mike2k
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 1,458
- 3,127
Siku hiyo kulikua na wageni shuleni japo sikumbuki ni nani alikuja nikatumwa na mwalimu kupeleka mifuko ya kutunzia mahindi kwa mwalimu aliekua akiishi mbali kidogo na shule nikasingizia tumbo linauma lakini nikalazimishwa kupeleka nikajawa na hasira wakati naondoka nikawaza nifanyeje ili nimkomoe huyu mwalimu?
Kuna nyumba za walimu zilikuwa tayari zimekamilika wanajiaandaa kuhamia nikajisemea kimoyomoyo (kwa dharau nakunya kwenye hili jengo) ni moja wapo ya zile nyumba zilizo kamilika nikaingia ndani nikatafuta chumba chenye giza nikanya humo ndani nikamaliza sasa wakati najiandaa kutoka nje nikasikia sauti za watu kama wanakuja vile nikatembea harakaharaka mda huo nikiwa nafunga mkanda wakati nafika sebleni nikakutana na kundi la watu wenye vitambi na suti zao wakiwa na baadhi ya walimu wa shuleni kwetu akiwemo na yule mwalimu alienituma kumbe ni wale wageni walikuja kukagua yale majengo yaliyokamilika yule mwalimu akaniuliza unafanya nini humu ndani nikakosa majibu akanambia nisubiri hapo nje wale watu kuingia nilikotoka wakakutana na mzigo wa hatari walichoulizana sikujua tena safari ya kupeleka mifuko ikaishia hapo nikaletewa wanafunzi wanne wakubwa ili wanilinde nikawa chini ya ulinzi mpaka wageni walipoondoka mda huo nilikuwa nimefungwa mikono kwa nyuma ili nisikimbie wageni walipoondoka mda kidogo kengele ikagongwa wanafunzi wote wakawekwa assemble nikaletwa mbele ya wanafunzi woote nikasomewa mashitaka yangu mbele ya shule nzima nikashikwa miguu na mikono nikaning'inizwa nikala fimbo zisizo na idadi kisha nikaambiwa nisafishe matundu 10 ya choo peke yangu na maji yalikua ya shida kweli mm nikakaa huko chooni toka saa6 mchana mpaka saa 10 jioni bila kusafisha hata tundu1 nikamtuma rafiki yangu akaniletea daftari zangu nikapita hukohuko nikaenda nyumbani kesho yake sikwenda shule siku iliofuata nikaenda ilipofika mda nikaletwa mbele ya wanafunzi woote nikasomewa mashitaka yangu mbele ya shule nzima nikashikwa miguu na mikono nikaning'inizwa nikala fimbo zisizo na idadi kisha nikaambiwa nisafishe matundu 10 ya choo peke yangu na maji yalikua ya shida kweli mm nikakaa huko chooni hadi jion bila kufanya usafi wowote nikamtuma rafiki yangu john akaniletea bag nikaenda home kesho yake sikwenda shule after two days nikaenda nikijua wamesahau ilipofika mda wa kuingia darasani kengele ikagongwa tukafolenishwa mwalimu akaja mbele akatoa maelekezo ya kila siku aliponiona akanita nipite mbele mimi nikachomoka mbio nikafukuzwa na shule nzima aseee hizo mbio sijui nilizitoa wapi siku hiyo nilikimbia zaidi ya mwizi nipofika mbali nikaokota mawe nikaendelea kukimbia nyuma yangu waliokuwa bado wananifukuza walikua watatu nikasimama gafla mmoja aliekua mbele akanikaribia nikampiga jiwe la kichwa nikaendelea kukimbia sikuona mtu tena nyuma yangu kumbe yule niliempiga jiwe aliumia sana hadi kudondoka chini baada ya kutokwa na damu nyingi lakini sikuweza kujua kilichoendelea kwa mda huo nilienda mbali na maeneo yale nikakaa hadi mda wa kutawanyika mchana kwenda kula nikaenda nyumbani sikurudi shule mchana daaaah,
Jioni wanafunzi wenzangu ambao ni majirani wakaleta habari hadi home asubuhi nikamundishwa kupelekwa shuleni kufika shuleni walimu wakanikataa nikarudishwa nyumbani wazazi wakabembeleza lakini wapi nikakaa nyumbani wiki2 ndipo nikaruhusiwa kurudi shule hapo ilikua 2004 shule ya msingi.
