Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ha ha ha haaaa haaa, ndo maana nina kila sababu ya kukona....Nielekeze njia nije.

Hata sijui nilikuwa wapi siku zote, Ukinionea Bishanga mwambie namtafuta, nina neno naye

Boko Basihaya, fesibuku pub kaunta ya juu. Uzuri na Zinduna anakuja na mkodobwe wake... incase ukileta zako..... usisahau kuja without.

Bishanga? Hapana asee, si unajua siku hizi amekuwa prezidaa?
 
Last edited by a moderator:
uko active kusikiliza mazungumzo ya vijana babu. Mie ntamezea kwa kweli hata kama yakiwa mapya nliyopewa lol

Nimekukosea nini, mbona umenipotezea? Ulikuwa wapi siku zote?
 
Boko Basihaya, fesibuku pub kaunta ya juu. Uzuri na Zinduna anakuja na mkodobwe wake... incase ukileta zako..... usisahau kuja without.

Bishanga? Hapana asee, si unajua siku hizi amekuwa prezidaa?

OMG na mkodobwe teeena.
No way....nije kusutwa teeena.
Naja asa iviii
 
Aisee sipendi tabia ya wakaka kuwasimulia rafiki zao walichofanya na wapenzi wao kitandani, honestly sipendi.
 
Aisee sipendi tabia ya wakaka kuwasimulia rafiki zao walichofanya na wapenzi wao kitandani, honestly sipendi.

Ila wadada wakisimuliana unapenda, sio??
 
Du! Nimekumbuka mwaka fulani jirani yetu katoka safari,usiku wakati anataka mega tunda wife ana shanga kiononi! Na toka waoane miaka 5 sasa akuwaga nazo.mbinde yake kama sio mjumbe wa nyumba kumi kumi na mkewe kufanya nao kikao cha faragha pangekuwa apatoshi
 
Du! Nimekumbuka mwaka fulani jirani yetu katoka safari,usiku wakati anataka mega tunda wife ana shanga kiononi! Na toka waoane miaka 5 sasa akuwaga nazo.mbinde yake kama sio mjumbe wa nyumba kumi kumi na mkewe kufanya nao kikao cha faragha pangekuwa apatoshi

Hahahahah wazee wenzangu Mbu, Dark City, Kaizer, njooni huku mpate somo jipya.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom