Baaada ya kununua kiwanja nilijenga kwa awamu Tatu na nimerumia almost miaka miwili na nusu
1)awamu ya kwanza nilitafuta milioni 10 nikanunua mifuko ya sementi, tofali,nondo, nikalipa fundi, jenga ukuta na kuchimba mashimo ya vyoo
2) awamu ya pili nilikaa miezi kama 12 nikapasahau pakaota mpaka majani nikajichanga milioni 12 nikapaua nyumba, bandaling kabisa, chonga madrisha ya gril, milango nilichongea kijjn coz mbao ni rahisi nilipelekea fundi sampo ya mlango, grill ya mbele na nyuma na vyoo nikanunua kabisa, nikaomba umeme,nikavuta na maji,
3) awamu ya tatu nikajipanga na 2mill nika pinga plazta vyumba viwili nikatengeneza chumba changu nikahamia
4) awamu ya nne natengeneza chumba kimoja kimoja mana siulizwi na mtu kwanza naishi kwangu na dilisha zangu za wavu nikipata ka laki nanunulia tiles mbona sina mwaka nyumba itaisha