Ulikuwa unamjua Linda Bezuidenhout?

Waswahili bwana, ndio maana wabeba box wanakuja TZ kuwatambia kwa porojo na wakati wanasota tu majuu. Eti anamiliki duka la nguo Marekani, uliza kwanza kuhusu hayo maduka ya nguo ya Wabongo. Labda uwe hujaishi Marekani ndio utatetemekea kama wewe.

Uwezo wangu nadhani wapo wanaonijua humu watakusaidia kukueleza. Ila kwa kifupi, kama unamuona Linda bonge la tajiri, basi mimi nione Kama Mengi vile, kwa sababu huyo Linda wala hanikaribii.

Sipendi tabia za kujisifu mitandaoni, ila ni vema ukafahamu kuwa, nina ajira za watu 82 (sio vibarua) ktk miradi yangu ya ndani na nje ya TZ. Nimefunga mjadala wangu.

Ova.

Wenye uwezo kama huo huwa hawajifaragusi bali fact huongea zenyewe, kujifananisha tu na Mengi ni ishara ya ufukara.

Weka bank statement yako hapa tumalize ubishi.

Mjadala bado mbichi ndio kwanza unaanza, unataka kujuwa nchi nilizofika?

Aliyekwambia Linda ni tajiri ni nani? Unatumia methodology ipi kujuwa uwezo wa kifedha na assets za Linda na za kwako?

NSE na NASDAQ una hisa ngapi? Unaijuwa hata Wall street inafananaje?
 
Waswahili bwana, ndio maana wabeba box wanakuja TZ kuwatambia kwa porojo na wakati wanasota tu majuu. Eti anamiliki duka la nguo Marekani, uliza kwanza kuhusu hayo maduka ya nguo ya Wabongo. Labda uwe hujaishi Marekani ndio utatetemekea kama wewe.

Uwezo wangu nadhani wapo wanaonijua humu watakusaidia kukueleza. Ila kwa kifupi, kama unamuona Linda bonge la tajiri, basi mimi nione Kama Mengi vile, kwa sababu huyo Linda wala hanikaribii.

Sipendi tabia za kujisifu mitandaoni, ila ni vema ukafahamu kuwa, nina ajira za watu 82 (sio vibarua) ktk miradi yangu ya ndani na nje ya TZ. Nimefunga mjadala wangu.

Ova.

Tuajiri na wengine basii,toa na vigezo hhhaaaa@warumii njoo kuna tenda huku
 
Haki ya mungu tena naomba msaada kwenye tuta! Yaani kila nikijaribu kutamka hilo jina tangu enzi za Rich, nashindwa! Hivi ni Bezu...what? Anayeweza kuweka pronoanciation ya hilo jina?! Dinazarde, kweli ni binamy yako? Nisaidie basi hilo jina manake mnh!

we endelea tu kufupisha hivyohivyo, usitake ugomvi na ulimi wako
 
Last edited by a moderator:
Dada ana mguu! Mshallah! Kweli nimemini huyu mzaramo! Ni shidaaaa, ndio anadai huyo mwanae mkubwa ni mtoto wa makongoro nyerere???
 
Huyu dada namfahamu toka enzi hizo Kinondoni..ni mhangaikaji wa life..kwa kifupi yuko vizuri na hana roho ya kwanini..huwaga anafanya yake....ligi yake ni la liga...huwezi mlinganisha na muke ya muzungu ambae yuko ligi ya vodacom na kina lamba lamba Azam...LB uko juu mama....
 
Huyu dada namfahamu toka enzi hizo Kinondoni..ni mhangaikaji wa life..kwa kifupi yuko vizuri na hana roho ya kwanini..huwaga anafanya yake....ligi yake ni la liga...huwezi mlinganisha na muke ya muzungu ambae yuko ligi ya vodacom na kina lamba lamba Azam...LB uko juu mama....

Huwezi fananisha usiku na mchana hata siku moja
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom