annito
JF-Expert Member
- Aug 13, 2013
- 887
- 458
Mwenzako anamiliki duka la nguo Marekani na kampuni ya mitindo. Waswahili hata Manji mtasema hana pesa. Kama kujitunza ni rahisi na burebure anza kumtunza mkeo akifikisha miaka 40 mpige picha utapata jibu.
Hahahahaha hiyo picha abaki nayo tafadhali, asije kutuharibia siku