Ulifanyaje kukabiliana na maumivu ya mapenzi?

Ulifanyaje kukabiliana na maumivu ya mapenzi?

miezi mitatu sasa tangu niachane na niliyedhani atakua mume wangu! mwanzoni nilihisi sitaweza kuzoea kabisa lakini namshukuru Mungu kadri siku zinavyokwenda nazidi kuzoea. Kuachwa aisee kusikie tu kwa jirani ila siku yakikukuta utaona dunia chungu, Ila mwisho wa siku maisha lazima yaendelee. waache waoane ya chege ndio imekua ikinifariji
Pole nipo mimi ntakupenda na kukuheshimu
 
Nilikunywa soda asiyoipenda na biscuits asiyoipenda pia ili nijipoze machungu
 
Mkuu songa mbele... mm yalinkuta kama yako ila mm nimeweza kupotezea na kuendelea na maisha...
Nilikuwa nae kwa miaka saba tangu 2009... ila ilipofka 2013 mwishon akapata kazi mkoani mimi nikiwa bado hapa mjini...
Mapenz yaliendelea lakini yakaanza ukakasi wa dharau na u busy usio na maana.. tukaloweka chini... tukaongea akaelewa kosa akaniomba msamaha nikamsamehe..
Ila tabia ni ngumu kubadilika... akawa msiri sana wa vitu vyake hata simu yake bila mimi kumuomba unaona kabisa anaificha au kuizima tukiwa pamoja.
Ilipofika 2016 nikatangaza kumchumbia, yani mahari na kila kitu... hapo ndo mwenzagu akaniambia nisijisumbue maana muda mrefu aliniomba tufunge ndoa mm sikuwa tayar na yy tayar kashampata mwengine hukohuko mkoan na tayar nyumban kwao kashawaambia kuwa ameshaachana na mm na ana mtu mwengine.
Kwa kweli niliumia sana plus wanasema hakuna mwanaume asiye na mchepuko...ila mimi sikuwa hivyo..
Hivyo nikavumilia ingawa nilipata mshtuko sana maana nilijiandaa kweli kweli nikitegemea mwez wa tatu 2017 namweka ndani... maana kipind namwambia kuhusu engangement tayar nilishanunua jiwe la tanzanite kwa ajili ya pete yake...

Ila now niko poa namshukuru Mungu, sala, mazoezi na u busy wa kazi vimenipa tena amani... hivyo ipo siku utapata akupendae kwa dhati na huyo utamsahau kabisa...
"There is no a song which doesnt have a dancer"
 
Mkuu songa mbele... mm yalinkuta kama yako ila mm nimeweza kupotezea na kuendelea na maisha...
Nilikuwa nae kwa miaka saba tangu 2009... ila ilipofka 2013 mwishon akapata kazi mkoani mimi nikiwa bado hapa mjini...
Mapenz yaliendelea lakini yakaanza ukakasi wa dharau na u busy usio na maana.. tukaloweka chini... tukaongea akaelewa kosa akaniomba msamaha nikamsamehe..
Ila tabia ni ngumu kubadilika... akawa msiri sana wa vitu vyake hata simu yake bila mimi kumuomba unaona kabisa anaificha au kuizima tukiwa pamoja.
Ilipofika 2016 nikatangaza kumchumbia, yani mahari na kila kitu... hapo ndo mwenzagu akaniambia nisijisumbue maana muda mrefu aliniomba tufunge ndoa mm sikuwa tayar na yy tayar kashampata mwengine hukohuko mkoan na tayar nyumban kwao kashawaambia kuwa ameshaachana na mm na ana mtu mwengine.
Kwa kweli niliumia sana plus wanasema hakuna mwanaume asiye na mchepuko...ila mimi sikuwa hivyo..
Hivyo nikavumilia ingawa nilipata mshtuko sana maana nilijiandaa kweli kweli nikitegemea mwez wa tatu 2017 namweka ndani... maana kipind namwambia kuhusu engangement tayar nilishanunua jiwe la tanzanite kwa ajili ya pete yake...

