Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Kwa mujibu wa muathirika, hicho kitu aliambiwa baada ya shughuli..... weshakoga zao sasa wamerudi bed kwa ajili ya retreat kabla ya kulala mzungu wa nne.... ndo ikamtoka hiyo...."Hivi we mwanaume, ulikuwa wapi siku zote ndo haya mambo wanifanyia leo?"......... Hahahahah

ha ha ha, kumbe maneno hayo yalikuwa ni Inquest baada ya post mortem?...
na mashaka na hayo maombolezo.

Posa ya kumwoa nani sasa?........huyu haolewi...nani atamkata babu kucha za miguuni (za mikononi nakata mwenyewe kwa meno).........nani atamnyoa babu nywele zake? Nani atamletea babu yake ugoro? Na mkongojo wa babu nani atamshikia?........subiri subiri mpaka Chiluba aniachie kijiti bana.

- Frederick Chiluba, Zambia's first democratically elected president, has died at home at the age of 68.
BBC News - Zambia's first elected President Frederick Chiluba dies -

hapo vipi?
 
...........Ama kweli sasa naamini sifa nyingine bora zitolewe kimoyo moyo duh...............


Babu haya Chiluba ashakuachia hicho kiti ukitakacho. Naomba ruhsa!!
Nani kakudanganya? Alivyo king'ang'anizi amegoma kuachia kijiti, kaondoka nacho.

Afu na wewe....... hayo manyoya yaliyoota ndo wenzako wamekudanganya umeshakua? yaani hata kuyanyoa mara moja bado, unataka kuolewa. Hivi unafikiri unayonifanyia hapa ndo utamfanyia huyo anayekuoa? Usijerudi hapa ukilia Eti yamekushinda kwa kuwa mmeo anatumia goti..... Haolewi mtu hapa....mpaka babu ajiridhishe kuwa umekua.........LOL
 
Nani kakudanganya? Alivyo king'ang'anizi amegoma kuachia kijiti, kaondoka nacho.

Afu na wewe....... hayo manyoya yaliyoota ndo wenzako wamekudanganya umeshakua? yaani hata kuyanyoa mara moja bado, unataka kuolewa. Hivi unafikiri unayonifanyia hapa ndo utamfanyia huyo anayekuoa? Usijerudi hapa ukilia Eti yamekushinda kwa kuwa mmeo anatumia goti..... Haolewi mtu hapa....mpaka babu ajiridhishe kuwa umekua.........LOL

Hah nimecheka kwa nguvu bila kupenda Babu ....eti manyoya, eti hayajanyolewa hata mara moja!! Babu umepinda kama kiko chako.

Hapo kwa kujidhihirisha ndo..... unakuwa mkaguzi wa kwanza au?
 
Aisee hii moskwito ni king'ang'anizi kama konda wa Mbagala-Kawe.

....mbu anapong'ata huweka anaethesia kiduuchu, akisharuka ndio mng'atwaji anakurupuka na kilio "kuna mbu hapa!"...
Basi taratibu bana, usije ni Dito bure! ...-"hodi ya chooni haiitikiwa karibu!..."-


Nani kakudanganya? Alivyo king'ang'anizi amegoma kuachia kijiti, kaondoka nacho.

Afu na wewe....... hayo manyoya yaliyoota ndo wenzako wamekudanganya umeshakua? yaani hata kuyanyoa mara moja bado, unataka kuolewa. Hivi unafikiri unayonifanyia hapa ndo utamfanyia huyo anayekuoa? Usijerudi hapa ukilia Eti yamekushinda kwa kuwa mmeo anatumia goti..... Haolewi mtu hapa....mpaka babu ajiridhishe kuwa umekua.........LOL

...astaghafirullah,...incest, taboo, incest...!
Kibabu kikware hiki chataka 'kula kuku na mayai yake!'
 
Hah nimecheka kwa nguvu bila kupenda Babu ....eti manyoya, eti hayajanyolewa hata mara moja!! Babu umepinda kama kiko chako.

Hapo kwa kujidhihirisha ndo..... unakuwa mkaguzi wa kwanza au?
Taratibu unaanza kukua sasa..... Na lengo ninini ujue? Nakua najua kila ulichonacho, nakuwa katika wakati mzuri wa kupanga mahari........ Utapangaje mahari wakati hujui thamani halisi ya mwolewaji?...Mahari kwa babu ni directly proportional na quality LOL

Hivi nlikuwa wapi siku zote sikukuambia hili?
 
....mbu anapong'ata huweka anaethesia kiduuchu, akisharuka ndio mng'atwaji anakurupuka na kilio "kuna mbu hapa!"...
Basi taratibu bana, usije ni Dito bure! ...-"hodi ya chooni haiitikiwa karibu!..."-




...astaghafirullah,...incest, taboo, incest...!
Kibabu kikware hiki chataka 'kula kuku na mayai yake!'

Hapo ndipo mnapokosea.....kufananisha MILA na UKWARE!

