Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Unauliza nilikua wapi hali nilikua nafanya usafi rumuni kwako...lol.. Na uliponiona ulisema namfaa mjukuu what went wrong??
Baada ya kudadavua na kupembenua, si nikagundua utanibemendea wajukuu zangu? Kisa cha kuwa shugamami wakati babu mwenyewe nipo ni nini?
 
Baada ya kudadavua na kupembenua, si nikagundua utanibemendea wajukuu zangu? Kisa cha kuwa shugamami wakati babu mwenyewe nipo ni nini?


Huo mtihani babu, mjukuu tumefiana na ukilazimisha nahisi kabisaa undugu kuharibiwa hapa!! Bora uachie hiio roho maana kama tambiko tayari ulinifanyia .....lool
 
Aseme tu palepale ndio tuelewane sio asubirie utamu wangu nimempa ndio anaibuka na maneno yake
 
Huo mtihani babu, mjukuu tumefiana na ukilazimisha nahisi kabisaa undugu kuharibiwa hapa!! Bora uachie hiio roho maana kama tambiko tayari ulinifanyia .....lool
Ahaaaa...Orayt, otayt, orayt

Never get angry. Never make a threat. Reason with BABU
 
Aseme tu palepale ndio tuelewane sio asubirie utamu wangu nimempa ndio anaibuka na maneno yake
Na upande mwingine wa shilingi.......ikiwa yeye ndo kakukoleza na maufundi mapya? Utamwambia ahsante au utajiuliza kulikoni? Assume ni mpenzi wako wa zaidi ya miaka mitano, na hajawahi kukufanyia hayo mambio...
 
Hii habari inahusiana na nini jamani....
Narudi kuosha vyombo, nitarejea...
Hivi na wewe ulikuwa wapi siku zote?...Anyway....

Whiskey, Vodka, Beer, Cigarettes, Women, Money etc, etc... are a man's worst enemies, and the man who runs away from his enemies is a COWARD.
 
Ahaaaa...Orayt, otayt, orayt

Never get angry. Never make a threat. Reason with BABU


Asprin(babu to be) checki nilivyo piga goti kwa adabu na heshima,
Nashukuru saana kwa mabusaraa yako - hivyo kwa heshima na ruhusa toka kwako NAAGA..lol
 
Ule ushamba bwana, mchizi alikuwa hamfikisi demu kileleni, hovyo sana. Mkuu Asprin umetupa thread ya ukweli, hebu chukua thanks yangu hapo juu!
 
Hivi na wewe ulikuwa wapi siku zote?...Anyway....

Whiskey, Vodka, Beer, Cigarettes, Women, Money etc, etc... are a man's worst enemies, and the man who runs away from his enemies is a COWARD.

Babu inabidi nikupeleke Sisibiaratii (CCBRT) wakakubadilishie mawani, maana naona yameshaexpaya....
kila siku niko hapa, nashangaa hunioni? au nimekuwa giza? au hiyo quote hapo juu inakuhusu?
 
Asalaaam aleikhum waungwana...................
Huyu BABU bado tu yupo Kaunta ya juu?
Haya.................ntarudi baadae..............
 
Mi sijui nimemsomaje babu au ndio nazeeka kumzidi yeye, sasa alivyoulizwa ulikua wapi na yeye akaendeleza ufundi wake haramu? kwa nini asishtuke? au na yeye ni wale wale lol
 
Hujanijibu vizuri.... sasa kama ndo ulikuwa unakuwa, haya ulijifunzia wapi mpaka mjukuu mkwe wangu aje alalame kwangu?.... Manake yeye alitegemea aambiwe "staki maupuuzi yako" badala yake ukamwambia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?

Babu anarudi kitandani kulala, Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

MLIKUWA WAPI SIKU ZOTE JAMANI JAMANI JAMANI?

Babu huyo aliyemwambia ulikuwa wapi siku zote lazima aliitoa kauli hii akiwa katikati ya mhemko na hakumaanisha kuuliza hivyo labda kama aliliuliza baada ya starehe.......... but stahili yake ilikuwa aseme aksante mpenzi wangu, tena ile ya unyenyekevu na si ya kiafande ile ya aksante huku teyari ashafika mlango wa bafuni!

..............na kwani kwa kuuliza we unapotaka kumpa mwenzi chakula kipya kizuri unaanzaje?
1. Je unampa taarifa kwanza kuwa leo nataka ule chakula hiki?- hapa kama ni mwenzangu na mie naweza kwelijikuta nakwambia ctaki maupuuzi yako/ au umejifunza wapi kwa ukali.
2. Unaanza kwanza kumpa ile starter alozoea ikisha katikati ya mlo unambadilishia na kumpa mlo ulioandaa- hapa hata nguvu za kuuliza sidhani kama zitakuwepo, tafata tu amri, kijiko kamata hivi, ntakamata; uma uweke pembeni, ntatii na kama kutakuwa na kuuliza ulikuwa wapi siku zote basi lazima itatanguliwa na aksante ikisha itaulizwa kwa nia njema na si kukukatisha tamaa.............nani aopenda mlo mzuri?
 
Asprin(babu to be) checki nilivyo piga goti kwa adabu na heshima,
Nashukuru saana kwa mabusaraa yako - hivyo kwa heshima na ruhusa toka kwako NAAGA..lol
Wasalimie huko uendako waambie babu anawauliza, walikuwa wapi siku zote?

Ule ushamba bwana, mchizi alikuwa hamfikisi demu kileleni, hovyo sana. Mkuu Asprin umetupa thread ya ukweli, hebu chukua thanks yangu hapo juu!
Nami navyopenda masenksi....mbichwa umevimba huo......! Kwahiyo demu kafikishwa mlimani badala ya kusema senksi anauliza jama lilikuwa wapi> LOL

Asalaaam aleikhum waungwana...................
Huyu BABU bado tu yupo Kaunta ya juu?
Haya.................ntarudi baadae..............
Nipo kitandani naperuzi mauzoefu ya wajukuu watiifu, wakorofi, wajanja, wambea, watukutu, wabishi na waliopotea na hatimaye kurudi kundini
 
hebu njoo kwanza kwa maskini jeuri afu ndo tuende kule kwanza jiandae kunibembeleza nna kahasira flani hivi.....
Halafu na wewe mbea LOL..... nimesoma katikati ya mistari lakini....... hako kahasira usijali, ntakashusha tu!
 
Back
Top Bottom