi?

hahahaha....recipe TIAI! Recipe machozi band, Recipe binti machozi..... RAHA HAINUNULIWI.......RAHA HAIFUNDISHWI........RAHA KUJINAFASI

BAbu anarudi kitandani.

Wajukuu mlikuwa wapi siku zote?
Hivi mnahisi huyu binti alipewa kitu gani mpaka akauliza ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?
Aliguswa G sport
 
Sasa je! lazima umuulize, siku zote anavurunda akiibuka siku moja na kufanya maajabu lazima ushangae na kumuuliza alikuwa wapi siku zoooote kufanya hayo?
Kwikwikwi..........nimecheka mpaka baaaaasi!.....BB we noma.....nimekukubali. Kwahiyo bora endelee kujishoboboa na maujinga yake ya siku zote?

Aliguswa G sport
G Sport ndio Ikulu ya wapi vile?...........Hebu kule usimzeeshe babu wa bibi.
 
Khaa huyu nae hana maadili kama chauro,shurti kusema asante si twajifunza kila siku babu nini kumuuliza mwenzako alikuwa wapi?
 
Kwikwikwi..........nimecheka mpaka baaaaasi!.....BB we noma.....nimekukubali. Kwahiyo bora endelee kujishoboboa na maujinga yake ya siku zote?

G Sport ndio Ikulu ya wapi vile?...........Hebu kule usimzeeshe babu wa bibi.
sasa babu kama hujui unauliza nini naona uzee unakusumbua inabidi nikutoe nje ukaote jua
 
hakuna kuliza wala nini
mi ikitokea naulizwa ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wangu wa kukufanyia kitu kipya
and you know what that means.........
lakini babu hivi leo hii bibi akija na staili mpya ya kukiss mkiwammegeuza vichwa nywele chini videvu juu
utauchukuliaje huo ubunifu?
just asking
 
mmmh!haya babu naona umekuja na nitoke vipi..........................
narudi baadae kidogo,
Hivi ugoro wako ulishaisha eeeeeeh..????
tatizo ukishakula hayo maugolo bibi unampa sana tabu ya kudeki kila wakati,
mate wayatema tema kila sehemu lol...........
 
hakuna kuliza wala nini
mi ikitokea naulizwa ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wangu wa kukufanyia kitu kipya
and you know what that means.........
lakini babu hivi leo hii bibi akija na staili mpya ya kukiss mkiwammegeuza vichwa nywele chini videvu juu
utauchukuliaje huo ubunifu?
just asking
mie siachi ndio kwanza nazidisha halafu namwambia kama hapendi aniambie hapohapo sio asubiri utamu mwishoni ndio aibuke na maswali
 
Hommie...kwa taarifa za udaku, itakuwa mjamaa alimpa kitu gani mpenzi wake au alipewapo nini??? najaribu kusome pembeni ya mistari
 
Wandugu salamu,

Jana saa mbili kamili usiku, Etiennes Club kaunta ya Juu:Bia ya baridi, glasi ya moto, mhudumu mweupe.

Kijana mmoja akatokea akawakuta rafiki zake kaunta, babu nawaangalia tu na mawani yangu.
Wakagongeana mikono na kutaniana kidogo, babu nawaangalia tu bila mawani
Kisha wakapeana habari ya yaliyojiri jana yake, babu nawasikiliza tu.

Maongezi yakaendelea kupeana yaliyojiri kama walivyokubaliana jana yake. Mpaka ilipofikia sentensi ifuatayo ndipo babu akshtuka, nainukuu.... "Si nikamfanyia kama mlivyoniambia?....Nikaona tofauti bana....alipagawa flani hivi.....mwanaume nikajua bibiye nimemfikisha pafikishwapo...." Mara jamaa kabadili sura........" Baada ya gemu si ndo nikajua kumbe yule demu kauzu........ Eti akanambia mpenzi wangu ulikuwa wapi siku zote jamani? Sikujua......"

Mjadala ukaanzia hapo:
Nilikuwa wapi siku zote, ana maana gani?
Jamaa 1:(Huku Anacheka)....anasikitika kama ungemfanyia hivyo siku zote asingemegwa na wengine, angekupa wewe tu, unamegewa wewe!
Jamaa 2: Hapana bana, bibiye alikuwa anaelezea hisia zake, ulichelewesha kumpa maufundi bana
Mhusika: Mi mjanja bana....huyu anamaanisha ...yani nlikuwa mshamba flani nlikuwa wapi siku zote sikumfanyia hayo majambo, mpaka ndo namfanyia safari hii.....demu mwingi sana yule....haya mambo aliyajulia wapi mpaka anambie nlikuwa wapi siku zote?......(Sina sababu ya kuwaambia alichomfanyia bibiye, babu si mbea)

Babu kwakuwa sipendi dhambi nikajiondokea zangu....nikarudi zangu kitandani.

Sasa kaswali kwenu vijana wangu na wajukuu wangu wapendwa:

Mpenzi wako wa siku nyingi akikuonyesha ubunifu mpya katika mapenzi (kwenye sita kwa sita) ambao miaka yote hiyo hakuwahi kukufanyia....... kuna uwezekano kaupata sehemu flani ndo anakuletea? Unapaswa kumuuliza kajifunzia wapi au kumwambia ahsante?.......Je kuna sababu yoyote ya kuleta ubunifu mpya wa mapenzi kwa mpenzi/mwenza wako wa siku nyingi? Si hatari kwa mahusiano?

Jamani nawaulizeni? : MLIKUWA WAPI SIKU ZOTE............?

Babu anarudi kitandani kutafakari.

Nothing is permanent except "CHANGE".....Always remember this!!
 
Asee....
Hivi ukipewa kitu si unaondoka nacho? Asee......
Inafurahisha sana aisee...
 
Back
Top Bottom