Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,876
Kwa mujibu wa muathirika, hicho kitu aliambiwa baada ya shughuli..... weshakoga zao sasa wamerudi bed kwa ajili ya retreat kabla ya kulala mzungu wa nne.... ndo ikamtoka hiyo...."Hivi we mwanaume, ulikuwa wapi siku zote ndo haya mambo wanifanyia leo?"......... Hahahahah
ha ha ha, kumbe maneno hayo yalikuwa ni Inquest baada ya post mortem?...
na mashaka na hayo maombolezo.
Posa ya kumwoa nani sasa?........huyu haolewi...nani atamkata babu kucha za miguuni (za mikononi nakata mwenyewe kwa meno).........nani atamnyoa babu nywele zake? Nani atamletea babu yake ugoro? Na mkongojo wa babu nani atamshikia?........subiri subiri mpaka Chiluba aniachie kijiti bana.
- Frederick Chiluba, Zambia's first democratically elected president, has died at home at the age of 68.
BBC News - Zambia's first elected President Frederick Chiluba dies -
hapo vipi?