Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
- Thread starter
- #181
Nimebadilika wapi? Au lugha ilikuwa gongana? Ulitaka nimwage kuku kwenye mchele mwingi?mh na wewe hujui babu uzee unamsumbua? kabadilika katikati ya thread na mimi nikampeleka anakotaka...
Hahahaha...na Chpsi dume kwa Mata pale.......(RIP)ayiiiiiiiiiiii.... kichupa changu hommie
hebu ngoja nikumbukie zile mbio za vijiti pale kwa yule mzee wa kichagga
Chauro kashakua mate....usimkuze zaidiJukwaa la wakubwa hiloooooooooooooo... Chauro mdogo wangu una ufunguo wa kuingia huko kweli?? Babu naona kwaresma iliondoka hadi na filters za grandma!!
Acha woga mamiii!Huko sikanyagi, acha wenye nguvu zao waende bwana mimi bado mtoto mdogo sana kuona.
Yes YOU ARE THE CHAMPION!............... YES YOU ARE!Kumbe i was the only one aliielewa topic...
Ha haa