Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,487
- 9,018
- Thread starter
- #41
Hahahaaa, ni ngori.Nakumbuka halima Mdee alipinga mradi huu ila Basha akakazana kupayuka bungeni na kumzodoa
Sasa kiko wapi?
Hahahaaa, ni ngori.Nakumbuka halima Mdee alipinga mradi huu ila Basha akakazana kupayuka bungeni na kumzodoa
Sasa kiko wapi?
Kawa 'Basha' tena!Nakumbuka halima Mdee alipinga mradi huu ila Basha akakazana kupayuka bungeni na kumzodoa
Sasa kiko wapi?
Kwani walikuwa hawalipwi mkuu?Vijana Wamehenya Bure Bure
Hata sumuni hawakupata.Kwani hawakupata visenti?
Walipata, pia kuna mmoja nilikutana nae yupo kati ya Dodoma na Iringa anasema alipata 3m, nikamwambia igawanye kwa miezi12 uone kwa mwezi ni sh ngapi, yeye anafurahia kama zombi tu hata hajielewi. Na hadi leo bado yupo huko.Hata sumuni hawakupata.
Watoto wakike malipo yao ilikuwa ubóoKwani walikuwa hawalipwi mkuu?
Bashe ni fiasadi sanaMradi wote ndiyo umeishia hapa. Hela zenu walipa kodi amezitumia kununulia maelfu ya ng'ombe wa maziwa, kafungua ranch kubwa nje kidogo ya mji wa Morogoro! Na pesa nyingine anezipeleka anakojua yeye!
Maisha yanaendelea, na hakuna anayejali.
Unapofika ufisadi wa CCM ndipo Huwa unakumbuka Kuna stress. Acha kudanganya watu, ukweli ni kwamba Bashe alitumia mradi wa BBT kujinufaisha.Mkuu ukitaka ujiumize akili zako tafakari issue za aina hiyo, je kuna aliyehi kuwa na mali nyingi kama mansa mussa?,ajabu leo hii hata kaburi lake halijulikani lilipo! Ukufikiria kwa akili kama zangu wealth is useless, jitahidi kwa kipande yako uishi vizuri bila stress wanaopigania vita vya mali watazame tu kwa macho ya hekima kuu.
Sudanise brand
Pata maziwa fresh.Unapofika ufisadi wa CCM ndipo Huwa unakumbuka Kuna stress. Acha kudanganya watu, ukweli ni kwamba Bashe alitumia mradi wa BBT kujinufaisha.
Upigaji tuuSamia na Bashe mradi ule wa kilimo wa vijana mliowaweka kambini na kuwatengenezea mashamba umeushia wapi?
Vipi wale watoto wakike mliokuwa mnawala uroda kule na kuwabebesha mimba mmewasaidia au mmewatelekeza?
Je CHADEMA ndiyo wamefelisha?
Dah kumbe watu wa lumumba sometimes upstairs mko fit na kushusha nondo za hatarii.Mkuu ukitaka ujiumize akili zako tafakari issue za aina hiyo, je kuna aliyehi kuwa na mali nyingi kama mansa mussa?,ajabu leo hii hata kaburi lake halijulikani lilipo! Ukufikiria kwa akili kama zangu wealth is useless, jitahidi kwa kipande yako uishi vizuri bila stress wanaopigania vita vya mali watazame tu kwa macho ya hekima kuu.