Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,784
- 90,547
Waswahili bwana, ndio maana wabeba box wanakuja TZ kuwatambia kwa porojo na wakati wanasota tu majuu. Eti anamiliki duka la nguo Marekani, uliza kwanza kuhusu hayo maduka ya nguo ya Wabongo. Labda uwe hujaishi Marekani ndio utatetemekea kama wewe.
Uwezo wangu nadhani wapo wanaonijua humu watakusaidia kukueleza. Ila kwa kifupi, kama unamuona Linda bonge la tajiri, basi mimi nione Kama Mengi vile, kwa sababu huyo Linda wala hanikaribii.
Sipendi tabia za kujisifu mitandaoni, ila ni vema ukafahamu kuwa, nina ajira za watu 82 (sio vibarua) ktk miradi yangu ya ndani na nje ya TZ. Nimefunga mjadala wangu.
Ova.
Wenye uwezo kama huo huwa hawajifaragusi bali fact huongea zenyewe, kujifananisha tu na Mengi ni ishara ya ufukara.
Weka bank statement yako hapa tumalize ubishi.
Mjadala bado mbichi ndio kwanza unaanza, unataka kujuwa nchi nilizofika?
Aliyekwambia Linda ni tajiri ni nani? Unatumia methodology ipi kujuwa uwezo wa kifedha na assets za Linda na za kwako?
NSE na NASDAQ una hisa ngapi? Unaijuwa hata Wall street inafananaje?