Ulikuwa unamjua Linda Bezuidenhout?

Mimi Linda jinsi jinsi nivyompenda aki ni cheat mimi ndio ntamwomba msamaha

Halafu huyo mumewe naona anazeeka halafu linda yuko vile vile

How come?
 
Sema anajua kujitunza vizuri na kuulinda urembo wake, lakini wala hana hela za hivyo huyu.
Ova.

Mwenzako anamiliki duka la nguo Marekani na kampuni ya mitindo. Waswahili hata Manji mtasema hana pesa. Kama kujitunza ni rahisi na burebure anza kumtunza mkeo akifikisha miaka 40 mpige picha utapata jibu.
 
Matola

Kamsemo kake hako ni karahisi tu hajuii huyooo,kua matunzo ni gharama
 
Last edited by a moderator:
Matola

Kamsemo kake hako ni karahisi tu hajuii huyooo,kua matunzo ni gharama

Sisi wenyewe wanaume tu ukipigwa na njaa na pesa huna unapauka kuanzia mwili mpaka nguo unazovaa.

BM salon minimum kila weekend lazima utumie 25,000/= ili nywele na sura yako iwe inang'ara siku zote, sasa kama umepigika utathubutu kukanyaga pale?

Utaishia kwa vinyozi wa chini ya mwembe unyowe kwa buku mbili scrub utakuwa unaisikia redioni tu.
 
Last edited by a moderator:
Mwenzako anamiliki duka la nguo Marekani na kampuni ya mitindo. Waswahili hata Manji mtasema hana pesa. Kama kujitunza ni rahisi na burebure anza kumtunza mkeo akifikisha miaka 40 mpige picha utapata jibu.

Waswahili bwana, ndio maana wabeba box wanakuja TZ kuwatambia kwa porojo na wakati wanasota tu majuu. Eti anamiliki duka la nguo Marekani, uliza kwanza kuhusu hayo maduka ya nguo ya Wabongo. Labda uwe hujaishi Marekani ndio utatetemekea kama wewe.

Uwezo wangu nadhani wapo wanaonijua humu watakusaidia kukueleza. Ila kwa kifupi, kama unamuona Linda bonge la tajiri, basi mimi nione Kama Mengi vile, kwa sababu huyo Linda wala hanikaribii.

Sipendi tabia za kujisifu mitandaoni, ila ni vema ukafahamu kuwa, nina ajira za watu 82 (sio vibarua) ktk miradi yangu ya ndani na nje ya TZ. Nimefunga mjadala wangu.

Ova.
 
Back
Top Bottom