Ila now niko poa namshukuru Mungu, sala, mazoezi na u busy wa kazi vimenipa tena amani... hivyo ipo siku utapata akupendae kwa dhati na huyo utamsahau kabisa...
"There is no a song which doesnt have a dancer"
POLE SANA MKUU....hope umepata mwingine..now
 
Mkuu songa mbele... mm yalinkuta kama yako ila mm nimeweza kupotezea na kuendelea na maisha...
Nilikuwa nae kwa miaka saba tangu 2009... ila ilipofka 2013 mwishon akapata kazi mkoani mimi nikiwa bado hapa mjini...
Mapenz yaliendelea lakini yakaanza ukakasi wa dharau na u busy usio na maana.. tukaloweka chini... tukaongea akaelewa kosa akaniomba msamaha nikamsamehe..
Ila tabia ni ngumu kubadilika... akawa msiri sana wa vitu vyake hata simu yake bila mimi kumuomba unaona kabisa anaificha au kuizima tukiwa pamoja.
Ilipofika 2016 nikatangaza kumchumbia, yani mahari na kila kitu... hapo ndo mwenzagu akaniambia nisijisumbue maana muda mrefu aliniomba tufunge ndoa mm sikuwa tayar na yy tayar kashampata mwengine hukohuko mkoan na tayar nyumban kwao kashawaambia kuwa ameshaachana na mm na ana mtu mwengine.
Kwa kweli niliumia sana plus wanasema hakuna mwanaume asiye na mchepuko...ila mimi sikuwa hivyo..
Hivyo nikavumilia ingawa nilipata mshtuko sana maana nilijiandaa kweli kweli nikitegemea mwez wa tatu 2017 namweka ndani... maana kipind namwambia kuhusu engangement tayar nilishanunua jiwe la tanzanite kwa ajili ya pete yake...

Ila now niko poa namshukuru Mungu, sala, mazoezi na u busy wa kazi vimenipa tena amani... hivyo ipo siku utapata akupendae kwa dhati na huyo utamsahau kabisa...
"There is no a song which doesnt have a dancer"
Jamani pole sana pole mno..
 
Mkuu songa mbele... mm yalinkuta kama yako ila mm nimeweza kupotezea na kuendelea na maisha...
Nilikuwa nae kwa miaka saba tangu 2009... ila ilipofka 2013 mwishon akapata kazi mkoani mimi nikiwa bado hapa mjini...
Mapenz yaliendelea lakini yakaanza ukakasi wa dharau na u busy usio na maana.. tukaloweka chini... tukaongea akaelewa kosa akaniomba msamaha nikamsamehe..
Ila tabia ni ngumu kubadilika... akawa msiri sana wa vitu vyake hata simu yake bila mimi kumuomba unaona kabisa anaificha au kuizima tukiwa pamoja.
Ilipofika 2016 nikatangaza kumchumbia, yani mahari na kila kitu... hapo ndo mwenzagu akaniambia nisijisumbue maana muda mrefu aliniomba tufunge ndoa mm sikuwa tayar na yy tayar kashampata mwengine hukohuko mkoan na tayar nyumban kwao kashawaambia kuwa ameshaachana na mm na ana mtu mwengine.
Kwa kweli niliumia sana plus wanasema hakuna mwanaume asiye na mchepuko...ila mimi sikuwa hivyo..
Hivyo nikavumilia ingawa nilipata mshtuko sana maana nilijiandaa kweli kweli nikitegemea mwez wa tatu 2017 namweka ndani... maana kipind namwambia kuhusu engangement tayar nilishanunua jiwe la tanzanite kwa ajili ya pete yake...

Ila now niko poa namshukuru Mungu, sala, mazoezi na u busy wa kazi vimenipa tena amani... hivyo ipo siku utapata akupendae kwa dhati na huyo utamsahau kabisa...
"There is no a song which doesnt have a dancer"
Ndo ivyo kaka lakin huwa hawasahau hao atakukumbuka hata baadae maana malipo ni hapahapa duniani na aliye kusaliti leo kesho yeye atasalitiwa tu na ndo atakapo gundua maumivu ya mapenzi.
 
Hizi mambo we acho tu,,niko shule natafuta yale magazeti yenye vichwa"mgangA anaeweza kumrudisha mpenzi aliepotea"
Ila nilitumia mbinu za kijasusi,nkajenga urafiki nae kwa speed ya ajabu,si unajua tena muwa ukiugeuza mkongojo utaula tu,,afu nikapita hivi kwa speed ya jet,,,
 
Back
Top Bottom