Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
- Thread starter
- #21
Ahaaa...safi sana! Babu anakuangalia kwa karibu ujue...anakufuatilia.Nitasema asante kama nimefurahia.....nipo Babu,majukumu kidogo tu but am here,so close to you..lol
Maini huwa yanazeeka?Babu huzeeki? lol
Nilikuwa kitandani natafakari, huyu kijana alimpa nini huyu binti mpaka aulizwe ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?Babu ulikuwa wapi?
Aisee....unamfundisha babu tabia mbaya siyo?..........babu na utandawazi wapi na wapi?Uuchune tu babu ili uendelee kufaidi, ukiwa unaulizauliza mpenzi wako atakushangaa sana, na utandawazi wote huu, na mavitabu yote haya bado tu siku hizi tunaulizana tumepata wapi maujuzi????
Marahaba KANU............leo nimekupata black and white.......Raha jipe mwenyewe mwaego!......Raha haulizwi!!!!!shkamoo ODM....khe!kwani tunakariri mapenzi?hakuna ubunifu jamani!!!!kama nitauliza hivyo labda ninawish kwa nini sikukupata mapemaaaaaaaaa?otherwise thx will be my WORD
Hehehehe....Bibi huyoooo bibi bibi huyo bibi bibi huyoooooo! Bibi raha haikopeshwi!muhimu kufurahia ubunifu mengine utajiletea presha bure............... unatoa asante ya nguvu....... unamwambia kesho uje na style nyingine :bange: mambo mapya kila siku na staili mpya
Aiseee kuna watu wanawafaidi wajukuu zangu mpaka babu anaona wivu LOLMhhh babu unajua ukimpata anae Kukuna panapo washa utasema au uliza kituChochote.."Ulikuuwa wapi"?Sijui " nimemuona farasi" Wengine yoe tu ..Balaa umpate yule unawashwa mguu Yeye akukuna shingo utamuuliza"Umetoka wapi"? Mnnhhhhh
Hehehee.....ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?Aisee.. sasa mkuu niPM yale ambayo hujayaelezea hapo juu
BABU na mitandao wapi na wapi? Afu ugoro atakula saa ngapi?Watu wengine huuliza lakini kwa sasa huwezi kuuliza maufundi yamejaa kwenye mitandao kibao kama hapa
hahahaha....recipe TIAI! Recipe machozi band, Recipe binti machozi..... RAHA HAINUNULIWI.......RAHA HAIFUNDISHWI........RAHA KUJINAFASIbabu nimeipenda hadithi yako......unajua inatufundisha nini?? Inatufundisha kufurahia maisha kwa kuwa na mioyo mikunjufu na yenye shukrani. mapenzi babu ni matamu na katu mtu asijaribu kuyafikiria yangekuweje kama yangeongezewa chumvi au shubiri! ukianzauliza maswali ya umejifunzia wapi, nani kakujuza ni kuyatia shubiri mapenzi kwa kujitia jakamoyo! Umepewa leo mlo mtamu umepikwa kiufundi bwana lake neno AKSANTE MPENZI. Unauliza ya nini wakati uwezekano ni mkubwa kuwa wakati anafikiria kukupikia hicho chakula alikuwa ana furaha sana na akaamua akuonyeshe furaya yake na mapenzi yake kwako kwa yeye kuwa mbunifu na kujitungia tu 'Recipe' yake ambayo anaona itatoa chakula kizuri utakachokipenda?? Recipe si lazima ugawiwe na mwingine bana
BAbu anarudi kitandani.
Wajukuu mlikuwa wapi siku zote?
Hivi mnahisi huyu binti alipewa kitu gani mpaka akauliza ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?