Ulazima wa Kiingereza cha Rais Samia ziarani nchini Kenya

Wewe jamaa ni mjinga.Umeanza lini kumkejeli mh.raisi acheni dharau zakishamba uku kwenye mitandao.Mama ataona mwenyewe kipi kinamfaa kulingana na kilichompeleka uko sasa wewe ni nani hadi ujifanye mshauri wa raisi tena kwa kukejeli.acha ulimbukeni.
Haya, BRN nyingine hii hapa.

Ushuhuda ulio wazi.
 
Sasa "MASWALA" ndio nini,unashauri matumizi ya kiswahili kumbe kiswahili chenyewe haukijui,tabu sana
 
Ni kweli lazima tulinde legacy ya Mwendazake katika kuongea KISWAHILI.
 
Usikariri kama kasuku wa kufugwa.

Hata Kiswahili ni "international language" pia.

Vinginevyo labda hujui maana ya neno "international".
Unachekesha wewe! Jinsi unavyo waza na kuandika najiwa na fikra jee mwendazake hakwenda ila alijibadili na kuitwa Ambokile Amanzi nini?
Maana akili zenu zinafanana!
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Kwakuwa mwendazake alikuwa hajui king'eng'e, mnataka kila mtu awe kama yeye, Mama ana uhuru wa kutumia lugha yoyote,na lengo haeleweke kimataifa
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Pointi yako ni ya maana Sana ...lakini subiri matusi na kejeli humu
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Kumbuka mama anaenda kuhutubia bunge la Kenya ili ujumbe wake uwafikie walengwa nisawa kutumia lugha inayokubalika na wengi huko ambayo ni kiingereza, target audience yake kwa wakati akiwa huko si wewe au Mwanjuma alie Naliendele Lindi. Hivi ina make sense mathalani unataka kudeliver message yako kwa mrusi na unafahamu kirusi halafu unaongea Kiswahili kwasababu unajivunia lugha yako ya asili? Tuache siasa
 
Uganda akiongea Kiingereza, sawa tu manake wale jamaa wana bifu na Kiswahili!!

Kenya, kwa kuwakomoa tu, anapaswa atumie Kiswahili manake Kiswahili wanakijua vizuri lakini kutokana na ulimbukeni wao wa kumsujudia Mzungu, wanajifanya hawakijui!!
Wabongo bhana vitu vingi tunatumia vya mzungu ila kwenye lugha ya kimataifa ya biashara mnaona ni kusujudia...jamiiforum hii ipo hapa kwa ajili ya tekinolojia za mzungu ndio mimi na wewe tunasawaliana tumeacha hadi kupanda punda...
 
Maza piga ung'eng'e
Naunga mkono hoja.
Mleta mada ukitaka kujua umuhimu wa lugha ya kiingereza, fanya utafiti kidogo uone ni kiasi gani cha fedha
Waingereza wanachopata kwa kuuza lugha yao kote duniani kutokana na mitihani ya IELTS na TOFEL.
 
Aongee lugha yeyote nachohitaji ni ushirikiano mwema kwenye biashara maisha yaende mambo ya Nchi jirani kufungiana mipaka ni upori pori fulani maana chakula cha Tanzania kinaliwa hadi Sudan na huko Kenya kaskazini kuna ukame wanahitaji chakula waje tuwauzie hayo mambo ya Lugha mtajua wenyewe ..
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
Kumbuka katika ziara ya uganda palikuwep na washitiri wengine ambao hawajui kiswahili,hivo ilikuwa lazima aongee kiingereza
 
Tumesikia Bi. Samia anaenda Kenya kwa ziara ya kikazi mnamo hapo kesho.

Ni matumaini yangu na fahari yangu kwamba atatumia Kiswahili katika shughuli zote atakazoalikwa kuzifanya.

Hivi majuzi tu alipoenda Uganda, tuliona anatumia kizungu kuhutubia.

Wengi wa wananchi wetu nina uhakika hawakuelewa hata anachozungumza.

Ifahamike kwamba, Kiswahili si lugha ngeni Afrika Mashariki. Tuachane na Viingereza pasipo na ulazima.

Sijui ni nani aliyewalaghai kwamba kuongea kizungu ni ufahari na usomi?

Hata katika mazingira yasiyohitaji kizungu, bado watu watajing'ang'aniza kuongea kizungu hata kama hawakiwezi na tunajua kwa hakika kwamba hawakiwezi.

Hebu tuachane na hizi "You Know You know ofcozi zea zea" mingi mingi. Tunajiaibisha na kujidunisha.

Tunayo lugha adhimu ya Kiswahili. Tuitumie hiyo.

Nasubiri kuona hiyo Kesho vile Bibi SASHA atakavyojitutumua na viingereza vyake uchwara.

Ashauriwe vyema. Maana shughuli za aina ile sio mahali pa kuonesha mbwembwe za kuzungumza kwa lafudhi bandia za kimalkia.

Tunahitaji kusikia "maswala" yakijadiliwa na kuzungumzwa. Hatuhitaji mikogo ya lafudhi bandia za Kizungu.
kingereza ni lugha ya Dunia, ni lugha ya biashara ya za kimataifa. huwezi kufanya biashara na dunia kama hujui lugha zinazotumika na wateja duniani
 
Back
Top Bottom