Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
- Thread starter
- #461
Babu kulala gani huko?! ona sasa nime'kuzwa' kinguvu! kabla hujakagua
Nimevumilia kiasi cha kutosha,
Nimenyanyaswa kiasi cha kutosha,
Nimeonewa kiasi cha kutosha
Nimepuuzwa kiasi cha kutosha
Sasa Nasema Baaaasi!.......
Mbu: Anza kuandika wosia
Klorokwini: we sindugu yangu tena, hebu nipatie namba za kwinini...
MTM: Lile deni nililokusamehe, nimebadili mawazo.........nakupa masaa 18.
Firsttlady1: Ulikuwa wapi siku zote
Kin'gasti, Ashadii, Gaga: Nafasi ya MJUKUU MTIIFU IKO WAZI
Mj1: Umefukuzwa kwenye kasri la babu, na cheo chako cha mjukuu mtiifu kimeshushwa na kuwa mjukuu wa kawaida (Mtukutu)
RR: Unatumia kinywaji gani?
With serious note: You guys are amazing....khaa
Yaani kutoka Ulikuwa wapi siku zote mpaka kuniolea mjukuu wangu mtiifu? Tena bila mahari LOL
Nilikuwa wapi siku zote sikuwajua mapema?