NONE TO BE WORSHIPPED EXCEPT JESUS CHRIST AND PAUL IS HIS MESSENGER.Tutawapa watoto.
Kabisa tena wengine eti wanasikia uchungu wealth is useless, utakuwa na jumba,gari,mifugo,utakula kila kizuri lakini hutaona furaha halisi zaidi ya kukiogopa kifo lakini kitakuchukuwa kwa haraka sana,wale wa zamani zaidi waliwekeana hadi asali na chumvi ili wasioze wakidhani labda wataamka tena lakini wapi?Nawasikitikia vijana kupoteza muda na nguvu kazi yao buree.
Watu washapiga zao ela na kupotea... We are jack of many trades master of noneSamia na Bashe mradi ule wa kilimo wa vijana mliowaweka kambini na kuwatengenezea mashamba umeushia wapi?
Sudanise brand
Kwa hiyo unataka hiyo nguvu kazi uende wapi?Nawasikitikia vijana kupoteza muda na nguvu kazi yao buree.
Utashitakiwa kwa uhaini kuwa makini.Samia na Bashe mradi ule wa kilimo wa vijana mliowaweka kambini na kuwatengenezea mashamba umeushia wapi?
Mhaini aache kuwa samia aliyemuua mume wakeUtashitakiwa kwa uhaini kuwa makini.
Mradi unaendeleaTumuulize ChoiceVariable ile ID yake ya zamani siikumbuki ni ipi.
Aliyekuelewa anyooshe mkono juu!Nia ilikuwa safi tu, -enjoy bashe milk products-
Kama jinsi vile sikoseagi katika fisibiliti study zangu,utengenezaji wa processing ind,ni muhimu sana unaweza boost wingi wa mazao baadae ukayatupa bure?,ukizingatia kilimo kwa wakulima wetu chenye faida kubwa kwao ni kilimo cha miezi 3 mitatu,na mara nyingi ni perishable,mfano nyanya n.k.View attachment 3672244
Pakoje mkuu, comments zote naona lawama tu, lakini hajatokea mtu anayefahamu, kututoa tongo tongo tulio gizani tusiojua chochote kuhusu uhai wa miradi hiyo kwa sasa.Nchi Makini Kupitia Vyombo Vyake
Yule Jamaa Angekuwa Mbombo Anajibu Tuhuma
Pesa Na Vijana Wamepotezewa Muda
Tanzania Itakuwa Ghala La Chakula Africa
Morogoro Iringa Mbeya Ruvuma Dodoma Kigoma
Inatia Kinyaa
Dodoma Pale Ukifika Oops
Pale Chinangali II Ni Uzio Na Hakuna Shughuli Za Kilimo Kilichoongelewa Kuwa Msimu Mzima Wa Mwaka Kazi TuPakoje mkuu, comments zote naona lawama tu, lakini hajatokea mtu anayefahamu, kututoa tongo tongo tulio gizani tusiojua chochote kuhusu uhai wa miradi hiyo kwa sasa.
Kwani hawakupata visenti?Nawasikitikia vijana kupoteza muda na nguvu kazi yao buree.
HahahaaUpuuzi mkubwa sana huu