Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ndo maana najivunia kuwa babu yako!! Huwezi kumlaumu Mungu kwa kukupa wajukuu wenye akili nyingi kama majani....
U r my shining star.....Lazima nitakutafuta baadaye kidogo nikupe hadithi njoo mjukuu wangu kipenzi.
Missed u and ll wajukuu.....
Mzee DC

Ah jamani Babu umentelekeza ujue....mama mwenyewe kila siku kiguru na jia mnataka niwe mjukuu wa mtaani eh?
Aksante kwa kunsifia hapa masikio yamepataje moto kwa sifa Babu?
Nakusubiri,
 
Ah jamani Babu umentelekeza ujue....mama mwenyewe kila siku kiguru na jia mnataka niwe mjukuu wa mtaani eh?
Aksante kwa kunsifia hapa masikio yamepataje moto kwa sifa Babu?
Nakusubiri,

Mbaona nimesema ukweli kama Mh Anna Abdalla alivyoshindwa kujizuia akampa shavu dogo Mnyika?

Hivi ulikuwa wapi siku zoooooooooooooe????(Hebu basi soma PM kajukuu)!!!
 
Hivi nanyi, mlikuwa wapi siku zote?
Ni raha tupu "kukimbizwa!"...


Mbu yaani hili swali wajua ni la msingi sana........... basi tu tunalichukulia juu juu. Wengine hukutana na wapenzi na kuuliza hili swali kuonyesha shukrani zao kwao kwa kuwa pamoja. Nakumbuka kuna wimbo wa Kylin na Bushoke.......
Bushoke: Mbona wanitazama, kisha wanza kulia
kama nimekukosea naomba nisamehe

Kylin: Hapana hujanikosea, ninalia kwa furaha,
Mapenzi unayo nipa, sijawahi kupataax2

Najiuliza ni kwa nini hatukujuana mapema............si ni sawa na kuuliza ulikuwa wapi siku zote??
Afu huyu Babu huyu.....ugoro wake utakuwa ni mikscha ya banghe na mirungi ya kuchoma!
 
Mbaona nimesema ukweli kama Mh Anna Abdalla alivyoshindwa kujizuia akampa shavu dogo Mnyika?

Hivi ulikuwa wapi siku zoooooooooooooe????(Hebu basi soma PM kajukuu)!!!
Hahaha babu umeniweza kweli....mwenzio si nimekimbilia PM nakodooooa mijicho hola!! sawa bana umenifanya kilembwe!
 
Hivi nanyi, mlikuwa wapi siku zote?
Ni raha tupu "kukimbizwa!"...

Yes, hapa naona umerudi kwenye mada, ngoja niangalie kama mjukuu wangu mtiifu naye kama karudi.

Mbu yaani hili swali wajua ni la msingi sana........... basi tu tunalichukulia juu juu. Wengine hukutana na wapenzi na kuuliza hili swali kuonyesha shukrani zao kwao kwa kuwa pamoja. Nakumbuka kuna wimbo wa Kylin na Bushoke.......
Bushoke: Mbona wanitazama, kisha wanza kulia
kama nimekukosea naomba nisamehe

Kylin: Hapana hujanikosea, ninalia kwa furaha,
Mapenzi unayo nipa, sijawahi kupataax2

Najiuliza ni kwa nini hatukujuana mapema............si ni sawa na kuuliza ulikuwa wapi siku zote??
Afu huyu Babu huyu.....ugoro wake utakuwa ni mikscha ya banghe na mirungi ya kuchoma!
Ewaaaaaa!
Ila hapo kwenye red wallah ntahitaji kuombwa radhi kabla sijatema mate chini..... babu akitema mate chini walahi baioloji yako itahamia usoni.........hahahaha, sipati picha wallah!...

Mlikuwa wapisiku zote....ndiyo mada inavyosema, siyo?
 
Mbaona nimesema ukweli kama Mh Anna Abdalla alivyoshindwa kujizuia akampa shavu dogo Mnyika?

Hivi ulikuwa wapi siku zoooooooooooooe????(Hebu basi soma PM kajukuu)!!!
Mzee mwenzangu unataka kuniibia kondoo aliye kwenye malisho yangu?

Hahaha babu umeniweza kweli....mwenzio si nimekimbilia PM nakodooooa mijicho hola!! sawa bana umenifanya kilembwe!
Khaa! Kumbe nlifikiri unaibiwa kumbe kamba unaikata mwenyewe kwa makusudi?

Nilikuwa wapi siku zote?
 
Kumbe bado mpo!jana niliona post moja la Teamo nikajua !!!!!!!!!!!!!! vimeungua.
Mnaongelea nini humu?
 
Kumbe bado mpo!jana niliona post moja la Teamo nikajua !!!!!!!!!!!!!! vimeungua.
Mnaongelea nini humu?
We si zamu yako ya kuosha vyombo? Kaoshe basi...
 
Na huu umbea mnaoupiga hapa una uhusiano wowote na mlipokuwa siku zote?

Hahaha Babu umbeya umeuleta mwenyewe sasa acha tukusaulie lol.......

Yes, hapa naona umerudi kwenye mada, ngoja niangalie kama mjukuu wangu mtiifu naye kama karudi.

Ewaaaaaa!
Ila hapo kwenye red wallah ntahitaji kuombwa radhi kabla sijatema mate chini..... babu akitema mate chini walahi baioloji yako itahamia usoni.........hahahaha, sipati picha wallah!...

Mlikuwa wapisiku zote....ndiyo mada inavyosema, siyo?

..........ah naomba usiteme chini babu please ah.......hiyo adhabu kubwa sana bana .......afu si unajua tunavyo'tisha'!! watoto wataota
 
Hahaha Babu umbeya umeuleta mwenyewe sasa acha tukusaulie lol.......



..........ah naomba usiteme chini babu please ah.......hiyo adhabu kubwa sana bana .......afu si unajua tunavyo'tisha'!! watoto wataota

Hahahaha...na kutisha kwenu bado watu wanazama kama wanalamba asali........... mngekuwa hamtishi wanetafuna kama bigijii walahi..... Hapo ndipo wanaume wapopruvu ushujaa wao khaa!
 
Mzee mwenzangu unataka kuniibia kondoo aliye kwenye malisho yangu?

Khaa! Kumbe nlifikiri unaibiwa kumbe kamba unaikata mwenyewe kwa makusudi?

Nilikuwa wapi siku zote?
Yaani Babu mie ni KONDOO!!!:A S cry:
 
muhimu kufurahia ubunifu mengine utajiletea presha bure............... unatoa asante ya nguvu....... unamwambia kesho uje na style nyingine :bange: mambo mapya kila siku na staili mpya

big asante then na wewe unatafta ubunifu zaidi umpagawize na yeye afu usikie atasemane....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom