Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,606
- 93,326
Nani anapona hapo mkuu
Mr Mali Kimesera, Primary school IST
Nani anapona hapo mkuu
Mr Mali Kimesera, Primary school IST
Huyu jamaa bado anaee!
Mr Mali Kimesera, Primary school IST
Ndio Mume wake wapo wote Atlanta.
Huyo mumewe na yeye ni maarufu?
Ingia LinkedIn search jina lake kule, yeye ni maarufu kwa wanataaluma siyo kwenye viblog uchwara.
Baba yake Mzee Kimesera ndio walioanzisha Chadema na mpaka sasa yupo baraza la wazee.
Kwani huyu jamaa kwao bongo???
Sasa sijui nikujibu nini? Baba yake ni Mzee kimesera kwao ni kiteto kwa Dar kwao Masaki, mama yake ni mzungu.
Linda pia amechanganya mama yake mzaramo baba yake mzungu.
Huyu jamaa kwa nini asiingir kwenye mambo ya siasa..kiasha iwe kila siku anasafiri halafu huku nyuma.... maaana naona naye hataki kuacha wala ku upgrade ili atuachie sisi huyo Linda.
Maaana katika hali ya kawaida niko tayari kusamehe mshahara wamgu wa mwezi na marupurupu yote nimpe Linda
Memgine potelea mbali
Huyu jamaa kwa nini asiingir kwenye mambo ya siasa..kiasha iwe kila siku anasafiri halafu huku nyuma.... maaana naona naye hataki kuacha wala ku upgrade ili atuachie sisi huyo Linda.
Maaana katika hali ya kawaida niko tayari kusamehe mshahara wamgu wa mwezi na marupurupu yote nimpe Linda
Memgine potelea mbali
Mbona mume wake anasafiri sana duniani? Kama unataka kumlia timing nenda Atlanta kwenye duka lake la Milano.
Wako vizuri kiuchumii eee,tupege data basii warumi njoo uone dada mrembo huku haendagi choonk kabisaaa
Wako vizuri kiuchumii eee,tupege data basii warumi njoo uone dada mrembo huku haendagi choonk kabisaaa
Huyu bint tokea zamani ana 18 tu? Halaf et ni baamed
Lakini hamfikii mama yake uzurii
Toka zamani lini? Mbona hapa bongo nikiingiaga kunywa kwenye bar za Kilimanjaro hotel na serena wahudumu ni hao hao warembo?
Hata wewe kama una hotel ina bar ukiweza kunipa maslahi mazuri nitakubali uniajiri.
Hivi kazi halali ambazo wao Wamarekani wenyewe wanafanya na kuuza kumaa nini bora?