klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
umenukuu on a right time sababu mimi na MTM tulikuwa tunatafta shahidi wa 3 wa hii halusi kabla babu hajaamka. ubarikiwe FL1, nadhani ujio wako ni wa ufunuobwana mie nimenukuu tu mwenzio...
umenukuu on a right time sababu mimi na MTM tulikuwa tunatafta shahidi wa 3 wa hii halusi kabla babu hajaamka. ubarikiwe FL1, nadhani ujio wako ni wa ufunuobwana mie nimenukuu tu mwenzio...
Mwenzio mie nilipigwa chini na lijamaa nikawa kila siku naweka huu wimbo nabwaga kilio cha mbwa mwizi na kuona kama nukta za maisha yangu zimesimama ...duh maisha haya bwana ..kumbe mungu yeye alikuwa na mpango maalum na mie ...
mbona unapotea kama msimu wa senene zinatokea mara moja kwa mwaka
umenukuu on a right time sababu mimi na MTM tulikuwa tunatafta shahidi wa 3 wa hii halusi kabla babu hajaamka. ubarikiwe FL1, nadhani ujio wako ni wa ufunuo
😛hone: ni kweli eeh kama huna neno na unyamaze kimya milelekhaaa! pole aisee! hapo red hapo bora niseme majukumu tu, maana nikitaka kuingia deep sana Mbu anaweza akacancel resi zake zote za kutafta mchumba.
On Serious note ........................Klorokwini nahitaji ku'onana' nawe!! lol
(I hope Mbu hatoiona hii!!!).......seriously
hehehe nikiwa kama lawyer wa Mbu, proposal ya Mbu nimeicancel until further notice!
To MJ1: Kama umefikiria na kuamua bora klorokwini kuliko Mbu nadhani hujafanya uamuzi mbaya kabisa MJ1, enhee tukutane wapi?
Humchinjii bana! akishakupata katoto yeye na mbu in the future, wataukumbuka ushuhuda wako milele.mara hii nimekuwa shahidi ndo namchinjia MJ baharini ati
heheheh ngoja nijiweke pembeni nione hili sakata la Mbu linaelekea wapi...
Sasa MJ1 weekend yote hii wewe uko kwenye laptop?
LOL...e bana wee...nitakuwa sikulipi sasa.
Uwakili gani huo sasa? kwenye ku sign Pre-nuptials papers na Mwj1 usijenihariba tu.
Haya, ruksa mjadiliane faragha,...namuamini!
Hizo vurugu zenu zanifanya nijiulize; Mlikuwa wapi siku zote!
Khaaa! kile kikao chetu mimi na wewe kimeghairishwa? all in all, kama mambo yashatulia mimi nilog out nirudi kwenye honeymoon langu na naomba nisitafutwe kwa miezi kadhaa ijayo.Nimeridhia.
........This is for you Mbu.........(I hope hutoniambukiza Malaria unifanye nimtafute Klorokwini au FT)
YouTube - ‪Laila Rashid - Maneno Ya Mkosaji (Part 1)‬‏
Khaaa! kile kikao chetu mimi na wewe kimeghairishwa? all in all, kama mambo yashatulia mimi nilog out nirudi kwenye honeymoon langu na naomba nisitafutwe kwa miezi kadhaa ijayo.
MJI !:happy:usisahau kunitumia kadi ya mwaliko.
klorokwini Mkuu Mbu haina haja ya PM bana said:Ulikuwa wapi siku zote?????......🙂
Haha bado kipo, agenda tu ndo zimebadilika lol,,,,,,,,,,,,,,,,,,,ndo nini hadi unaenda hanemuni hatupeani taarifa 'shemeji' lolKhaaa! kile kikao chetu mimi na wewe kimeghairishwa? all in all, kama mambo yashatulia mimi nilog out nirudi kwenye honeymoon langu na naomba nisitafutwe kwa miezi kadhaa ijayo.
Mkuu Mbu haina haja ya PM bana, kwa faida ya wote hapa nazani nitarejea kunako sept kama sio oktoba. mpe salam zangu fellow tablet aspirin bana. Tumeamua tuhubiri mapenzi kwa vitendo sio kuanzisha sredi tu lol
Chauro........weekend hii imekuwa ya neema kwangu..na huzuni kwa Babu lol
Usijali kuna nafasi ya washika shela nyuma lol
Hahaaaaaaaaa,hiyo nafasi nyeti sana lazima nianze mazoezi ya kutengeneza mwili naweza kujipatia dumu siku iyo.
tarehe hamjapanga bado?