klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Poor me nilisahau kuwa kiswahili cha Haya ni YES kwa kiinglish!!
MTM, FT na Klorokwini natamka rasmi........Oh my gosh, oh my gosh, oh my gosh........yehs, yes, yes.......yes Mbu I will marry you if my Babu gives us a permission.
Mambo si haya bana! heheh Acha niwasiliane na wanakamati wa pilau, mkuu Mbu anza kutafuta suti, usije ukatuvalia magwanda ya chadema siku ya halusi.
Kuhusu babu asiwasumbue sana, anapokea rushwa ya pombe.