Ule mradi wa Bashe umeishia wapi?

Ule mradi wa Bashe umeishia wapi?

1000316427.jpg
 
Nia ilikuwa safi tu, -enjoy bashe milk products-
Kama jinsi vile sikoseagi katika fisibiliti study zangu,utengenezaji wa processing ind,ni muhimu sana unaweza boost wingi wa mazao baadae ukayatupa bure?,ukizingatia kilimo kwa wakulima wetu chenye faida kubwa kwao ni kilimo cha miezi 3 mitatu,na mara nyingi ni perishable,mfano nyanya n.k.
1000014778.jpg
 
Nia ilikuwa safi tu, -enjoy bashe milk products-View attachment 3672244
Mradi wote ndiyo umeishia hapa. Hela zenu walipa kodi amezitumia kununulia maelfu ya ng'ombe wa maziwa, kafungua ranch kubwa nje kidogo ya mji wa Morogoro! Na pesa nyingine anezipeleka anakojua yeye!

Maisha yanaendelea, na hakuna anayejali.
 
Mradi wote ndiyo umeishia hapa. Hela zenu walipa kodi amezitumia kununulia maelfu ya ng'ombe wa maziwa, kafungua ranch kubwa nje kidogo ya mji wa Morogoro! Na pesa nyingine anezipeleka anakojua yeye!

Maisha yanaendelea, na hakuna anayejali.
Enjoy milks products only!..kuna huyu anawekeza nyumbani kuna yule ananunua kibanda uswiss!?..(yupi ametukosea zaidi)
 
Ndiyo kwa kutumia hela za ufisadi!
Mkuu ukitaka ujiumize akili zako tafakari issue za aina hiyo, je kuna aliyehi kuwa na mali nyingi kama mansa mussa?,ajabu leo hii hata kaburi lake halijulikani lilipo! Ukufikiria kwa akili kama zangu wealth is useless, jitahidi kwa kipande yako uishi vizuri bila stress wanaopigania vita vya mali watazame tu kwa macho ya hekima kuu.
 
Back
Top Bottom