Afu hiyo anaethesia tunaitafutia dawa yake..tunaichakachua in such a way.... ukigusa tu unalambwa kibao na kuRIP.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nani kakudanganya? Alivyo king'ang'anizi amegoma kuachia kijiti, kaondoka nacho.

Afu na wewe....... hayo manyoya yaliyoota ndo wenzako wamekudanganya umeshakua? yaani hata kuyanyoa mara moja bado, unataka kuolewa. Hivi unafikiri unayonifanyia hapa ndo utamfanyia huyo anayekuoa? Usijerudi hapa ukilia Eti yamekushinda kwa kuwa mmeo anatumia goti..... Haolewi mtu hapa....mpaka babu ajiridhishe kuwa umekua.........LOL

Ha kweli umedhamiria..........so kiti bado kashikilia Chiluba!

Hapo sawa........si unajua alivyo king'ang'anizi? Kaondoka na kijiti, kwahiyo ndo mpaka Yesu atakaporudi tena......!

Babu nimecheka sana nilipogundua kuwa unazungumzia KITI yaani duh....hivi wewe kwa nini hukuwaga Obama?! Una akili sana bwana. Nidai marunyagi mbili
....mbu anapong'ata huweka anaethesia kiduuchu, akisharuka ndio mng'atwaji anakurupuka na kilio "kuna mbu hapa!"...
Basi taratibu bana, usije ni Dito bure! ...-"hodi ya chooni haiitikiwa karibu!..."-

...astaghafirullah,...incest, taboo, incest...!
Kibabu kikware hiki chataka 'kula kuku na mayai yake!'

Mbu hapa kwa kibabu tumeshindwa !! za mkeka wanafungiaga wapi?

Taratibu unaanza kukua sasa..... Na lengo ninini ujue? Nakua najua kila ulichonacho, nakuwa katika wakati mzuri wa kupanga mahari........ Utapangaje mahari wakati hujui thamani halisi ya mwolewaji?...Mahari kwa babu ni directly proportional na quality LOL

Hivi nlikuwa wapi siku zote sikukuambia hili?
 
Hapo sawa........si unajua alivyo king'ang'anizi? Kaondoka na kijiti, kwahiyo ndo mpaka Yesu atakaporudi tena......!

...aaiseee una masharti na vigezo vigumu!
nikabidhi kijukuu chako nikusaidie kulea bana...!


Taratibu unaanza kukua sasa..... Na lengo ninini ujue? Nakua najua kila ulichonacho, nakuwa katika wakati mzuri wa kupanga mahari........ Utapangaje mahari wakati hujui thamani halisi ya mwolewaji?...Mahari kwa babu ni directly proportional na quality LOL

Hivi nlikuwa wapi siku zote sikukuambia hili?

ha ha ha...! kwakweli hapo nimetoka bila kauli! ...
 
Taratibu unaanza kukua sasa..... Na lengo ninini ujue? Nakua najua kila ulichonacho, nakuwa katika wakati mzuri wa kupanga mahari........ Utapangaje mahari wakati hujui thamani halisi ya mwolewaji?...Mahari kwa babu ni directly proportional na quality LOL

Hivi nlikuwa wapi siku zote sikukuambia hili?

HAhahahah lakini kweli hivi wale wanaodaigi mahari huwa wanatumia vigezo gani kuthaminisha? Elimu na matunzo waliyompa binti yao au? Na huwa wana uhakika gani kama hviyo vitu vina manufaa kwa mwoaji?

Mbu unataka utoe mahari kiasi gani! Lol
 
Babu nimecheka sana nilipogundua kuwa unazungumzia KITI yaani duh....hivi wewe kwa nini hukuwaga Obama?! Una akili sana bwana. Nidai marunyagi mbili


Mbu hapa kwa kibabu tumeshindwa !! za mkeka wanafungiaga wapi?

Niite utakavyo...ila baada ya ukaguzi na kujiridhisha, akija Moskwito, mi nakuwa wa kwanza kuruka biblia na kuapa kwa miungu ya kwetu na kuthibitisha kuwa Mjukuu Mtiifu ni Bikira kwa kuwa hajawahi kumwona mwanaume...... hahahaha...mbu ananyonya damu isiyo na plasmodium....

Na sahau kuhusu ndoa ya mkeka...huo kwa mujibu wa bibi ambaye ni mshauri mkuu wa MEWATA, TAWLA na TAMWA, ni ubakaji. Adhabu yake ni kunyofoa kikojoleo cha mbakaji.

Hahahaha....KITI cha Chiluba hatimaye umekivumbua....kweli wa ni mkareeee......... usimwambie lakini manake hachelewi kufufuka wakati:............Ya kale yamepita; tazama yamekuwa mapya........................
 