Kuna nyumba za walimu zilikuwa tayari zimekamilika wanajiaandaa kuhamia nikajisemea kimoyomoyo (kwa dharau nakunya kwenye hili jengo) ni moja wapo ya zile nyumba zilizo kamilika nikaingia ndani nikatafuta chumba chenye giza nikanya humo ndani nikamaliza sasa wakati najiandaa kutoka nje nikasikia sauti za watu kama wanakuja vile nikatembea harakaharaka mda huo nikiwa nafunga mkanda wakati nafika sebleni nikakutana na kundi la watu wenye vitambi na suti zao wakiwa na baadhi ya walimu wa shuleni kwetu akiwemo na yule mwalimu alienituma kumbe ni wale wageni walikuja kukagua yale majengo yaliyokamilika yule mwalimu akaniuliza unafanya nini humu ndani nikakosa majibu akanambia nisubiri hapo nje wale watu kuingia nilikotoka wakakutana na mzigo wa hatari walichoulizana sikujua tena safari ya kupeleka mifuko ikaishia hapo nikaletewa wanafunzi wanne wakubwa ili wanilinde nikawa chini ya ulinzi mpaka wageni walipoondoka mda huo nilikuwa nimefungwa mikono kwa nyuma ili nisikimbie wageni walipoondoka mda kidogo kengele ikagongwa wanafunzi wote wakawekwa assemble nikaletwa mbele ya wanafunzi woote nikasomewa mashitaka yangu mbele ya shule nzima nikashikwa miguu na mikono nikaning'inizwa nikala fimbo zisizo na idadi kisha nikaambiwa nisafishe matundu 10 ya choo peke yangu na maji yalikua ya shida kweli mm nikakaa huko chooni toka saa6 mchana mpaka saa 10 jioni bila kusafisha hata tundu1 nikamtuma rafiki yangu akaniletea daftari zangu nikapita hukohuko nikaenda nyumbani kesho yake sikwenda shule siku iliofuata nikaenda ilipofika mda nikaletwa mbele ya wanafunzi woote nikasomewa mashitaka yangu mbele ya shule nzima nikashikwa miguu na mikono nikaning'inizwa nikala fimbo zisizo na idadi kisha nikaambiwa nisafishe matundu 10 ya choo peke yangu na maji yalikua ya shida kweli mm nikakaa huko chooni hadi jion bila kufanya usafi wowote nikamtuma rafiki yangu john akaniletea bag nikaenda home kesho yake sikwenda shule after two days nikaenda nikijua wamesahau ilipofika mda wa kuingia darasani kengele ikagongwa tukafolenishwa mwalimu akaja mbele akatoa maelekezo ya kila siku aliponiona akanita nipite mbele mimi nikachomoka mbio nikafukuzwa na shule nzima aseee hizo mbio sijui nilizitoa wapi siku hiyo nilikimbia zaidi ya mwizi nipofika mbali nikaokota mawe nikaendelea kukimbia nyuma yangu waliokuwa bado wananifukuza walikua watatu nikasimama gafla mmoja aliekua mbele akanikaribia nikampiga jiwe la kichwa nikaendelea kukimbia sikuona mtu tena nyuma yangu kumbe yule niliempiga jiwe aliumia sana hadi kudondoka chini baada ya kutokwa na damu nyingi lakini sikuweza kujua kilichoendelea kwa mda huo nilienda mbali na maeneo yale nikakaa hadi mda wa kutawanyika mchana kwenda kula nikaenda nyumbani sikurudi shule mchana daaaah,
Jioni wanafunzi wenzangu ambao ni majirani wakaleta habari hadi home asubuhi nikamundishwa kupelekwa shuleni kufika shuleni walimu wakanikataa nikarudishwa nyumbani wazazi wakabembeleza lakini wapi nikakaa nyumbani wiki2 ndipo nikaruhusiwa kurudi shule hapo ilikua 2004 shule ya msingi.