yingamale
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 223
- 222
miezi mitatu sasa tangu niachane na niliyedhani atakua mume wangu! mwanzoni nilihisi sitaweza kuzoea kabisa lakini namshukuru Mungu kadri siku zinavyokwenda nazidi kuzoea. Kuachwa aisee kusikie tu kwa jirani ila siku yakikukuta utaona dunia chungu, Ila mwisho wa siku maisha lazima yaendelee. waache waoane ya chege ndio imekua ikinifariji