...aaiseee una masharti na vigezo vigumu!
nikabidhi kijukuu chako nikusaidie kulea bana...!




ha ha ha...! kwakweli hapo nimetoka bila kauli! ...
Siyo utoke bila kauli tu, bali utoke na mahari yako kabisa........mjukuu wangu sijashindwa kumlea, wataka kunisaidia nini hasa nlichoshindwa miye?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
HAhahahah lakini kweli hivi wale wanaodaigi mahari huwa wanatumia vigezo gani kuthaminisha? Elimu na matunzo waliyompa binti yao au? Na huwa wana uhakika gani kama hviyo vitu vina manufaa kwa mwoaji?

Mbu unataka utoe mahari kiasi gani! Lol
Kweli hii anaethesia ya huyu mdudu ni hatari bana....yaani bado tu unataka?

Kwahiyo umeungana na mimi kwenye ishu ya kuthaminisha na kujiridhisha?
 

...hamna cha mkeka wala nini! ...vumilia mpaka
kitumbo kijitokeze,
atakuja mwenyewe kunidai mahari.

Nami ndipo nitapomuuliza...
Ulikuwa wapi siku zote?
Hilo sina mashaka, kwakuwa najua bado hajakua.... na kikijitokeza mi ndo ntakuwa wa kwanza kujua na kukupa ukakalee, tena bila mahari na hii itasababisha hii Ulikuwa wapi siku zote? nisiulizwe. Kwani kitanda kinazaa haramu?
 
HAhahahah lakini kweli hivi wale wanaodaigi mahari huwa wanatumia vigezo gani kuthaminisha? Elimu na matunzo waliyompa binti yao au? Na huwa wana uhakika gani kama hviyo vitu vina manufaa kwa mwoaji?

Mbu unataka utoe mahari kiasi gani! Lol

kwa jinsi huyu babu yako alivyo mnoko, mimi najitolea mapenzi yangu yote na uhai wangu.
Je, Upo tayari kujithamanisha kwa hilo? LOL...


Siyo utoke bila kauli tu, bali utoke na mahari yako kabisa........mjukuu wangu sijashindwa kumlea, wataka kunisaidia nini hasa nlichoshindwa miye?

e bana wee...ha ha ha...inaonekana enzi za ujana wako ulisoteshwa sana kumpata bibi mzaa chema,
Mjukuu wako kakua huyo, hutaki vitukuu wa kukuchezea sharubu?

 
Kweli hii anaethesia ya huyu mdudu ni hatari bana....yaani bado tu unataka?

Kwahiyo umeungana na mimi kwenye ishu ya kuthaminisha na kujiridhisha?
Sasa Babu si tujue pa kuanzia?? We unawezanithaminisha Laki mbili ukaona umenithaminisha wakati mwenzio Mbu yu tayari kutoa milioni huoni kama utakuwa unajidhihirishia kuwa hujalea vema mjukuu wako? na kuwa Mbu ndiye anayeijua vema thamani ya mjukuu kuliko Babu? ngoja atupe ceiling!
 
Nyie wawili hapo juu..... msifikiri nimeondoka........... am watching!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu

...hamna cha mkeka wala nini! ...vumilia mpaka kitumbo kijitokeze,
atakuja mwenyewe kunidai mahari.

Nami ndipo nitapomuuliza...
Ulikuwa wapi siku zote?

Hahahahahhh sasa Mbu..hebu ntumie via bluututhi basi hizo zivimbisha tumbo!! Maana nina shaka ntaanzafungiwa ndani nisitoke.
Hilo sina mashaka, kwakuwa najua bado hajakua.... na kikijitokeza mi ndo ntakuwa wa kwanza kujua na kukupa ukakalee, tena bila mahari na hii itasababisha hii Ulikuwa wapi siku zote? nisiulizwe. Kwani kitanda kinazaa haramu?

Hapa nimetoka kapa sijaelewa......sasa kitanda cha nani kisichozaa haramu?


kwa jinsi huyu babu yako alivyo mnoko, mimi najitolea mapenzi yangu yote na uhai wangu.
Je, Upo tayari kujithamanisha kwa hilo? LOL...




e bana wee...ha ha ha...inaonekana enzi za ujana wako ulisoteshwa sana kumpata bibi mzaa chema,
Mjukuu wako kakua huyo, hutaki vitukuu wa kukuchezea sharubu?


Sasa Mbu wataka ukose kabisa mwana na maji moto..Babu mchaga we wamwimbia nyimbo? Mwekee harufu ya pesa na sauti ya sarafu bana!!
 
muhimu kufurahia ubunifu mengine utajiletea presha bure............... unatoa asante ya nguvu....... unamwambia kesho uje na style nyingine :bange: mambo mapya kila siku na staili mpya


Nilazima uwe na roho ngumu sana la sivyo pressure lazima ikupande na kukushuka, ebu fikiria unaye miaka mitano na hujawai kuperekwa topeni alafu gafla siku moja unashangaa anakuzamisha topeni! mara unapata raha yake na kustaajabu raha ya Dunia mwisho wa hiyo raha utasema? au utasema asante sana kesho pia lete ubunifu mwingine! ahaa haa hatari sana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom