Ulifanyaje kukabiliana na maumivu ya mapenzi?

Ulifanyaje kukabiliana na maumivu ya mapenzi?

Mimi namsahau kawaida tu..naendelea na ishu nyingine kama kawaida...(ila kumkumbuka siku 1-1 kupo)
 
uliwahi kuumizwa....?
Mkuu eddy ni hatariiii,nikikusimulia utalia huo mkasa wangu.
Nililazwa na kupigwa drip sita wakati sina ugonjwa wowote.
Lakini ulifika muda nikaona upuuzi tu.Nikasonga na maisha yng na nimesimama ingawa anapiga sn simu.
AMINI INAWEZEKANA KABISA KUSAHAU HATA KAMA ULIKUWA UNAMPENDA KIASI GANI.
 
Mkuu eddy ni hatariiii,nikikusimulia utalia huo mkasa wangu.
Nililazwa na kupigwa drip sita wakati sina ugonjwa wowote.
Lakini ulifika muda nikaona upuuzi tu.Nikasonga na maisha yng na nimesimama ingawa anapiga sn simu.
AMINI INAWEZEKANA KABISA KUSAHAU HATA KAMA ULIKUWA UNAMPENDA KIASI GANI.
tusimulie kidogo mkuu tupate somo...naamini umepona kabisa...
 
tusimulie kidogo mkuu tupate somo...naamini umepona kabisa...
Haswaa nimepona.
Kwanza ni kukubaliana na matokeo.
Pili, me nilifuta access zote asinipate hewana wala kuniona japo tupo mbalimbali.
Tatu, nilijenga mtazamo na dhana mpya kuwa kuna wenzake waliomzidi ktk mambo mengi na kwamba nitakutana nao.
Pia niliwaza,huwezi jua Mungu amekuepusha na nini.
Haya ni baadhi
 
Back
Top Bottom